mwigulu nchemba

Mwigulu Nchemba
Mwigulu Lameck Nchemba Madelu ni mwanasiasa na mwanachama wa chama cha kisiasa nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwigulu alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango tangu 31 Machi 2021, mpaka July 2023 ambapo wizara hiyo ilivunjwa na kuwa wizara mbili yaani Wizara ya Fedha inayoongozwa na Mwigulu Nchemba na Wizara ya Mipango na Uwekezaji inayosimamiwa na Waziri Kitila Mkumbo.
  1. Maoni ya Idu: Ridhiwani Kikwete ana hoja kuliko Waziri mkuu Mwigulu Nchemba

    Simtetei kuwa hausiki na ufisadi na nepotism inayombeba kiasi cha kupewa wizara nyeti kama hii anayoisimamia. Lakini kitendo cha kukilri hadharani kuwa tuhuma za ufisadi dhidi ya viongozi wa CCM ndio zilisababisha wananchi kuichukia CCM na kuandamana Oktoba 29 ni dhahiri kuwa yupo makini kuliko...
  2. PostGE2025 Waziri Mkuu awatembelea marafiki zake mtaani 'Nimewakumbuka masela'

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameshere video akiwa anawatembelea majirani zake na kusalimiana nao. Mwigulu ameandika ujumbe huu baada ya share video hiyo β€œNikiwa naelekea kwenye shughuli za kiserikali, nilipata pia muda wa kusalimiana na majirani zangu. Ujirani mwema...
  3. PostGE2025 Amani Golugwa: Mwigulu anapotosha. Suala la Katiba halikuletwa ndani ya miezi 3

    Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara, Amani Golugwa, amemtaka Dkt. Mwigulu Nchemba kuacha kupotosha umma kuhusu madai ya msingi ya wananchi juu ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Amesema madai hayo hayakuibuka ndani ya miezi mitatu kuelekea uchaguzi mkuu, bali yalianza muda mrefu uliopita...
  4. PostGE2025 Dkt. Mwigulu huwezi kusema nchi sio mali ya Serikali wakati ulisema pesa za Mama ukiwa Waziri wa Fedha

    Sijui kama mada inaweza kuelezeka hapo juu. Yaani leo matatizo yote na madeni ni yetu ila wakifanya yao ni yao siyo ya wananchi. Nakumbuka kauli yake kuwa tuamie Burundi na leo umekuwa Waziri Mkuu unajifanya kuwa ni mali yetu sote halafu hutaki kujua waliokufa unataka kujua nchi ya vitu sio watu.
  5. PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu, tunaomba upambane na Wachina wamegoma kuondoka kwenye biashara za wazawa

    Wachina wanatudharau sana jamani Pamoja na kupitisha Sheria Kali Bado wanaendelea na biashara kama hakuna kitu Ni dharau sana
  6. PostGE2025 Dkt. Mwigulu: Tanzania ni mali yetu sote, si mali ya Serikali wala Chama cha Siasa

    π——π—žπ—§. 𝗠π—ͺπ—œπ—šπ—¨π—Ÿπ—¨: π—§π—”π—‘π—­π—”π—‘π—œπ—” π—‘π—œ π— π—”π—Ÿπ—œ π—¬π—˜π—§π—¨ π—¦π—’π—§π—˜, π—¦π—œ π— π—”π—Ÿπ—œ 𝗬𝗔 π—¦π—˜π—₯π—œπ—žπ—”π—Ÿπ—œ π—ͺπ—”π—Ÿπ—” 𝗖𝗛𝗔𝗠𝗔 𝗖𝗛𝗔 π—¦π—œπ—”π—¦π—” WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania ni mali ya Watanzania wote wala si ya Serikali au chama cha siasa na hivyo kila mmoja anapaswa kuilinda. β€œTanzania si mali ya Serikali, Tanzania si mali ya...
  7. Based on Mwigulu's statement, yes it's possible for Tanzania to have a brand new consitution in less than 3 months

    So for a long time now, CCM has been repeating the same old line: β€œThere isn’t enough time to make a new constitution.” And guess what? On November 26, during Mwigulu's press conference, the same talking point came up again, that drafting a constitution three months before an election is...
  8. Ndugu zangu, Waziri Mkuu hatuna hapa! Ni kichekesho na kasheshe

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kwanza anaongea kama kakatwa kichwa Pili hajitambui Tatu hajielewi Nne anajaribu kwenda na beet za anko Magu lakin hiyo karama hana Tano ni mshamba na limbuken Waziri mkuu hatuna Full stop LONDON BOY
  9. PostGE2025 Tahakiki ya Tamko la Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, kwa Wahariri, 25 Novemba 2025: Mazingira, Maudhui, Mapengo, Tathmini na Mapendekezo

    Tahakiki ya Tamko la Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, kwa Wahariri, 25 Novemba 2025: Mazingira, Maudhui, Mapengo, Tathmini na Mapendekezo 1. UTANGULIZI KUHUSU TAMKO Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, ameongea na wahariri wa vyombo vya habari vya Tanzania mchana wa leo, tarehe 25...
  10. Nchi ipo kwenye ukimya mzito Mwigulu ndio kila siku yeye anasikika kwenye vyombo vya habari yani nchi kama vile haina serikali ile iliyoshinda kwa 98%

