Naitaka Nioe Sasa Kuna MTU kaniambia ukitaka kuoa Kuna mlolongo mrefu hadi kuandika barua kwa mkono au kutype then iende kwa binti usubiri majibu.
Binafsi Mimi ni Mtu ambae hua sipendi vitu vya kunisumbua au kusubiri hususani milolongo.
Naweza kubadil mawazo ndani ya Dakika moja
Sasa nauliza...
Habari wadau.. kuna jmaa yang alitaka kuposa kwenye mji flan hapa Dom , akatafuta MSHENGA akapeleka posa na kukubaliana mahali.. Lakini changamoto inakuja muhusika anapotaka kutoa/kupeleka mahari ; MSHENGA anakuwa anamambo mengi,, je jamaa anaweza kubadili MSHENGA na kupeleka hio mahari?
Maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.