Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kushirikiana na sekretalieti ya maadili kutazama sekta zenye vishawishi vya rushwa wajaze fomu za maadili, badala ya kuangalia wanasiasa zaidi kwakuwa wengi wao wanajipatia fedha zisizo halali.
Mwigulu...