nafasi za kazi

  1. Jamii Opportunities

    Assistant Products Delivery Manager at BRAC November, 2024

    BRAC TANZANIA FINANCE LIMITED (BTFL) is the largest Microfinance organization in Tanzania with a mission to responsibly provide a range of financial services to people at the bottom of the pyramid. We particularly focus on women living in poverty in rural and hard-to-...
  2. Jamii Opportunities

    National Sales Manager at Mbeya Cement November, 2024

    NATIONAL SALES MANAGER Mbeya Cement Company Limited a member of Amsons group is a leading manufacturing company providing innovative and sustainable building and construction solutions within and outside Tanzania. Mbeya Cement is seeking to recruit a highly motivated National Sales Manager (1...
  3. Star_boy

    Nafasi za kazi kituo cha Afya Temeke

    Nafasi za Ajira Kituo: Wakuru Specialised Clinic Mahali: Temeke, karibu na Hospitali ya Temeke Wanahitajika wafanyakazi wafuatao: Daktari Bingwa (Internal Medicine) Nurse (ANO) Laboratory Technician Pharmacy Technician Kwa mawasiliano zaidi, tafadhali piga simu kupitia namba: 0783070792.
  4. D

    Natafuta kazi yoyote ya kufanya nipo Kahama

    Habarini za muda huu wakuu, Mimi ni kijana mwanajukwaa mwenzenu nipo Kahama hapa naona maisha yananiendea kombo hiki kipindi kiasi kwamba mpaka kula yangu inaelekea kuwa jambo la mashaka,hivyo naomba yeyote mwenye kuweza kunipa kazi/kibarua anipe nisije nikafa njaa hapa mjini. Kitaaluma mimi...
  5. Nyaishozi College

    Chuo cha Afya Nyaishozi kinatangaza nafasi za kazi zifuatazo

    Nafasi Tutors (Diogonostic radiography na Nursing), Receptionist na Networking Sifa za Mwombaji Elimu ngazi ya diploma na kuendelea Maombi yote yatumwe kupitia Email: info@nyaishozicollege.ac.tz au Whatsapp: 0745009792
  6. Jamii Opportunities

    Cleaning Services Tender At Right To Play Office, Nov 2024

    Cleaning Services Tender – Right to Play Office, Nov 2024 Terms of Reference for – Cleaning Services Location: Right To Play Office, Mikocheni, Dar es Salaam Contract Duration: Four Months Cleaning Contract (November 2024 – Mid March 2025) 1. Background: Right To Play is a global...
  7. Jamii Opportunities

    Senior Transport Manager at Dangote Cement November 2024

    Job type: Full-time Company: Dangote Cement Location: Mtwara Description Responsible for coordinating and managing the activities of Fleet Managers and their teams. Ensure compliance with trucks’ operations and maintenance schedule; and that customers are satisfied with the level of services...
  8. P

    Naombeni kazi, nina Shahada ya Uchumi

    Habari Mimi ni Mhitimu wa chuo ngazi ya shahada (Uchumi) naomba mwenye kujua taasisi zinazohitaji mchumi, au connection ya kazi zinazoendana. Nipo tayari kufanya kazi taasisi yoyote , naweza kufanya kazi za planning and management , research, consulting nk. Napatikana DSM #0688165156...
  9. M

    Naomba ushauri kuhusu kazi

    Wakubwa zangu i hope mko fine, Nilikua naomba ushauri wenu mimi ni kijana nilie maliza chuo mwaka huu. Nimepata option mbili za kazi: 1. Kujitolea serikalini 2. Kuuza duka ambapo mshahara wake laki 3 kwa mwezi Ipi ni option nzuri?
  10. D

    Natafuta kazi (ajira) Viwandani, dukani, hotelini hata za ujenzi

    Ndugu zangu mimi nipo Arusha, nina umri wa 33, natafuta kazi, Viwandani, dukani, hotelini hata za ujenzi. 0747073431
  11. Mrndumbarojl

    Maoni yangu juu ya Mfumo wa kujitolea na Usimamizi wa Ajira za dharura Serikalini

