Mnakumbuka hii script ya tukio ambalo mpaka leo unaweza kuuliza kesi yake ukaunganishwa wewe wakati muhusika mwenyewe ndio huyu.
Upande Kulia kwenye picha kuna miwani hapo kaweka mezani. angalia hiyo miwani na picha ya chini.
Baada ya kuona sinema ya delta force inaanza kuwaendea pabaya.Jamaa...
Vyombo vyetu vya usalama kumbe wakati mwingine wale wanaovidharau na kuvikebehi wanastahili kusikilizwa.
Inakuwaje jambo Zito kama hilo wanaleta taharuki kumbe hakuwepo na hata linalo fanana nalo.
Mnatuletea picha za mtu kavaa kaunda suti zake unifomu ya uhudumu wa ofisi eti ni Comando wa US...
Sina mengi ya kueleza kila mtu aliona, what he did that strong and patriotic man.
Kwa mtizamo wangu ,the man anastahili kupewa Tunzo ya kupigania Taifa na rasimali zetu, akiwa the best soldier since independence in 1961.
KWA vyombo vya ulinzi na usalama sijawai sikia na kuona Tanzania mjeda...
Huyu kaka yake Polepole sio mwanajeshi wa nchi hii ndio maana serikali ya CCM mafwere iwezi kuzungumza chochote wala kujibu.
Wakijibu ni kama wanamgusa mwewe na malikia marehemu.
kwa sasa wabaki wakishindana na sisi wananchi kututeka na kufanya vyovyote,ila mpo mbioni kutekwa na nyie na kufutika.
Kwenye video hii anaonekana mwanajeshi akituma salam za mwisho kwa familia yake baada ya uwanja wa mpambano kuwa wa moto , mpambano uliohusisha vikosi vya serikali dhidi ya makundi binafsi ya kujihami , huyu mwanajeshi aliamua kuaga familia yake baada ya kuwa wamezingirwa na vikundi binafsi vya...
Picha hii inayosambaa mitandaoni ikiwaonyesha wanajeshi wa JWTZ wakipokea maelekezo kutoka kwa Polisi imeibua mjadala mkubwa. Huku wengine wakiona kama ni kushusha hadhi ya jeshi la wananchi, swali linabaki ni Je! Itifaki ya vyombo vya ulinzi na usalama inawezekana kwa jambo hili?
Hivi Hili ni...
Watanganyika wenzangu, naomba kufahamishwa kuhusu uanajeshi wa huyu mwamba aliyetoa masaa 24.
Huyu mjeda ni mwanajeshi wa nchi gani na yupo wapi kwa sasa?
By the way nayasubiria kwa hamu masaa 24 yapite ili kazi ianze
Kama kuna mtu yeyote anayo taarifa za muendelezo wa taarifa za huyu mwanajeshi wa Marekani. Zimepita siku nyingi sasa, amefikishwa mahakamani? Amefunguliwa mashataka yapi? Ameachiliwa?
Mbona hatukuambiwa chochote tena?
Sema huyu mwamba ana şura ya kinyakyusa sana, na hilo koti lake la soko la...
Kwa tukio kama hili, jibu la Marekani ni muhimu sana si kwa sababu ya yule aliyekamatwa, bali kwa ajili ya usalama wa taifa na ukweli. Ukimya wa Marekani utawapa CCM nafasi ya kuendelea kutengeneza simulizi yao ili kufunika mauaji ya tarehe 29 Oktoba 2025.
Taarifa rasmi kutoka Marekani...
Kwa wazoefu wa maeneo ya sirari kwenye mpaka wa Kenya na Tanzania, ni kichekesho cha hali ya juu kuuziwa propaganda eti Mwanajeshi wa Marekani amekamatwa akivuka mpaka rasmi wa Tanzania na Kenya akiwa na mabomu.
Yaaani Mwanajeshi wa Marekani aache kutumia porous border ambayo unaweza kuvusha...
Asubuhi hii nimeona video ya huyu jamaa anasema yupo Tanzania na tarehe 9 wataanzia Masaki mpaka Mikocheni
Sasa najiuliza huyu jamaa ni mwanajeshi kweli wa NATO maana hata sijawahi kumuona na gwanda tena anajitambulisha Kwa cheo Cha canal au mkwara mbuzi tu maana maneno yamekuwa mengi sana...
Ina maana ukiwa mwanajeshi haki zako za kiraia zinaondoka? Unakuwa hauna uhuru wa kumchagua kiongozi unayemuona anafaa kwa utashi wako binafsi!
Lets say kweli wamefanya kosa, ya nini kuanza kuwasimulia mapolisi wenzio kwamba mmekamata wanajeshi, takukuru, madaktari nk!
Kwa jicho la 3, mimi...
chama
chama tawala
gani
kampeni
kampeni za uchaguzi
kisheria
kosa
kosa kisheria
kuchagua
lini
maana
mabango
mwanajeshi
sababu
sheria
uchaguzi
wanajeshi
Tumeonya sana sana kama watu wa Mungu , machawa yakaona sie mataira ,kumbe lengo letu ni moja ilikua kuliponya Taifa .
Huwezi ongoza taifa ambalo liko katika wakati kama huu, hakuna Duniani kote hata waliojaribu , mnajua what happened, narudia ipo nafasi ya kuliponya Taifa .
1. Sitisha...
Sura kweli ni mwanajeshi,
Sare kweli ni za kijeshi,
Ila mawazo (Talking Points) ni ya ndugu Humphrey Polepole.
Wale wana-CCM ambao walidhani kwamba Polepole ana ushawishi mdogo hapa nchini, kwamba ni mtu wa kupuuzwa walifanya mahesabu yao vibaya mno. Malalmiko yote ya kuharibika kwa Tanzania...
Leo kila mmoja ameshuhudia kauli ya wazi toka kwa captain Tesha ikieleza hali mbaya ya nchi, na kulitaka jeshi lichukue uongozi ili kuinusuru nchi. Kwa wale waliopitia mafunzo ya kijeshi, kama mimi, tunajua kabisa, hakuna askari hata mmoja anayeweza kutoka hadharani na kutoa kauli kama hiyo...
Wanaukumbi.
(✍️ na mchambuzi wetu)
TESHA NI KANJANJA TU HAKUNAGA MWANAJESHI WA HIVI JWTZ
Nimemsikiliza huyu mtu aliyejivalisha nguo za JWTZ na anajiita Kepteni Tesha nimebaki najiuliza maswali mengi sana kama hii ndiyo aina ya wanajeshi wetu basi tuna wanajeshi vilaza sana kwenye JWTZ...
Kwa kweli Mama mikumi tena. Dogo anasema Weekend kesho tutamtafute yeye kuanzia Biriani mpaka wale walevi Mkojo wa Shetani. Mimi allahamdulilah sinywi vitu kharamu ila najua kaka yake mjaa laana kesho atakunywa sana.
Naambiwa mapolisi walio mafunzo pia wamepewa nguo za kiraia na kuingiziwa...
Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao.
KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!.
Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote...
Baharia wa Jeshi la Wanamaji la Marekani huko California amehukumiwa kwa kosa la ujasusi kwa kuuza siri za kikosi hicho kwa afisa wa China ambaye alimsajili kupitia mtandao ya kijamii.
Jinchao Wei, 25, alipatikana na hatia ya mashtaka sita, ikiwa ni pamoja na ujasusi, njama ya kufanya ujasusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.