Wasalaam.
Habari za kusikitisha ni kuwa Mtanzania Joshua Mollel aliuwawa na kundi la Hamas katika shambulio la Oktoba 7.
Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba inaeleza kuwa Ndg Joshua, alienda katika mafunzo ya Kilimo nchini Israel...
Tal Chaimi, mkazi wa Kibbutz Nir Yitzhak, na Joshua Luito Mollel, mkazi wa Kibbutz Nahal Oz , waliuawa wakati wakishikiliwa mateka na Hamas katika Ukanda wa Gaza.
Miili yao yote miwili bado inashikiliwa na Hamas. Chaimi aliaminika kutekwa nyara lakini, ushahidi mpya ulionyesha aliuawa Oktoba 7...
Tanganyika ilianzishwa chini ya wakoloni wa Kiingereza mnamo mwaka 1921 mara baada ya vita ya Kwanza ya dunia kuisha. Nchi hii ambayo toka ilipochukuliwa na Mjerumani mwaka 1885 iliitwa German East Africa Colony.
Hii ikimaanisha Kabla ya hapo hatukuwa na Tanganyika wala hakukuwepo nchi...
USAJILI, UTAJIRI, UMAHIRI
Kuanzia sasa ninafanya usajili,
Kuanzia sasa ninajisajili,
Najiunga kwenye chama cha utajiri.
Kwanza nitaboresha uwezo wangu wa akili,
Kila jambo nitafanya kwa kufikiri,
Na kwenye kazi yangu nitaongeza umahiri.
Kwa nini nimeanza na akili?
Kwa sababu nilimsikia tajiri...
Kadiri ya ombi tajwa hapo juu, nina mpango wa kuja WDC kwa muda. Hivyo naomba ndugu yangu mtanzania uliyeko huko unipe connection hasa ya makazi ya muda kwa bei nafuu au unihost.
Kwa mawasiliano zaidi karibu inbox.
Ubarikiwe.
Ndugu yako Kijana wa kitanzania.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Ripoti ya Hali ya Uchumi Nchini imeonesha Pato la Mtanzania mmojammoja (GDP Per Capital Income) limeongezeka kutoka USD 399.5 (Tsh. 322,397) kwa thamani ya dola mwaka 2000 hadi kufikia USD 1,200 (Tsh. 2,880,000)...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema katika ripoti ya Hali ya Uchumi nchini imeonesha Pato la Wananchi (GDP Per Capital Income) limepanda kutoka Dola za Marekani 399.5 (Tsh. 322,397) mwaka 2000 hadi kufikia Dola 1,200 (Tsh. 2,880,000).
Akifafanua...
Huwezi kuwa na chama tawala ambacho hakiwezi kuwajali wananchi waliokiweka madarakani.
Kero zao, shida zao lazima zisikilizwe kana kwamba wanawaamrisha waliowaweka madarakani
Makonda yupo sahihi kutoa matamko ili mawaziri wa CCM wasikilize kero za Watanzania.
Baada ya kuchinjwa kwa huyu dogo hapa chini, je aliyebaki kama mateka wa HAMAS, kuna yeyote anafanya jitihada za kuwabembeleza HAMAS wamuachie? Maana mpaka sasa tunaona wanaachiwa wa Israel, Wamarekani, wa-Thai na mataifa mengine, vipi hatima ya mwana EAC mwenzetu.
Wafia dini kwenye hili...
Iko hivi, wathailand 12 wameachiwa pamoja na waisrael 12 ikiwa ni makubaliano yaliyofanyika Kati ya Israel na Hamas. Sasa tujadili hill jambo. Clemence Mtenga sasa ni marehemu, amefia Gaza. Mpaka sasa maelezo hayajanyooshwa kuwa kafa kwa kombora, au gunshot etc. Vyombo vya habari vinavyojulikana...
Muswada uliosomwa kwa mara ya Kwanza kuhusu sheria ya Uchaguzi umeelekeza wananchi kulipia Kadi ya Mpiga Kura endapo atataka kuihuisha tena.
Hili suala halipo mbali na NIDA ambapo jambo la Kulipishwa wakati wa kukihuisha lipo.
Nini maana ya kuwa Mtanzania endapo hadi kutambuliwa uwepo wake...
Nchi ambayo hata mtanzania akitoka huishi kijamaa (japo kiukweli hata Tanzania kuna ukabila kwa mbali).
Nchi ambayo angalau kuna amani kama Tanzania
Nchi ambayo waweza kuanzisha hata duka la mahitaji ya nyumbani bila bugudha nyingi endapo ukilipa kodi.
Nchi ambayo suala la uchumba ama kuoana...
James Kidiga David
United Republic of Tanzania - Kiara secondary school
James’ journey towards becoming a teacher started in primary school. Knowing the importance of learning, he saw that many children do not get a quality education due to scarcity of teachers, poverty, early marriage, and...
Nsikuchoshe na Usinchoshe, tusichoshane!
Usije ukarogwa ukatoa ushirikiano wa aina yeyote kwa Mtanzania, hakuna mtu mpuuzi na mjinga kama mtanzania. Bado utampatia msaada wa bure lakini bado atakudondoshea zigo la lawama!.
Mtanzania ndiye mtu pekee duniani asiyethamini jasho la mtu.
1...
Jambo hili limeniuma sana. Tuliwahi kuwambia hapa kwamba hao mnaiwaunga mkono kwa sababu ya imani yenu sio watu wazuri hata kidogo. Sasa ona wamemuua mtanzania mwenzetu asiyekua na hatia. Yani mtu ameenda masomoni hata nchi sio yake ameuwawa kikatili.
Mlipelekea mihemuko yenu ya imani kuiunga...
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa masikitiko na huzuni imetangaza kifo cha Clemence Felix Mtenga, Kijana Mtanzania ambaye ni miongoni mwa Watanzania wawili ambao pamoja na raia wa Mataifa mengine walikuwa hawajulikani walipo tangu...
Wana Bodi,
Matumaini yangu kuwa nyote hamjambo!
Swali langu lipo hivi wewe mtanzania kwanini unaichukia Hamas?Ni maslahi yapi unapata kwa kuichukia Hamas?
Na kwanini usiichukie Israel kwa kuvamia Palestine kwa nguvu wakati kiukweli ardhi ni ya wa Plestina.
Wapelestina wakidai wanashushiwa...
Ni ngumu sana kuona kwenye channel za wenzetu wakipiga ngoma zetu za kibongo yaan labda ya msanii mkubwa Sana Africa na sehem zingine duniani.
Sisi channel zetu zinaweka sana utimu mbele na kupiga ngoma za wanaigeria,wamarekani na kudidimiza sanaa ya bongo na ndy maana wasanii wanawaiga...
Amesema hayo akihoji kuhus Njia iliyotumika Kuwasimamisha walimu hao,Bila ya kufuata utaratibu wa kinidhamu wa kiutumishi,Hata hivyo ameongeza na kusema kuwa lisionewe kundi fulani tu kwani hata baadhi ya wabunge pia nao wanacheza miziki hiyo..
"Wapo mawaziri humu ndani na sisi wabunge huwa...
Hivi karibuni kauli ya Paul Makonda imedhihirisha katika ukandamizaji wa Uhuru wa Kujieleza nchini baada ya kusema wastaafu hawaruhusiwi kutoa maoni.
Wastaafu wana haki ya kutoa maoni yao kama watu wengine hasa maneno ya ushauri kwa vijana,wakati mwingine huwa ni ushauri mzuri.
Katika Katiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.