Kwa nijuavyo, hatujawahi kuwa na waziri wa fedha mzenj tangia Nyerere hadi Magu.
Najua Fedha si suala la muungano huenda ndiyo maana wote wenye akili timamu waliamua kutokuwa na mawaziri wa fedha wazenj.
Je, ilikuwa ni ubaguzi, upendeleo, au mahitajio ya katiba ya JMT?
Imekuwaje Samuya...