Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,184
- 11,607
Kupanda kwa nauli za daladala na mabasi ya mikoani kungeendana na maboresho ya huduma husika.
Mathalani miundombinu ya stendi, mfano sehemu za kupumzika abiria, muda wa kuondoka mwanzo wa safari hadi mwisho wa safari, ubora wa vyombo vya usafiri na unadhifu wa watoa huduma nakadhalika na kadhalika.
Mamlaka zenye dhamana ya usafirishaji, kuweni wabunifu zaidi ya kubuni kupandisha nauli tu...
Haya sasa mwende mkalitizame na hili.
Gharama za usafiri ziendane na ubora wa huduma ya usafiri. Abiria wanateseka mabasi machache, huduma mbovu na huku gharama zikiwa juu.
Natoa Rai kwa Msemaji wa abiria kutoa neno kwenye jambo hili.
Asanti.
Mathalani miundombinu ya stendi, mfano sehemu za kupumzika abiria, muda wa kuondoka mwanzo wa safari hadi mwisho wa safari, ubora wa vyombo vya usafiri na unadhifu wa watoa huduma nakadhalika na kadhalika.
Mamlaka zenye dhamana ya usafirishaji, kuweni wabunifu zaidi ya kubuni kupandisha nauli tu...
Haya sasa mwende mkalitizame na hili.
Gharama za usafiri ziendane na ubora wa huduma ya usafiri. Abiria wanateseka mabasi machache, huduma mbovu na huku gharama zikiwa juu.
Natoa Rai kwa Msemaji wa abiria kutoa neno kwenye jambo hili.
Asanti.