mwanajeshi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    Mwanajeshi wa marekani aliyekamatwa mpakani, akiwa na mabomu.

    Mnakumbuka hii script ya tukio ambalo mpaka leo unaweza kuuliza kesi yake ukaunganishwa wewe wakati muhusika mwenyewe ndio huyu. Upande Kulia kwenye picha kuna miwani hapo kaweka mezani. angalia hiyo miwani na picha ya chini. Baada ya kuona sinema ya delta force inaanza kuwaendea pabaya.Jamaa...
  2. Chakaza

    Mwanajeshi Mmarekani aliyekamatwa na mabomu mpakani Sirari igizo hilo limeishia wapi?

    Vyombo vyetu vya usalama kumbe wakati mwingine wale wanaovidharau na kuvikebehi wanastahili kusikilizwa. Inakuwaje jambo Zito kama hilo wanaleta taharuki kumbe hakuwepo na hata linalo fanana nalo. Mnatuletea picha za mtu kavaa kaunda suti zake unifomu ya uhudumu wa ofisi eti ni Comando wa US...
  3. Gabeji

    Tesha apewe Tunzo ya mwanajeshi bora na mzalendo 2025

    Sina mengi ya kueleza kila mtu aliona, what he did that strong and patriotic man. Kwa mtizamo wangu ,the man anastahili kupewa Tunzo ya kupigania Taifa na rasimali zetu, akiwa the best soldier since independence in 1961. KWA vyombo vya ulinzi na usalama sijawai sikia na kuona Tanzania mjeda...
  4. Fbn

    Kaka wa Polepole sio mwanajeshi wa nchi hii ila hiyo nchi ikitaka kuwachukua siku moja ni mifano tosha kwenye mapinduzi

    Huyu kaka yake Polepole sio mwanajeshi wa nchi hii ndio maana serikali ya CCM mafwere iwezi kuzungumza chochote wala kujibu. Wakijibu ni kama wanamgusa mwewe na malikia marehemu. kwa sasa wabaki wakishindana na sisi wananchi kututeka na kufanya vyovyote,ila mpo mbioni kutekwa na nyie na kufutika.
  5. M

    Tujifunze kutoka kwenye hii video ya mwanajeshi wa Iraq miaka ya 2000 mwanzoni

    Kwenye video hii anaonekana mwanajeshi akituma salam za mwisho kwa familia yake baada ya uwanja wa mpambano kuwa wa moto , mpambano uliohusisha vikosi vya serikali dhidi ya makundi binafsi ya kujihami , huyu mwanajeshi aliamua kuaga familia yake baada ya kuwa wamezingirwa na vikundi binafsi vya...
  6. Scared

    Hii ni aibu leo Tabata. Polisi anatoa maelekezo kwa Wanajeshi aisee

    Picha hii inayosambaa mitandaoni ikiwaonyesha wanajeshi wa JWTZ wakipokea maelekezo kutoka kwa Polisi imeibua mjadala mkubwa. Huku wengine wakiona kama ni kushusha hadhi ya jeshi la wananchi, swali linabaki ni Je! Itifaki ya vyombo vya ulinzi na usalama inawezekana kwa jambo hili? Hivi Hili ni...
  7. M

    Hivi Jenerali Augustino Pole Pole ni mwanajeshi wa nchi gani?

    Watanganyika wenzangu, naomba kufahamishwa kuhusu uanajeshi wa huyu mwamba aliyetoa masaa 24. Huyu mjeda ni mwanajeshi wa nchi gani na yupo wapi kwa sasa? By the way nayasubiria kwa hamu masaa 24 yapite ili kazi ianze
  8. Agent-47

    Ziko Wapi taarifa za mwanajeshi huyu wa Marekani?

    Kama kuna mtu yeyote anayo taarifa za muendelezo wa taarifa za huyu mwanajeshi wa Marekani. Zimepita siku nyingi sasa, amefikishwa mahakamani? Amefunguliwa mashataka yapi? Ameachiliwa? Mbona hatukuambiwa chochote tena? Sema huyu mwamba ana şura ya kinyakyusa sana, na hilo koti lake la soko la...
  9. A

    Jibu la marekani ni muhimu sana kutokana na propaganda hii ya uyu mwanajeshi wao

    Kwa tukio kama hili, jibu la Marekani ni muhimu sana si kwa sababu ya yule aliyekamatwa, bali kwa ajili ya usalama wa taifa na ukweli. Ukimya wa Marekani utawapa CCM nafasi ya kuendelea kutengeneza simulizi yao ili kufunika mauaji ya tarehe 29 Oktoba 2025. Taarifa rasmi kutoka Marekani...
  10. Lord Denning

    PostGE2025 Eti Mwanajeshi wa Marekani kaacha kutumia pourus border aende kutumia mpaka rasmi akiwa na mabomu! Acha watingishe Meza yenye Vinywaji vya bei mbaya

    Kwa wazoefu wa maeneo ya sirari kwenye mpaka wa Kenya na Tanzania, ni kichekesho cha hali ya juu kuuziwa propaganda eti Mwanajeshi wa Marekani amekamatwa akivuka mpaka rasmi wa Tanzania na Kenya akiwa na mabomu. Yaaani Mwanajeshi wa Marekani aache kutumia porous border ambayo unaweza kuvusha...
  11. Scared

