mpenzi

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kajipost mtandaoni akiwa na mwanaume ambae nina mahusiano naye. Anamaanisha nini?

    Kama kichwa kinavyojieleza, huyu mwanamke sijajua nia yake haswa ni nini Mimi kusema ukweli simjui kabisa huyo dada nimeshangaa tu mtu kanitumia request ya kuni follow ikabidi niangalie ni nani Hakuna picha kwa account yake zaidi ya passport ya kichwa chake kama pembe Tatu.. ila miongoni mwa...
  2. jamaikatz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaongea na mpenzi mara ngapi kwa siku ??

    Ndugu zangu,tupeane ushauri hapa, kwa siku unatakiwa kuongea na mpenzi wako mara ngapi ???
  3. Mafyangula

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maneno ya kumpa mpenzi hisia kali za mapenzi

    Mapenzi ni matamu sana ukipata anayekupenda na kujali hisia zako. Embu tupunguze kidogo haya mawazo ya nchi yetu maana yamekuwa mengi tulifreshi akili kwa mambo matamu na mazuri ya kimahaba. Nakupenda zaidi ya unavyoweza kufikiria. Wewe ni furaha yangu ya kila siku. Ukiwa mbali nahisi upweke...
  4. sergio 5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa sasa mimi ndiye mwenye mpenzi mzuri kuliko wote Tanzania

    Siitaji kusifiwa maana nishasifiwa sana Ila ni mwanamke ambae kila mwanaume anamtamani Mara nyingi nimeshawahi kwenda nae BAR kwa heshima watu wanatupisha kutuachia seat tena madingi na heshima zao Tuna tembea njiani watu kupark gari kuomba watusindikize tunakoenda NB: hii ni story kutoka...
  5. Silivian

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi Bila Majaribio ni Hatari

    Ifike mahali suala la kuoa kisheria liliangalie kwa ukaribu, mke pia ajitolee walau miezi 6. Kama ilivyo kuomba kazi, kwanza ujitolee wakuangalie..🫵🏾
  6. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu amesema ikisimama asubuhi haisimami tena mpaka kesho asubuhi je hii ni kawaida au mwanaume ni shoga?

    Haya Marijali naomba mje mjibu swali Du, kwa siku mara moja, alooo!
  7. Loading failed

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukubwani kuna yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe huwezi kuja kumsahau kwenye maisha yako hata kama maisha yatawatenganisha. Ni nani huyo

    Ndugu zangu. Mpaka unakuja kuzeeka na kuingia kaburini kila mtu ana yule rafiki au mpenzi ambaye kamwe hawezi kuja kumsahau kwenye maisha yake kama chachu ya mafanikio au kutokufanikiwa kwake. Kwenye maisha tunakutana na malaika na shetani walio vaa mwili wa mwanadamu na kamwe huwezi kuja...
  8. Money Penny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi toka Cuba 🇨🇺 ♥️

    Haiyaaaa Ayaaa! Nimerudi 😂😂😂😂 KAMA UNAITAKA HII HADITHI COMMENT NAITAKA NATAKA COMMENTS 200 KWANZA ZINAZOTAKA NILETE HADITHI, NDIO NILETE HADITHI KWA MNAO NIFAHAMU MNANIFAHAMU KWA MNAOPENDA SAUTI YANGU MTANGULIE YOUTUBE CHANNEL YANGU https://youtu.be/RJMpeYwifEU?si=DVBj_N5wTlWHx9_d
  9. Isenye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu kanishtakia kuwa kapigwa mikanda na mumewe. Nichukue hatua gani?

    Mko poa walimwengu? Nina mpenzi wangu ambae ni mke wa mtu Jana jioni tulikua tunachat nae kwenye moja ya mtandao wa kijamii.ghafla nikaona kapotea hewani Baada kama ya masaa mawili nikaona number ngeni inanipigia kupokea ni huyu mwanamke wangu alikua katumia number ya jirani yake, alikua...
  10. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KAMA UNAAMINI MPENZI WAKO AKUCHEAT NYOOSHA KIDOLEE...

    NA KAMA UNAMCHEAT NA UNATUMIA CDM NYOOSHA MKONO PIA
  11. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KAMA UNAAMINI MPENZI WAKO AKUCHEAT NYOOSHA KIDOLEE...

