Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,501
- 27,000
Tuliweke sawa hili.
Mimi nasema HAKUNA urafiki wa namna hiyo.
Ukisikia mwanamke anasema ana marafiki wengi wa kiume kuliko wa kike, ujue kuna namna anawatumia hao wanaume. Ananufaika big time.
Na wanaume sio wajinga, katika huo urafiki hata ikiwa mwanamke ameolewa au ana bwan’ake ujue wapo pale kwa lengo maalumu.
Wako 'standby' wakisubiri fursa siku yoyote, ukitaka kuthibitisha hilo jifanye tu unatengeneza mazingira. Utajua upo mezani tayari!
Kwa upande mwingine, huyo huyo mwanamke anayejivunia marafiki wa kiume, kama ni 'my wako' jaribu kumwambia una marafiki wengi wa kike. Hawezi kukuamini, yaani utajua hujui.
My take:
Mwanamke anajipatia wanaume wengi wanaodhani ni marafiki, kwa ajili ya security na mizinga ya hapa na pale. Vitu ambavyo hawezi kupata kwa mwanamke mwenzake.
Mwanamme anakuwa na urafiki na mwanamke kama namna tu ya kujiweka karibu, deep down moyoni anameza mate na ku-hope ONE DAY YES!
Hebu sema na moyo wako, tupeane uzoefu hapa... kwa dhati kabisa una dhamira gani kwa hao unaowaita marafiki?
Mimi nasema HAKUNA urafiki wa namna hiyo.
Ukisikia mwanamke anasema ana marafiki wengi wa kiume kuliko wa kike, ujue kuna namna anawatumia hao wanaume. Ananufaika big time.
Na wanaume sio wajinga, katika huo urafiki hata ikiwa mwanamke ameolewa au ana bwan’ake ujue wapo pale kwa lengo maalumu.
Wako 'standby' wakisubiri fursa siku yoyote, ukitaka kuthibitisha hilo jifanye tu unatengeneza mazingira. Utajua upo mezani tayari!
Kwa upande mwingine, huyo huyo mwanamke anayejivunia marafiki wa kiume, kama ni 'my wako' jaribu kumwambia una marafiki wengi wa kike. Hawezi kukuamini, yaani utajua hujui.
My take:
Mwanamke anajipatia wanaume wengi wanaodhani ni marafiki, kwa ajili ya security na mizinga ya hapa na pale. Vitu ambavyo hawezi kupata kwa mwanamke mwenzake.
Mwanamme anakuwa na urafiki na mwanamke kama namna tu ya kujiweka karibu, deep down moyoni anameza mate na ku-hope ONE DAY YES!
Hebu sema na moyo wako, tupeane uzoefu hapa... kwa dhati kabisa una dhamira gani kwa hao unaowaita marafiki?