    Katika muktadha wa ajira serikalini, suala la kujitolea linazua changamoto nyingi, hasa linapokuja suala la kutumika kama kigezo cha ajira za kudumu. Ingawa ni muhimu kutambua mchango wa wanajitolea, kutumika kwa kigezo hiki kunaweza kufungua milango ya upendeleo wa kifamilia au urafiki...
  12. W

    SI KWELI Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza nafasi za kazi uchaguzi serikali za mitaa

    Nmeona tangazo kwenye baadhi ya makundi huko mtandaoni kuwa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza nafasi za kazi kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
  13. E

    Viambatanishi hivi navipataje? NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB

    Habari wakuu, Nilifanikiwa kupita kwenye interview ya kazi ya Junior HSE Officer na ninatakiwa kupeleka documents kadhaa siku ya kurepoti. Mojawapo ya documents nilizoambiwa ni NSSF number, Police Clearance Report na Barua kutoka HESLB Je, nazipataje document tajwa na mimi ni recent graduate...
  14. R

    Watu wengi hawana kazi kwa sababu hawana taarifa za uwepo wa nafasi hizo

    Hauna kazi kwa sababu hauna taarifa za kuwepo kwa nafasi za kazi. Kupata taarifa njoo kwenye group la watsapp la ajira. Tunapost ajira mpya kila siku.nicheki inbox niku add kwenye group. Ukijifanya mbishi shauri yako utaendelea kukaa bila kazi wakati kila siku nafasi za kazi zinatangazwa na ma...
  15. Wakujibwea45

    Usaili Shirika la MSF - Doctors without borders

    Habari humu ndani. Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na wanaojua maswali yanayoulizwa kwenye interview za AJIRA MSF. Shirika hili kwa pale Liwale linajishughulisha na mradi wa Afya ya Mama na Mtoto, sasa pia ningependa kuuliza Je maswali yao katika usaili wao yatahusisha tu Afya ya mama na...
  16. Jamii Opportunities

    Consultant Citizenship and Leadership Academy Content Developer at JamiiForums (October, 2024)

    DEADLINE EXTENDED Position: Consultant needed for Citizenship and Leadership Academy Content Development JamiiForums, in partnership with WiLDAF via the USAID's Wanawake Sasa Project, is seeking a Content Development Consultant to create engaging, inclusive training modules and promotional...
  17. Jamii Opportunities

    Consultant Citizenship and Leadership Academy (CLA) Software Developer at JamiiForums October, 2024

    DEADLINE EXTENDED! Position: Consultant Citizenship and Leadership Academy (CLA) Software Developer JamiiForums, in partnership with WiLDAF and Her Initiative, are looking for a highly skilled Software Developer for USAID-supported Wanawake Sasa Project. This consultancy aims to create an...
  18. Tabutupu

    Serikali ilitangaza nafasi 726, walioitwa 45 (Medical officer II)

    Mwezi July 2024 serikali ilitangaza nafasi 726 za madaktari daraja la II , cha ajabu jana /juzi imetangaza madaktari wanaotakiwa kwenda kuchukua barua 45 tu. Je serikali inafahusika ina maelezo yoyote ya ziada? Haiwezekani nafasi 726 zitangazqe na wapatikane 45 tu. Wengi wanashindwa kuelewa...
  19. M

    Kamwe sitawaruhusu wanangu wasome Ili waajiriwe, napenda wasome kwa ajili ya kukiajiri

    Ajira kwa Sasa ni sawa na tatumzuka, ni uzalilishaji mtupu, kusoma kwa kutegemea kuajiriwa kunaongeza ufukara kwa wasomi, shahada saivi ni sawa na Bure. Ni Bora mwanangu asomee kipaji chake na elimu ya pesa ambayo haifundishwi mashuleni.
  20. S

    Natafuta kazi nina diploma ya pharmacy

    Habarini ndugu..shikamooni wakubwa ! Natafuta kazi nina diploma ya pharmacy na pia nimesajiliwa na baraza la famasi. Mimi ni binti nina umri wa miaka 24,naishi Dar es salaam. 0710293470
Back
Top Bottom