    Hivi kaka yake Humphrey Polepole ni mwanajeshi kweli wa NATO? Mbona mikwara imekuwa mingi

    Asubuhi hii nimeona video ya huyu jamaa anasema yupo Tanzania na tarehe 9 wataanzia Masaki mpaka Mikocheni Sasa najiuliza huyu jamaa ni mwanajeshi kweli wa NATO maana hata sijawahi kumuona na gwanda tena anajitambulisha Kwa cheo Cha canal au mkwara mbuzi tu maana maneno yamekuwa mengi sana...
  12. Scared

    Wakuu hamna mtu mwenye connection ya mwanajeshi mtanzania yeyote wa nchi ya ulaya au marekani

    i
  13. Common Folk

    GE2025 Hivi toka lini kuchana mabango ya kampeni za uchaguzi ikawa kosa kisheria? Ina maana ukiwa mwanajeshi sheria inakulazimisha kuchagua chama tawala tu?

    Ina maana ukiwa mwanajeshi haki zako za kiraia zinaondoka? Unakuwa hauna uhuru wa kumchagua kiongozi unayemuona anafaa kwa utashi wako binafsi! Lets say kweli wamefanya kosa, ya nini kuanza kuwasimulia mapolisi wenzio kwamba mmekamata wanajeshi, takukuru, madaktari nk! Kwa jicho la 3, mimi...
  14. 4

    Nimejiuliza why wananchi wamempokea na kumjadili huyu mwanajeshi. Jibu, wananchi wanataka utulivu na nchi yao

    Tumeonya sana sana kama watu wa Mungu , machawa yakaona sie mataira ,kumbe lengo letu ni moja ilikua kuliponya Taifa . Huwezi ongoza taifa ambalo liko katika wakati kama huu, hakuna Duniani kote hata waliojaribu , mnajua what happened, narudia ipo nafasi ya kuliponya Taifa . 1. Sitisha...
  15. MALCOM LUMUMBA

    Sura ni mwanajeshi ila mawazo ni ya Polepole

    Sura kweli ni mwanajeshi, Sare kweli ni za kijeshi, Ila mawazo (Talking Points) ni ya ndugu Humphrey Polepole. Wale wana-CCM ambao walidhani kwamba Polepole ana ushawishi mdogo hapa nchini, kwamba ni mtu wa kupuuzwa walifanya mahesabu yao vibaya mno. Malalmiko yote ya kuharibika kwa Tanzania...
  16. H

    Hakuna Mwanajeshi pekee yake anaweza kutoka hadharani na kutoa kauli Hii, akiwa Pekee yake

    Leo kila mmoja ameshuhudia kauli ya wazi toka kwa captain Tesha ikieleza hali mbaya ya nchi, na kulitaka jeshi lichukue uongozi ili kuinusuru nchi. Kwa wale waliopitia mafunzo ya kijeshi, kama mimi, tunajua kabisa, hakuna askari hata mmoja anayeweza kutoka hadharani na kutoa kauli kama hiyo...
  17. Ritz

    Tesha ni kanjanja tu hakunaga mwanajeshi wa hivi JWTZ

    Wanaukumbi. (✍️ na mchambuzi wetu) TESHA NI KANJANJA TU HAKUNAGA MWANAJESHI WA HIVI JWTZ Nimemsikiliza huyu mtu aliyejivalisha nguo za JWTZ na anajiita Kepteni Tesha nimebaki najiuliza maswali mengi sana kama hii ndiyo aina ya wanajeshi wetu basi tuna wanajeshi vilaza sana kwenye JWTZ...
  18. Minjingu Jingu

    Mdogo wa Rafiki yangu ameingiziwa kitu kwenye account ili aende Mkutanoni Kawe

    Kwa kweli Mama mikumi tena. Dogo anasema Weekend kesho tutamtafute yeye kuanzia Biriani mpaka wale walevi Mkojo wa Shetani. Mimi allahamdulilah sinywi vitu kharamu ila najua kaka yake mjaa laana kesho atakunywa sana. Naambiwa mapolisi walio mafunzo pia wamepewa nguo za kiraia na kuingiziwa...
  19. Carlos The Jackal

    Traore Mwanajeshi aliyeamua Kulinda Rasilimali za Nchi yake !! JWTZ kikatiba Ina WAJIBU huo, shuhudia za Polepole ,nalitegemea Jeshi lichukue Hatua !

    Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao. KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!. Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote...
  20. The Zanzibar Echo

    Mwanajeshi wa Marekani ahukumiwa kwa kufanya ujasusi kwa ajili ya China

    Baharia wa Jeshi la Wanamaji la Marekani huko California amehukumiwa kwa kosa la ujasusi kwa kuuza siri za kikosi hicho kwa afisa wa China ambaye alimsajili kupitia mtandao ya kijamii. Jinchao Wei, 25, alipatikana na hatia ya mashtaka sita, ikiwa ni pamoja na ujasusi, njama ya kufanya ujasusi...
Back
Top Bottom