    NA KAMA UNAMCHEAT NA UNATUMIA CDM NYIOSHA MKONO PIA
  12. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Mwanamke ashikiliwa kwa tuhuma za kuua mpenzi wake na wembe

    Mwanamke aitwaye Pendo Medusela (37), mkazi wa Manispaa ya Shinyanga, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake, Timithoy Magesa (35), kwa kumkata kwa wembe sehemu mbalimbali za mwili wake kutokana na wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi...
  13. Lattafa

    JamiiForums Tanzania Uchawi wa Kisasa : Je, Ushauri wa Kupata Mpenzi Unafanya Kazi?

    Nilitumia mbinu ya uchawi wa kisasa(Hyposis) kutoka kwenye YouTube kwa wiki moja. Nimekuwa nikikuta video mbalimbali za wanaume na wanawake wakitoa " Ushauri wa Uchawi ". Mfano, mbinu za kuongea, Kutoa Mapendekezo ambao ni ngumu kukataliwa. Mazoezi ya kujenga ujasiri, Hata " miiko" midogo ya...
  14. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano

    Mimi ni Me 40yrs, nahitaji mwanamke wa kuwa nae kwenye mahusiano awe anapatikana Rukwa Sumbawanga. Karibu PM
  15. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeota mpenzi wangu amevishwa pete ya uchumba

    Wadau. Nimeota demu wangu amevishwa pete ya uchumba na jamaa askari polisi na kwamba yeye ndiye alimtoa bikra. Kwamba demu anampenda sana mshikaji. Mtu mmoja akahoji mbona anaavaa pete ya uchumba muda wote? Anamlingishia nani? Nikacheka. Halafu ni kweli demu ana pete kidole cha kati...
  16. Equation x

    JamiiForums Tanzania Wewe unayehonga, mara ya mwisho kula kuku mzima aliyechomwa ilikuwa lini?

    Wewe kijana unayehonga fedha zako kwa wadada/wamama, siku ya mwisho kula peke yako kuku mzima wa kienyeji aliyechomwa ilikuwa lini? Kama hukumbuki au hujawahi, chukua hatua mapema, jipende kwanza vingine vitakuja kwa ziada. Kama umezaliwa kuja kutatua kero za hao wadada/wamama, kazi kwako...
  17. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Walimwengu ninechanganyikiwa; Nimezifuma meseji za mpenzi wangu akimuomba jamaa amuoe kwa kutumia vocha yangu!!

    Mbaya zaidi amezituma muda mfupi tu baada ya kumtumia vocha, Kinachouma sana ni kwamba kazituma akiwa ndani ya gari anakuja kwangu baada ya kumtumia nauli (nilidhani atakuwa ananifikiria Mimi kumbe sivyo mbwa huyu)., Inasikitisha amemshawishi jamaa ikiwezekana abadilishe dini hata kwa kuzuga...
  18. Tunguja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unapata wapi ujasiri wa kumwacha kwa kashfa Mpenzi wako ambaye ana picha zako zako utupu?

    Swali langu ni hilo tu,mtu ambaye ulishamtumia picha/video zako ukiwa uchiiii na unajua bado anazo, unaweza vipi kuanza kumdhalilisha mbele za watu?
  19. Youbettersleep

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dawa ya Mpenzi anayekujibu dharau au ambaye hana muda na wewe ni hii hapa

    Wajomba na Mamshangazi habari zenu. Mahusiano yanachangamoto nyingi sana, ukiona mahusiano yako yamesimama imara na hujawahi pitia changamoto kama hizi siku ikikukuta utatamani kuzimia. Baadhi ya mahusiano yanapitia changamoto hizi. 1. Kunyamaziwa kimya kwa siku 2 hadi 3 2. Kujibiwa majibu...
  20. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi jinsia ya KIKE

    Natafuta rafiki wa kike, kabila yoyote, kuanzia miaka 40-50. Dini yoyote, mfanyabiashara au mwajiriwa. Naishi Dar. Nina miaka 50, mwanaume, urefu wa kati, maji ya kunde. Msukuma na Mjita. Mzaliwa wa Dar. Mfanyabiashara. Karibu atakayependezewa. Tafadhali naomba dharau, dhihaka na utani vikae...
Back
Top Bottom