nafasi za kazi

  1. Zero Competition

    Baadhi ya waajiri wana tabia ya kuomba vitu vingi sana kwa mtu alietuma maombi ya kazi

    Kuna baadhi ya waajiri wana tabia ya kuomba vitu vingi sana kwa mtu alietuma maombi ya kazi Mfano kuna taasisi flani waliwahi kutangaza kazi lakini kwenye usaili wanakuambia uende na barua tatu za wadhamini wakiwa wameambatanisha na barua zao za utambulisho toka serikali ya mtaa pamoja na copy...
  2. Bunchari

    Ndugu zangu naomba kusaidiwa kazi ili niweze kujikimu. Napatikana Butiama mkoani Mara

    Habari wakuu Najitokeza kuomba ajira yoyote tofauti na professional,nimehitimu shahada ya utawala wa umma( public administration) mwaka 2018 mpaka sasa nimetimiza miaka 6 nipo mtaani Naomba mwenye nafasi anisaidie,umri wangu miaka 32 napatikana Butiama mkoani Mara.
  3. R

    Mji wa Mwanza mbona nafasi za kazi hamna kabisa kwa Private Sector?

    Habari viongozi, Nimechunguza muda mrefu na kugundua Mwanza ni jiji lakini fursa za ajira hamna kabisa, hasa hasa kwa private sector, ukiangalia matangazo ya ajira ni Dar na Arusha tu na Dodoma kidogo, Mwanza ni mara chache sana, Au Mwanza mnapeana kazi chini kwa chini?
  4. Mayala B

    Niko posta natafuta kazi yeyote. Naishi Magomeni

    Naomben mwenye kunisitil anisitili ndugu zangu. Pakuishi ninapo lakin sina kazi ndugu zangu Naombeni mwenye kunisaidia anisaidie kazi yeyote tu Asanten sana MUNGU AWABARIK SANA Mara nyingi nakuwa niko ST Joseph nikipiga Ibada
  5. S

    Hivi siku hizi kuna recruiting agency ya kuaminika?

    Zamani hizi recruiting agency zilikua na msaada sana kwa watafuta ajira lakini siku hizi nyingi zimekua na ubabaishaji. Siku hizi zimeibuka recruiting agency ambazo zinaomba fedha kwa watafuta ajira na wengi wao ni matapeli, wanakuambia toka Tshs kadhaa tukupe nafasi na ukisema huna wakate...
  6. A

    Nafuta ofisi ya kufanyia field management of social development

    Mi naomba kuuliza wakuu ,hivi mfano course ya Bachelor Degree in Management of Social Development ni ofisi zipi unaweza kufanyia field practice
  7. Mturutumbi255

    Kazi za ovyo ovyo ndizo zenye Pesa, ila tambua faida na hasara zake

    Katika jamii yetu, mara nyingi kazi zinazochukuliwa kuwa "za ovyo ovyo" au zisizokuwa na hadhi ya juu zimedharauliwa. Watu wamekuwa na dhana kwamba kazi kama hizi hazina mbele wala nyuma, hazilipi, na haziwezi kumtoa mtu kimaisha. Lakini ukweli ni kwamba, dunia ya sasa imebadilika, na mara...
  8. BOB LUSE

    Nafasi za kazi( 3)

    " New executive Lodge available Vacancy,front desk, house keeping and food production. Ukonga Dsm.Contact 0756001053
  9. berylyn

    Tangazo la Nafasi za kazi

  10. Dodo86

    Nafasi za kazi Wonderwell Daycare and Nursery School

    Uongozi wa Wonderwell Daycare and Nursery School Daycare iliyopo Mikocheni unawatangazia nafasi za kazi kwa walimu wakike waliobobea kwenye taaluma ya makuzi ya watoto. Shule ni mpya na Usaili utafanyika kuazia jumatatu, mwalimu afike shuleni akiwa na nakala za vyeti vya kitaaluma na wasifu...
  11. Jamii Opportunities

    Project Accountant at TWCC September, 2024

    Job type: Full-time TITLE: Project Accountant (1 Position) Organization: Tanzania Women Chamber of Commerce (TWCC) Duty Station: Dar es Salaam Type of Contract: Full Time Reporting To: Finance & Administration Manager Appointing Period: 3 years Starting Date: October 2024...
  12. Jamii Opportunities

    Laboratory Supervisor at Médecins Sans Frontières September, 2024

    Job type: Full-time JOB VACANCY – LABORATORY SUPERVISOR Title: Laboratory Supervisor Duration: 12 months (Fixed Term Contract) – Full time position (100%) Direct Reports: Project Medical Referent. Location: Nduta Camp and Kibondo (Kigoma Region) FOR NATIONAL STAFF ONLY...
  13. Jamii Opportunities

    Supplies Officer at Kairuki University (KU) September, 2024

    Job type: Full-time KAIRUKI UNIVERSITY VACANCY ADVERTISEMENT Applications are invited from suitably qualified and experienced Tanzanians to fill the position of Supplies Officer at Kairuki University (KU). Summary Description: Responsible for purchase of goods or services that meet the...
  14. Jamii Opportunities

    HIV Program Officer at UCSF September, 2024

    Job type: Full-time Job Description: HIV Program Officer Organization Overview The Global Programs (GP) Office in Tanzania is an affiliate of the University of California, San Francisco (UCSF), providing targeted HIV/TB strategic information (SI) technical assistance through the PEPFAR-funded...
  15. Jamii Opportunities

    Loan Officers – 5 Posts at MetroCredit Limited September, 2024

    Job type: Full-time Positions: Loan Officers – 5 Posts MetroCredit Limited METROCREDIT LIMITED (MetroCredit) is a young company incorporated in Tanzania in 2018 under the Companies Act, 2002 intending to provide financial services to Micro and Medium entrepreneurs. The company is inviting...
  16. Jamii Opportunities

    Project Manager at Istituto Oikos September, 2024

    Job type: Full-time ISTITUTO OIKOS International cooperation NGO seeks Project Manager Istituto Oikos (www.istituto‐oikos.org) founded in Milan in 1996, operates in Europe and in developing countries to promote the responsible management of natural resources and to spread more sustainable...
  17. Jamii Opportunities

    Procurement Assistant at Medical Teams International September, 2024

    Medical Teams International holds strict child and vulnerable adult safeguarding principles and a zero-tolerance policy for misconduct related to sexual harassment, exploitation and abuse in the workplace and other places where the organization’s activities are rendered. Parallel to technical...
  18. Jamii Opportunities

    Laboratory Attendant III at CUHAS September, 2024

    The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC), provides training for over 3,500 students. CUHAS currently offers the following programs: Doctor of Philosophy (PhD), Master of Medicine (MMed), Master of Public Health (MPH), Master...
  19. Jamii Opportunities

    Tutor 4 – Positions at CUHAS September, 2024

    The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC), provides training for over 3,500 students. CUHAS currently offers the following programs: Doctor of Philosophy (PhD), Master of Medicine (MMed), Master of Public Health (MPH), Master...
  20. Mechanic 97

    Naomba anayejua muungozo wakujiunga SIDO

    Wakuu, ninakaribia kutimiza mwaka tangu nihamie sehemu hii ninayoishi sasa. Lakini hali niliyokutana nayo hapa inaniumiza sana, hasa kutokana na biashara ninayotaka kuanzisha. Biashara hii inahitaji niandae bidhaa, lakini sina ofisi na kwa mkoa huu ninapoishi, gharama za kuwa na ofisi ni kubwa...
Back
Top Bottom