Mwigulu kukabidhi miundombinu ya utalii

Mwigulu kukabidhi miundombinu ya utalii

Habari za Zanzibar

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
465
Reaction score
313
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba leo Februari 11, 2026 ameelekea katika Hifadhi ya Taifa ya Nyerere ambapo anatarajiwa kuzindua na kukabidhi Miundombinu ya Utalii.

FB_IMG_1770798108437.jpg

FB_IMG_1770798106637.jpg

FB_IMG_1770798104288.jpg
 
Ok sawa ngoja tutengeneze package za kutosha za huko maana Utalii wanaofaidi sana ni makampuni ya kigeni kwa sababu wao waliijua hii fursa mapema na wametengeneza mitaji muda mrefu wacha tupambane nao hiyo mbuga ni hela pia maana ina wanyama wengi pia.
 
Back
Top Bottom