    Nchi ipo kwenye ukimya mzito mwigulu ndio kila siku yeye anasikika kwenye vyombo vya habari yani nchi kama vile haina serikali ile iliyoshinda kwa 98%. Mwigulu naye akinyamaza ndio basi nchi nzima itakuwa kimya kama vile haina serikali, huyu jamaa anajitahidi sana kuongea ongea kila siku na...
  11. Mwigulu una vyeti ila IQ yako ni ndogo. Ujinga na roho mbaya huenda pamoja na watanzania si wajinga tena

    Mwajijua, Uongozi wenu wa kiharamu ni matokeo ya matendo ya kishetani, na hatima yake Mmeondokewa na HEKIMA NA BUSARA ZA KIMUNGU Kwenu nyinyi, Uhai ni kakitu kadogo kasiko thamani Wala hakafai kuzungumziwa. Ila Uharibifu wa Mali zenu ulofanywa na Watanzania Waandamanaji Waloumizwa na Ufisadi...
  12. L

    Pole sana Mwigulu: Tunajua Kwamba unatetea ugali wako na watoto wako

    Hali ya utekaji nchini imekithiri na HUWEZI kufananisha utekaji Unaondelea na Yale yaliyo kuwepo Kibiti. Itoshe kusema ya kwamba kama rasilimali za nchi zitaendelea kuwanufaisha wachache na kuwaacha wasiokuwa nacho wakibaki maskini Basi tambua hakuna Mwananchi atakayepokea hizo hela kutoka kwa...
  13. K

    Kwa mara ya kwanza tuna Waziri Mkuu chawa na serikali

    Kwa mara ya kwanza tuna waziri mkuu Chawa na serikali fake! Mwigulu ndiye waziri mkuu ambaye kazi yake kubwa sio uendeshaji bali ni uchawa uongo uongo na kujipendekeza. Majaliwa alijitahidi sana kuwa kiongozi ambaye anajiepusha na utekaji, uongo, lakini alishidwa naye lakini hakuwa chawa!
  14. PostGE2025 Mwigulu Nchemba acha propaganda, hazina tija. Watu wanataka tume huru, katiba mpya, kukomesha utekaji, mauji na Ufisadi

    Mwingulu amekua kama katibu mwenezi wa chama yeye mda wote yuko propaganda ambazo kwa karne hii hazina tija Watu wanataka ukomeshwaji wa vitendo utekaji, mauaji, Tume huru ya Uchaguzi katiba mpya hizi propaganda unazoendelea sio zikikusandia tunajua umetumwa lakini wananchi wa karne hawawezi...
  15. Sijajua vigezo vilivyotumika kumteua Mwigulu kuwa Waziri Mkuu, hafai

    GT, Hii ni maajabu huyu jamaa hana haiba ya Uwaziri Mkuu hata kidogo, anaonekana muhuni tu tofauti na wenzake waliopita. Wangetafuta figure nyingine lakini siyo huu jamaa maana hayuko mioyoni mwa watanzania. Mwigulu ana msururu wa kashfa, hiyo nafasi haimfai hata kidogo. Japo Kadogosa ni...
  16. R

    PostGE2025 Mwigulu Nchemba anatumika kama spinning machine!

    Naona kitengo Cha propaganda kimepata spinning machine inayocheza script ya kitengo Ili ku neutralize Hali iliyopo! Kiasi fulani wamejitahidi,hasa ufunguzi wa kanisa, kupinga tuhuma za askari kuua raia n.k,lakini ningependa kuona serikali na viongozi wanakua pro active zaidi kuliko kuacha mambo...
  17. R

    PostGE2025 Mwigulu atoa idadi ya Vitu na miundombinu iliyoharibiwa katika vurugu za Oktoba 29

    Akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari leo Novemba 25, 2025 Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ametaja tathmini ya awali ya miundombinu ya serikali na vitu vya wananchi binafsi vilivyoharibiwa wakati wa vurugu za Oktoba 29, Ameonyesha kusikitishwa na...
  18. W

    PostGE2025 Mwigulu: Aliyekamatwa na mabomu hajabisha, baada ya kuhojiwa alisema amebeba kwa ajili ya kujihami

    Akizungumza na waandishi wa habari leo Nov 25, Waziri Mkuu amesema kuwa raia mwenye uraia pacha aliyekamatwa naa mabomu baada ya kuhojiwa alisema kuwa amebeba mabomu hayo kwa ajili ya kujihami kwa kuwa lisisia Tanzania kuna matishio ya kiusalama. Pia soma PostGE2025 - Polisi: Tumemkamata...
  19. W

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu ahoji maandamano ya Oktoba. Maandamano gani watu walikuwa well armed?

    Akizungumza na waandishi wa habari amehoji ni maandamano gani hayo ambayo watu walikuwa wamejipanga na wana silaha kabisa huku wengine wakiwa hawaongei kiswahili. Amegusia pia kuhusu Mwanajeshi wa Marekani aliyekamatwa na mabomu. Anahoji ni utaratibu gani huu? === Waziri Mkuu wa Jamhuri ya...
  20. PostGE2025 Waziri Mkuu, Mwigulu: Kumwaga damu isiyo na hatia siyo baraka, tuiunge mkono Tume

    Akizungumza katika Mkutano na Wahariri wa Vyombo vya Habari, uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam, leo Novemba 25, 2025, Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amesema baada ya uchaguzi kulitokea msukosuko uliohusisha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…