mwanamke

  1. Mwanamke wa shoka

    Huyu nipo tayari kutuma na ya kutolea!😄😄😄Hongereni sana wanawake wote wapambanaji popote mlipo.
  2. Zifahamu sababu zinazoweza kupelekea mwanamke kukosa hedhi

    Katika mada yetu ya leo tutalijadili tatizo la kukusa hedhi ambalo kitaalamu huitwa amenorrhea. Mwanamke anakuwa na tatizo hilo pale ambapo anakosa hedhi kwa kipindi cha miezi mitatu mfululizo, au msichana ambaye hajaanza kupata hedhi akiwa na umri wa miaka 15. Sababu ya kawaida ya kukosa hedhi...
  3. M

    Je, kuna uhusiano kati ya mwanamke kuwa muasherati na kabila analotoka?

    Habari zenu wana jukwaa. Ni matumaini yangu weekend imeenda vizuri kwetu sote. Kwa wale ambao weekend haikuwa nzuri kwao kutokana na matatizo ya kiafya basi nawaombea Dua Mungu awaponye. Nirudi kwenye mada yetu kama inavyojieleza hapo juu. Nianze kwa kusema kuwa nimekuwa nikikutana na hoja...
  4. Jinsi ya kutongoza katika Zama hizi

    Usimtumie meseji za userious sanaa Kama vile, mambo?"habri ya usiku"? Umelala??? Umekula?? Una mpenzi?? Unasoma?? Unafanya kazi? Unaishi kwenu ??aumepanga??? wee mtoto wangapi?? Miaka yako??? N.k Hizi manzi huwa hazipendi maswali maswali ,kiuhalisia binadam hapendi maswali. Nakupa mbinu...
  5. Ewe mwanaume, usimchunge mwanamke!

    Kuna sekeseke limetokea hapa limenihuzunisha sana, ipo hivi. Kuna jamaa yeye alikua anamchunga sana mke wake, haruhusiwi kutoka bila taarifa ikafikia akamnyang'anya simu kabisa kiasi kwamba mwanamke akawa haruhusiwi kumiliki hata kitochi tu. Jamaa akajiona YES nimemaliza hamna tena mabaharia...
  6. Ni sahihi mwanaume kulala nyumbani kwa mwanamke?

    Habari JF? Poleni na misiba inayoliandama Taifa letu pendwa la Tanzania. Nipo safarini mkoa flani, na huo mkoa kuna binti flani alikuwa mpenzi wangu some years ago. Tumerejesha mawasiliano hivi karibuni, after kumuambia nipo kwenye mkoa husika, ameniomba nisiingie cost bure, badala yake...
  7. F

    Miaka 11 ya kupambana kuelekea uhuru wa kifedha

    Mwaka 2009 ndipo nilianza rasmi ujasiliamali..hii ni baada ya kutoka chuoni na mbaya zaidi na kujigundua mjamzito. Sipo hapa kuelezea nilipotoka kwasababu nataka privacy na sipend kujulikana kupunguza usumbufu. Leo nipo hapa kuwatia moyo especially wale wenzangu na mimi wenye ari ya kupata...
  8. Eti ni kweli mwanamke akimwambia mwanaume kammiss anakuwa na hamu ya mgegedo?

    Hello wakuu Eti kuna ukweli kuwa mwanamke akimwambia mwanaume asiye ndugu yake kuwa kammiss, inakuwa inaashiria kuwa ana hamu ya kugegedwa? Asanteni
  9. D

    Nataka mwanamke mtu mzima tuwe marafiki wa karibu sana

    Natafuta mwanamke mwenye kujielewa ili tuwe wapenzi:- 1) umri kati ya 25 mpaka 45 2)ambaye yupo tayari kucheki afya(yani tukapime wote) 3)mwenye kujishughulisha na chochote 4)muwazi Naomba ni pm weka namba tuwasiliane.mi nipo dar es salaam,nina miaka 27
  10. Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke

    Tuliweke sawa hili. Mimi nasema HAKUNA urafiki wa namna hiyo. Ukisikia mwanamke anasema ana marafiki wengi wa kiume kuliko wa kike, ujue kuna namna anawatumia hao wanaume. Ananufaika big time. Na wanaume sio wajinga, katika huo urafiki hata ikiwa mwanamke ameolewa au ana bwan’ake ujue wapo...
  11. E

    Mwanaume anayeweza kum control mwanamke mpaka akatulia ni cameraman pekee

    Wakuu tuzungumze tu ukweli bila mumunya maneno. Mwanaume anayeweza kum control mwanamke mpaka akatulia ni cameraman pekee.
  12. Je, mwanamke anaweza kupata mimba huku akiwa anatumia vizuizi vya mimba?

