nafasi za kazi

  1. Jamii Opportunities

    Global Technical Lead: Eye Health (ECSA) at Sightsavers August, 2024

    Sightsavers is looking for an expert in Eye Health to provide technical leadership across all eye health programmes and strengthen the global programme portfolio. Salary: Local terms and conditions apply Location: Malawi – Lilongwe, Tanzania – Dar es Salaam or Zambia – Lusaka Contract: Two...
  2. Jamii Opportunities

    Internal Auditor (Mkaguzi Wa Ndani) at TURSACCOS LTD August, 2024

    Job Vacancy: Internal Auditor (Repeated Announcement) TURSACCOS LTD is pleased to announce to the general public that there is an opening for the position of Internal Auditor. Maombi ya Nafasi ya Mkaguzi wa Ndani TURIANI SAVING AND CREDIT COOPERATIVE SOCIETY PRI-MRG-MVM-DC-2023-3822 P.O.BOX...
  3. Jamii Opportunities

    Underground Shift Supervisor at Geofields Tanzania Limited August, 2024

    Geofields Tanzania Limited (GTL), is a multidisciplinary strategic service provider company for the exploration and mining industry Founded in 2008. Geofields is Tanzania’s leading exploration and mining service company, with an integrated and comprehensive service portfolio of drilling...
  4. Jamii Opportunities

    Request For Tender – Supply of Vacuum pump at Barrick August, 2024

    REQUEST FOR TENDER North Mara Gold Mine, a fully owned subsidiary of Twiga Minerals Corporation, which is ultimately owned by Barrick Gold Corporation and the Government of the United Republic of Tanzania requests the submission of Tenders from reputable, experienced, certified, and qualified...
  5. K

    Nafasi za kazi kwa walimu wa Part time Arusha

    Habari, Tunatafuta waalimu wa chuo wa part time katika nafasi hizi:- 1. Mwalimu wa French & Spanish 2. Mwalimu wa Hotel Management 3.Mwalimu wa Tour guiding Ni chuo kinachotoa kozi za utalii hapa Arusha hivyo tunapendekeza wale waliopo Arusha hasa mazingira ya Sakina. Unaweza kutuma Cv zako...
  6. Jamii Opportunities

    USAID Supervisory Development Assistance/Deputy Program Office Director at USAID August, 2024

    Solicitation No: 72062124R10009 Closing date and time for receipt of Offers: August 29, 2024 Point of Contact: Hussein Tuwa, e-mail at htuwa@usaid.gov Position Title: USAID Supervisory Development Assistance Specialist/Deputy Program Office Director Market Value: Tshs. 143,254,619 to Tshs...
  7. M

    Elimu yangu ni Bachelor Of Business AdminstrationNatafuta kazi

    Salama wana jukwaa, Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye mke na watoto wawili, nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kazi yoyote ile kujikimu mimi na familia yangu. Elimu yangu ni "Bachelor of Business Adminstration". Yoyote mwenye kazi au connection ya kazi yoyote halali na yenye kipato basi...
  8. wadzelino

    Anahitajika Mwalimu wa Kujitolea kufundisha Shule ya English Medium

    Anahitajika mwalimu wa kujitolea hasa wa kike, awe na uwezo wa kufundisha darasa I na II, hata chini ya hapo siyo mbaya. Awe mahiri wa lugha za Kiingereza na Kiswahili, hasa kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha. Atajitolea miezi mitatu, then atapewa mkataba kamili, kipindi anajitolea atalipwa...
  9. B

    Natafuta kazi Wakuu

    Habari zenu Wakuu. Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua. Nawaomba sana, Nikipata kazi ya kulipwa kiasi chochote kulingana na uwajibikaji wangu watakavyoona. Naishi Dar es salaam, Ni fresh...
  10. Mwl.RCT

    Serikali yatangaza nafasi za kazi 6,257 katika wizara, idara, wakala za Serikali, Mikoa na Serikali za Mitaa

    Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi jumla ya elfu sita, mia mbili na hamsini na saba (6,257) katika Wizara, Idara, Wakala za Serikali, Mikoa na Serikali za Mitaa. Nafasi hizo zinahusisha maeneo mbalimbali ikiwemo kilimo, uvuvi, misitu...
  11. K

    Nahitaji Mtu wa marketing wa kufanya naye kazi

    Habari wakuu Mimi nina kampuni japokua bado ni changa ofisi ipo Africana, nahitaji watu wa marketing sio wa kuwaajiri ila tunawaeza kuarange terms tukalipana kwa kazi. Kampuni ina husika na uuzaji na ufungaji wa security systems and networking. Kwa anaeweza nicheck kwenye office number +255...
  12. D

    Nafasi za kazi za Massage

    Sifa za waombaji; 1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30. 2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy) 3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele. 4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo. Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/= Chakula cha asubuhi na...
  13. Ushimen

    Nafasi za kazi: Fitter Mechanics and Welder/Fabricator

    Mwenye uhitaji akuje PM, msharaha 700,000 per month. Ratiba ya kazi ni siku 14 on and 7 days off, after 2 months of probation period. Tayari tumewapata, Mudi naomba mfunge huu uzi tafadhali.
  14. MamaSamia2025

    Kama mshahara ni chini ya Tsh 150,000/= kwa mwezi bora useme unatangaza nafasi za utumwa kuliko useme ni nafasi za kazi

    Leo nimesikitika sana baada ya kusoma uzi wa jamaa anayetaka wahudumu wa mgahawani kwa mshahara wa Tsh 2000/= kwa siku kwa hoja kwamba watakula bure mgahawani. Watu wengi kwenye ule uzi wamempinga vikali mleta mada. Mimi pia niliandika comments za kupinga huo ujinga. Ninawasihi waajiri binafsi...
  15. CYTON TECH

    Nafasi za Kazi ya IT Technician na Marketing Staff

  16. Keagan Paul

    Nafasi za Kazi Accountant na Admin Officer Wanahitajika

    Habari Anahitajika Accountant na Administration Officer, wenye uzoefu usiopungua Miaka 2. Mkoa: Dodoma Tuma CV yako: hrfbde@gmail.com
  17. Nyanda Banka

    Nafasi za kazi ajira portal ni kizungumkuti

    Yani huu mfumo unachanganya sana watu kwa mfano kwenye kujaza sehemu ya kujaza Professional qualifications kwa watu wa fani ya ualimu hususani Bachelor Degree Tunashida na ajira lakini mifumo yenyewe ya kuombea ajira ni changamoto sana Eeh Mungu baba tusaidie wanao wasaka tonge Tunakosa tena...
  18. T

    JamiiForums tunaomba mtupe mrejesho wa zile nafasi za kazi mlizotangaza

    Kama kichwa kinavyojieleza, JF naomba mtupatie mrejesho wa zile nafasi za kazi mlizotangaza. Natanguliza shukrani.
  19. OR TAMISEMI

    Nafasi za kazi 9,483 za Kada za Afya

    Kumb.Na.JA.9/259/01/B/ 11 Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa inakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 9,483 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili. Maeneo ya...
  20. Ponjoro wa Kinondoni

    Anahitajika Nutritionist haraka iwezekanavyo

    Maombi yote yatumwe kwenye official e mail ya kampuni yetu kama inavyo onekana kwenye attachment. All the best.
Back
Top Bottom