nafasi za kazi

  1. Mwiba1

    Nafasi za kazi truck drivers Lithuania

    Wale truck drivers wenye kauzoefu kiasi karibuni ofisini kwetu tuwaunganishe mkaendeshe trucks along europe, kampuni iko Lithuania mshahara ni kuanzia euro2300 plus bonus kutakuwa na training ya mwezi mmoja utalipwa kipindi chote cha training. Vigezo Leseni daraja CE Police clearance Mambo...
  2. N

    Nafasi 600 Walimu wa ufundi mashuleni

    Fursa kwa walimu wa ufundi Kusoma zaidi: https://www.jamiiforums.com/attachments/ajiraleo-com_tangazo-la-kazi-septemba-17-pdf.3099151/
  3. M

    Msaada aliyewahi kufanya usaili kwenye nafasi hizi

    Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi: 1. Admission Officer II (NACTVET) 2. Editor II (TIE) 3. Quality Assurance Officer II (NACTVET) Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
  4. Mkoba wa Mama

    Nchi zinazoendelea hasa Afrika kwa wakati huu tuliopo hakuna ukosefu wa nafasi za kazi (ajira) tatizo lililopo ni serikali hazina pesa ya kuajiri

    Kwa hali ilivyo hasa katika sekta ya elimu, afya, ulinzi na TEHAMA kuna uhaba mkubwa sana wa mtumishi. Kwa nchi za Afrika hauwezi kusema kuna ukosefu wa ajira, hapana, changamoto iliyopo ni serikali hazina pesa ya kutosha kuajiri, baadhi ya sekta hasa nilizoorodhesa hapo juu kuna uhitaji mkubwa...
  5. O

    Wadau mnaotafuta ajira na ambao tayari mpo kazini, chukueni ushauri huu utawasaidia

    Nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti kwenye sekta binafsi (Kampuni). Nimekutana na mengi kwenye makampuni. Kwa wanaitafuta ajira/ mliopo kazini kuwa makini na yafuatayo; Kampuni nyingi zisizotoa mikataba ya kazi nyingi ni wadhurumaji. Kuwa makini na kampuni changa hasa za waswahili. Utaishia...
  6. K

    Natafuta kazi ya Lab Technician

    Habari wakuu, Nimesomea Science and Laboratory Technology(FTC) kutoka DIT na Nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nikifanya kwenye kampuni na viwanda tofauti. Mwenye connection tupeane wakuu.
  7. Sharon Cheque

    Ipi njia bora kupata ajira!? Usaili au bila usaili

    Kada ya ualimu/Afya zamani "Ukimaliza unasubiri kupangiwa kituo" - Saizi milolongo lundo...
  8. B

    Natafuta kazi, kama sio ya kulipwa basi hata kujitolea

    Jamani ndugu zangu, wenye makampuni, viwanda au wenye ndugu, marafiki na wadau. Naomba kazi hata ya kujitolea nipate angalau experience ya kazi.. Nipo tayari kujitolea jamani, maana nikienda directly kuomba kazi na kupereka Cv narudishwa punde tu nikifika mapokezi, naambiwa nafasi hazipo hapa...
  9. VINICIOUS JR

    Natafuta kazi nipo Songea mjini, nimesomea Ualimu ila nipo tayari kwa kazi ya nje na nilichokisomea

    Bila shaka mnaendelea vizuri wakuu. Kama mada inavojieleza, kama kunamtu ana connection na kazi yeyote halali naomba anisaidie. Asanteni
  10. kante mp2025

    Kwenye hili Sekretarieti Ya Utumishi ni Sahihi?

    Leo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za...
  11. Shammy-

    Kimetulamba kwenye written interview

    Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah! Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo.. Picha lenyewe Sasa....👇 Kwa upande WA lab technician Mtihani waliyotuletea ni WA maabara za...
  12. Nehemia Kilave

    Nafasi za kazi GGM

    Kazi kwenu wenye vigezo
  13. B

    Msaada kuhusu kozi ya Mining Engineering

    Wakuu, Nina ndugu yangu anataka kusoma mining engineering mwenye uelewa naomba msaada kama hii coarse pia ajira zake zinasumbua sana.
  14. both teams to score-YES

    Msaada wa kupata kibarua cha halali

    Habari wakuu,natumai nyote wazima.Nisiwachoshe niende katika mada. Wakuu Mwenye connection zozote za kibarua au kazi ninaomba wakuu. Nina hali mbaya sana.ninaishi na mama wakuu kheri nipate chochote kupitia kibarua ili mama ale hata mie nikikosa haina Shida. Niko Mburahati, Dar es salaam...
  15. F

    Natafuta kazi, nimesomea Uandishi na Utangazaji wa habari

    Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari. Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku nasubiri cheti, nipo Dar es salaam wilaya ya Ilala, ukonga. Kazi ya dukani hata mashuleni nafanya. Asanteni 🙏
  16. Jerry001

    Usaili kada ya Afya 2024: Matokeo ya usaili ya kuandika (written) Tabibu daraja la pili (Clinical officer II) yametoka

    Ingia kwenye tovuti ya ajira utumishi kuona matokeo yako: Public Service Recruitment Secretariat | PSRS . Pia unaweza kupakuwa pdf attachment no.1 hapo chini kuona matokeo. UPDATES: Matokeo ya AFISA MUUGUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT NURSING OFFICER II) yametoka, unaweza kupakua pdf no...
  17. Jamii Opportunities

    Secondary School Principal at International School of Tanganyika

    Job type: Full-time Job Title: Secondary School Principal Location: International School of Tanganyika, Dar es Salaam, Tanzania Effective Date: August 2025 School Overview: Student Enrollment: 446 students (Grades 6-12) Programs Offered: MYP, DP, HS Pathways & Life Centered Education...
  18. Jamii Opportunities

    Tender – Supply Of Construction Materials For Primary School Classrooms at Plan International

    Invitation to Tender (ITT) Tender Ref. No. PIT/RUK/01/FY25 Supply Of Construction Materials For Primary School Classrooms, Nkasi District Council, Rukwa Region. Plan International is an independent development and humanitarian organization that advances children’s rights and equality for...
  19. Jamii Opportunities

    Request for Proposals – Consultancy services at Plan International

    Request for Proposals Consultancy services: Gender equality and inclusion. Analysis of district plan and budget RFP No. PIT / VUM/02/FY25 Plan International Tanzania is an International humanitarian child-centered development organization without religious, political or government...
  20. L

    Ufafanuzi kuhusu ajira UTUMISHI

    Habari za kazi kaka tunaomba utupazie sauti tuweze kufahamu sheria pamoja na utaratibu wa sekretarieti ya ajira utumishi katika mchakato wa usahili. Hivi karibuni 1/09/2024 zilitangazwa ajira za kada ya afya kupitia sekretarieti ya ajira Baada ya mchakato wa kupata wanaostahili kwa usahili...
Back
Top Bottom