    Habari za humu wana jukwaa, naomba kuuliza, hivi mwanamke anaweza kupata mimba na huku akiwa anatumia uzazi wa mpango(kuweka plastic ndani ya uke)?
  13. T

    Kukutana kimwili na mwanamke anayenyonyesha kuna madhara kwa mtoto

    Naomba wataalamu mnisaidie kumekuwa na maneno mengi kuhusu kufanya mapenzi na anayenyonyesha kwamba utamsababishia matatizo mtoto je kwa mfano inatakiwa kukutana mara ngapi kwa wiki kwa mwanamke anayenyonyesha?
  14. E

    Mwanamke akikupenda kwa dhati, hata kukuomba pesa ataona aibu

    Ukiijua kweli itakuweka huru. Hii ndio kweli hata kama ni ngumu kuielewa. Ipo hivi, mwanamke akikupenda kwa dhati, hata kukuomba pesa ataona aibu, na hawezi kuvumilia matumizi yako mabovu ya pesa. Hayo ni miongoni mwa mambo yanayowafanya baadhi ya wanawake waonekane ni viumbe maalum kabisa...
  15. S

    Natafuta mwanamke

    Natafuta MKE wa kuoa,awe mrefu,maji ya kunde au mweupe,mkiristo,mpenda maombi,awe na hofu ya MUNGU,awe anajua kusoma na kuandika,umri kwanzia miaka 21 hadi 31
  16. Usifanye hili kosa unaposalitiwa na Mkeo/Mwanamke wako

    Tofauti nasie Me, Mwanamke anaposaliti kuchepuka ,ameamua kufanya hivo Kihisia, na hii inamaana Akili yake yote inakua imeshajikubali na ipo tayari kwa lolote. Sasa Basi, Unapotokea umegundua Mkeo, mwanamke wako Kakusaliti, ama umefuma Namba za huyo jamaa na meseji. Ama ni taarifa tu unazopewa...
  17. Nilikula buku- buku za huyu mwanamke; zilipofika tano akasema ni 'exploitation'!

    Leo nimemkumbuka huyu bi dada.. Katika pilika za hapa na pale nikabahatika kula buku buku zake... Zipofika buku tano, manung'uniko yakaanza kwamba eti namu exploit. Yani bila kujali benefits kibao alizopata kutokana na urafiki wetu, book tano yake kaiona kuubwa. Nimemkumbuka leo baada ya...
  18. C

    Mwanamke mwenye kichanga kupata ujauzito

    Ndugu wanajamvi, huyu mwanamke ni jirani yangu! Ana kichanga cha miezi tisa (9)! Alinieleza njia ya uzazi aliyokuwa anaitumia ni ya kalenda! Sasa kuna kulingana na mabadiliko ya mazaringira kumbe siku zikavurugika! Pasipo kutarajia akanasa ujauzito! Je nini madhara yake!? Je, atoe mimba au...
  19. Vijana msidanganywe, ukiwa na pesa utapata mwanamke umtakaye

    Nimekua nikisoma thread tofauti humu JF za wanaume wakilalamika kuhusu kutendwa na wanawake zao kisa hawana pesa kisa hawana uwezo wakuwahudumia hao wenza wao, nk Nimeona wengi kwenye comment wakishauri watu watafute pesa sana na kwa bidiii ili kuepuka hayo yote, kila ushauri mzuri ni vyema...
  20. E

    Mwanamke akikupenda anaweza kukupatia mtoto asiye wako

    Wanawake ni viumbe ambao huwezi kuwaelewa mpaka upate uzoefu kutoka kwao. Ni viumbe wa ajabu mnoo. Viumbe hawa wakikupenda wanaweza kukupatia mtoto asiyewako tena wakikuchukia wanaweza kukunyima mtoto wako.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…