mzuka

  1. MK254

    Huu 'mzuka' mpya wa Ukraine unasababisha Mrusi apoteze battalion moja kila siku

    Kwa siku chache ambapo Ukraine wametiririka kama waliopagawa, wamefaulu kuteka vifaru 1,200 vya Urusi, hiyo ni pamoja na zana zingine ikiwemo magari ya kivita. Warusi wanatoka nduki na kuviacha huku Ukraine wakiendelea kufukuzia. Vijana wa Ukraine wameamua kujitoa mhanga, wanavamia kwa kifua...
  2. Sputnik_1

    Naombeni ushauri, nikishalala na mwanamke napoteza mzuka naye

    Habari zenu. Mie ni kijana wa kiume. Kama nilivyoandika ktk kichwa cha habari, ni kwamba nikimtongoza mwanamke akakubali, na kuwa mpenzi wangi, nikifanya nae ngono mara moja au mbili au tatu baada ya hapo nakua sina hamu nae kabisa. Naanza tafuta mpya nae nikifanya nae hivyo hivyo. Na saa...
  3. Pastory Kimaryo

    Michezo ya kubahatisha kama biko na tatu mzuka mmiliki wao ni nani na inafanyaje kazi?

    Habari wakuu, nahitaji kujua hivi hii michezo ya kubahatisha wamiliki ni akina nani manake imeibuka kuwa mingi sasa. Na pesa wanayokusanya inaweza kuwa nyingi hivi au kawaida? Pia huwa inaendeshwaje kwa maana ya kuchagua namba na mambo mengine.
  4. OLS

    Wale wachezaji Tatu Mzuka mnilijua hili?

    Hawa jamaa nimewaangalia kwa ukaribu wanavyoendesha bahati nasibu yao. Watu hawa huwa na namba tatu za bahati, kinachonishangaza ni kuwa kila wakati huwapigia simu watu wawili tu wakati wanasema kuwa namba za bahati zinakubalika kwa arrangement yoyote. Sasa chukulia namba za bahati ni 658, hizi...
  5. Mkogoti

    Je, Tatu Mzuka ndiyo hawa wa Mnada Poa?

    Tatu Mzuka mtangazaji alikuwa Mussa Hussein alikuwa anaipambia balaa kwamba weka namba zako tatu za bahati ili ushinde mamiliioni, Sijajua kama bado inaendelea. Naona wamerudi tena kwa style nyingine na mtangazaji ni yuleyule Mussa Hussein, sasa hivi wapo kwa jina la Mnada Poa. Unatuma hela...
  6. Money Penny

    Pandisha Mzuka wa Tendo la Ndoa Kwa Misamiati ya kimapenzi

    Juzi nilipelekwa Buza, Kwa mara ya pili maana Buza NI kubwa Sana Nikaenda kuulizia maana ya mparange sijui Kwa mparange nikapata maana nilicheka sana Sijui mambo ya kiswede mambo ya Ambaruti Basi akapita binti mwenye Shepu yake, babu mmoja akamwambia Yule binti, "Mariam nakuja huko huko...
Back
Top Bottom