BRAC TANZANIA FINANCE LIMITED (BTFL) is the largest Microfinance organization in Tanzania with a mission to responsibly provide a range of financial services to people at the bottom of the pyramid. We particularly focus on women living in poverty in rural and hard-to-...
NATIONAL SALES MANAGER
Mbeya Cement Company Limited a member of Amsons group is a leading manufacturing company providing innovative and sustainable building and construction solutions within and outside Tanzania.
Mbeya Cement is seeking to recruit a highly motivated National Sales Manager (1...
Habarini za muda huu wakuu,
Mimi ni kijana mwanajukwaa mwenzenu nipo Kahama hapa naona maisha yananiendea kombo hiki kipindi kiasi kwamba mpaka kula yangu inaelekea kuwa jambo la mashaka,hivyo naomba yeyote mwenye kuweza kunipa kazi/kibarua anipe nisije nikafa njaa hapa mjini.
Kitaaluma mimi...
Nafasi
Tutors (Diogonostic radiography na Nursing), Receptionist na Networking
Sifa za Mwombaji
Elimu ngazi ya diploma na kuendelea
Maombi yote yatumwe kupitia
Email: info@nyaishozicollege.ac.tz
au
Whatsapp: 0745009792
Cleaning Services Tender – Right to Play Office, Nov 2024
Terms of Reference for – Cleaning Services
Location: Right To Play Office, Mikocheni, Dar es Salaam
Contract Duration: Four Months Cleaning Contract (November 2024 – Mid March 2025)
1. Background:
Right To Play is a global...
Job type: Full-time
Company: Dangote Cement
Location: Mtwara
Description
Responsible for coordinating and managing the activities of Fleet Managers and their teams.
Ensure compliance with trucks’ operations and maintenance schedule; and that customers are satisfied with the level of services...
Habari
Mimi ni Mhitimu wa chuo ngazi ya shahada (Uchumi) naomba mwenye kujua taasisi zinazohitaji mchumi, au connection ya kazi zinazoendana.
Nipo tayari kufanya kazi taasisi yoyote , naweza kufanya kazi za planning and management , research, consulting nk.
Napatikana DSM #0688165156...
Wakubwa zangu i hope mko fine,
Nilikua naomba ushauri wenu mimi ni kijana nilie maliza chuo mwaka huu.
Nimepata option mbili za kazi:
1. Kujitolea serikalini
2. Kuuza duka ambapo mshahara wake laki 3 kwa mwezi
Ipi ni option nzuri?
Katika muktadha wa ajira serikalini, suala la kujitolea linazua changamoto nyingi, hasa linapokuja suala la kutumika kama kigezo cha ajira za kudumu.
Ingawa ni muhimu kutambua mchango wa wanajitolea, kutumika kwa kigezo hiki kunaweza kufungua milango ya upendeleo wa kifamilia au urafiki...
Nmeona tangazo kwenye baadhi ya makundi huko mtandaoni kuwa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza nafasi za kazi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
Habari wakuu,
Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti.
Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB
Je, nazipataje document tajwa na mimi ni recent graduate...
Hauna kazi kwa sababu hauna taarifa za kuwepo kwa nafasi za kazi. Kupata taarifa njoo kwenye group la watsapp la ajira. Tunapost ajira mpya kila siku.nicheki inbox niku add kwenye group. Ukijifanya mbishi shauri yako utaendelea kukaa bila kazi wakati kila siku nafasi za kazi zinatangazwa na ma...
Habari humu ndani.
Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na wanaojua maswali yanayoulizwa kwenye interview za AJIRA MSF.
Shirika hili kwa pale Liwale linajishughulisha na mradi wa Afya ya Mama na Mtoto, sasa pia ningependa kuuliza Je maswali yao katika usaili wao yatahusisha tu Afya ya mama na...
DEADLINE EXTENDED
Position: Consultant needed for Citizenship and Leadership Academy Content Development
JamiiForums, in partnership with WiLDAF via the USAID's Wanawake Sasa Project, is seeking a Content Development Consultant to create engaging, inclusive training modules and promotional...
DEADLINE EXTENDED!
Position: Consultant Citizenship and Leadership Academy (CLA) Software Developer
JamiiForums, in partnership with WiLDAF and Her Initiative, are looking for a highly skilled Software Developer for USAID-supported Wanawake Sasa Project. This consultancy aims to create an...
Mwezi July 2024 serikali ilitangaza nafasi 726 za madaktari daraja la II , cha ajabu jana /juzi imetangaza madaktari wanaotakiwa kwenda kuchukua barua 45 tu.
Je serikali inafahusika ina maelezo yoyote ya ziada?
Haiwezekani nafasi 726 zitangazqe na wapatikane 45 tu.
Wengi wanashindwa kuelewa...
Ajira kwa Sasa ni sawa na tatumzuka, ni uzalilishaji mtupu, kusoma kwa kutegemea kuajiriwa kunaongeza ufukara kwa wasomi, shahada saivi ni sawa na Bure.
Ni Bora mwanangu asomee kipaji chake na elimu ya pesa ambayo haifundishwi mashuleni.
Habarini ndugu..shikamooni wakubwa ! Natafuta kazi nina diploma ya pharmacy na pia nimesajiliwa na baraza la famasi.
Mimi ni binti nina umri wa miaka 24,naishi Dar es salaam. 0710293470
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.