Hata simkumbuki jina...ila nikiwa hapa kanisani leo katika kanisa takatifu la kimitume katoliki parokia ya uparokiani Askofu anazungumzia jambo , anasema kua unaweza kua mtu mzima ila akili huna..
Ndio nikakumbuka tukio la mbunge aliechaguliwa Sasa sijui alichaguliwa na wananchi ama aliwekwa...
Makamanda Shimboni!
Nawauliza Mmefikia wapi maandalizi ya D25? Baada ya think tank yenu Mange kuwaacha kwenye Mataa?
Hakika mnatapatapa kweli kweli hamna uelekeo na jinsi kulivyo huku nje sioni mkifanikiwa.
Na vipi kuhusu Habil na Kabili alisema ata hack mifumo ya bank na TRA amefikia wapi...
Habar wakuu, Niko dar kesho nina safari ya kwenda Kondoa, nauliza kuna gari za kwenda huko? Ni kampuni gari nzuri ya bus za kutoka Dar kwenda Kondoa?
Na nauli ni shilingi ngapi zinatoka Dar muda gani?
Kila mara huwa nagombana na mama kwa sababu hatuendani kitabia. Ana maudhi sana.
Hajui kuongoza familia. Anapenda taarabu tu, matokeo yake amekuwa mtu wa vijembe.
Sasa kuna washkaji wameniomya, kuwa mama yangu akivua nguo mimi nakuwa kichaa hapo hapo.
Eti kweli? Nijibuni swali tu, umri wangu...
Wanao wanakufanana au umeambiwa wanafanana na Babu mzaa Bibi, Mjomba shangazi nk?
Kwa upande wangu wanangu wa kiume wanafanana na mimi copyright no DNA, wa kike ndo kafana na mama yake.
Wanaume tuwe makini tusije kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kama madaktari na watu wengine wanasema kutofanya mapenzi muda mrefu ni kupata tatizo la akili .
Nauliza mbona waganga wameoa wake hadi 10 , na zaidi , na bado hawana afya ya akili nawamechanganyikiwa tu . Hadi wengine wanaparamia wateja wao .
Kuna hawa wanaojiuza mbona wao wanafanya mapenzi...
1. Ilianza na Finance Bill, ikabadilishwa to take care of their demands.
2. Loss of life inaendelea. jana wamekufa 8
3. Rutto amesema watulie atawasikiliza, hawataki
Sasa wanataka nini?
Mimi nimkristo all in all kunakipindi na kipindi muazini akiazini na hamu ya kwenda kujumuika nao nakusali . Na asilimia kubwa wanaume wa kislaam wananipendaga , sana. Wengi hutamka ndoa . Wakristo asilimia 10 ndio wanajilazimisha,.
Mie mwenyewe sana napenda kuvaa mahijab yale yakung'aa na...
Nilimuona kama alikuwa anaitendea haki wizara ya ardhi, alifanya kazi kwa weledi mkubwa kupambana na makanjanja wa ardhi akina Msama, Mushi na wengine. All of a sudden akaondolewa!
What was wrong with him? Can any of us speculate logically?
https://www.instagram.com/mangi_viwanja/reel/C73xMi-M6AJ/
Wadau kwa aliewahi kufanya usaili wa vitendo kwenye level ya diploma in information and communication technology ni kipengele gani huwa wana deal nacho
Nataka kwenda kuchukua bati kiwandani Moja Kwa Moja wadau hivi hii kampuni ya alafu kiwanda chake kipo sehemu gani kibaha msaada wenu wakuu na he nyumba ya chumba kimoja jiko sebule choo inaweza ingia bati ngapi
Habari matajiri.
Nauliza kwanini Wafanyakazi wanakuwa waaminifu Sana Kwa maboss lakini maboss hawawi waaminifu kwetu Sisi wafanyakazi?
Kweli mtu unakuwa Na shida unamuelezea boss lakini boss anaona unamdanganya daah.
Maboss zetu tunawakubali sanaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.