movies

  1. Nchi zetu zinataka tutumie internet kuangalia games, mpira, pornography, movies na mambo kama hayo. Ukigusa sensitive issues hawataki kabisa

    Africa sijui tutakuja kuamka lini aisee Unaona viongozi wanapambana sana na Internet linapofika suala la mambo ya msingi mustakabali wa maisha yetu na kutaka haki na utawala bora. Ukweli ni kwamba aidha watake au wasitake hawawezi kupambana na teknolojia. Mwanzo walianzaga hivihivi, wakaanza...
  2. GE2025 Nilijiona mbabe wa kuangalia Horror movies, ila haya yamenishinda

    Mtoto anakimbia na mama yake anapigwa shaba anakufa taratibu huku anaona analia mama amka..? Kijana anakufa taratibu wakati utumbo wote umemwagika nnje?? Watoto wanalia mamayao kafuatwa hadi ndani kapigwa shaba wanalia juu ya damu iliomwagika??? KWASASA SITOANGALIA VIDEO NYINGINE KWA...
  3. F

    Naombeni mnisaidie application ya kudownload movies

    Wakuu naombeni mnisaidie application yoyote ile ambayo naweza kudownload movies maana kuna movie au tamthliya naitafuta inaitwa orphan of a nation so nataka niidownload aisee
  4. Wiki hii tafuta muvi hizi 6 za kutisha (SCARY MOVIES) ili wikiendi uziangalie na hautojuta

    1: Devil's advocate Kijana mwanasheria machachali kutoka mji mdogo ana kuwa recruited kwenda kwenye law firm ya kitajiri na anapewa kila kitu ambacho hata aliowakuta hawakuwahi kupewa, lakini anakuja kugundua aliajiriwa na shetani kutetea wafanya makosa ya hatari, kinachofata ni sokomoko. 2...
  5. Wikiendi hii chukua muda wa kuangalia hizi SPY MOVIES 6 na hautojutia

    1: THE GOOD SHEPHERD Mwamba anachukuliwq kutoka chuo ili kuwa sehemu ya CIA, anaanzia kazi nyumbani kugundua maspy wa kinazi marekani hadi kupelekwa ujerumani kupambana na maspy wa kirusi. Jamaa ni mtiifu kwa CIA hadi ilifikiwa wakati alimuua mchumba wa mtoto wake baada ya kugundua ni spy...
  6. Movies na series Kali za Kijasusi: Chukua mbili hizi kisha shusha zingine

    Ijumaa Kareem! Kwa wapenzi wa action Movies series za kijasusi basi tafuta hizi kama haujawahi kuziona; 1. The Night Agent 2. The day of Jackal 3. London Gang 4. Mobland 5. King of Jo'burg 6. Unseen 7. Kula vyuma hivyo alafu uje hapa! Zile mbili za juu ndio muvi za moja kwa moja za vitengo
  7. Kwa wapenzi wa Movies na mipira, pitieni Canal+ online mpate kuburudika

    Unachohitaji ni Internet ya uhakika: Kwa watumiaji wa android au smart TV, ingia PlayStore, download Lokke. Ukimaliza, ifungue. Kwenye search, andika vavoo.to Baada ya hapo, channels kibao zitakuja, endelea kumove. Unaweza kuwa unapitia kwenye sub menu.
  8. Collection movies library

    Habari wadau Nafungua library hivi karibuni nahitaji mtu wa kunisaidia kupata movies na baadhi ya mahitaji yanayohusika na library
  9. Kama wewe ni 80s na 90s kid na haukuangalia hizi movies utotoni wakati unakuwa basi labda ulikulia msituni

    1: Rambo (1, 2, 3) 2: Predator 3: Commando 4: Sarafina 5: Neria 6: Blood sport 7: Enter the dragon 8: Drunken master 9: Rocky 10: Tai chi master 11: Lion king 12: Titanic 13: Anaconda 14: Coming to america 15: Blade 16: Friday 17: Scarface 18: Terminator (1, 2) 19: Deadly prey...
  10. Wapenzi wa movies za Kijapan

    Ukitoa Hollywood, Japan ndiyo wanafuata kwa kutoa movies nzuri na za akili, iwe ni action, drama au animation. Na upande wa animations wanaweza kuwa wanaizidi hollywood. Na ubora wao upo toka miaka hiyo tunatawaliwa. Kama unapenda movies zao share hapa. Hii 11 Rebels ya 2024 ina story na...
  11. M

    Ukiangalia movies za Kituruki zilr za Azam utajua ugumu wa Iran kushinda vita. Waarabu huongoza kwa usaliti na unafki

    Hii ni tamaduni ya kiarabu kuongoza kwa usaliti na unafki...Ni rahisi sana Baba wa kiarabu kumzalisha mkwe wake... Ni rahisi sana kuwagombanisha familia za kiarabu kupitia mali... Ndio maana uoana wenyewe kwa wenyew kwenye familia ili tu kwa ubinafsi waliona.. Ndio maana kwenye ya kiislamu...
  12. Ni site gani nzuri ya kudownload movies mpya?

    wakuu habari,nahitaji kujua site nayoweza kupakua muvie za hollywood,kihindi,kichina nk hata kwa kulipia. kuna moja huwa naisikia "Netflix"vp ipoje,ina udhaifu gan?
  13. Jitengenezee Streaming Server (Kama Netflix) Local (ya Nyumbani Kwako) [Tutorial]

    Wengi wetu ni wapenzi wa Movies na Series. Streaming services zililetwa kupambana na hali ya watu kutotaka kulipia cable services na pia watu kutumia piracy. Mwanzoni ilikuwa idea nzuri, lakini baada ya streaming companies kuongezeka na bei zao kupanda, inakuwa ngumu sana (haswa kwa sisi wa 3rd...
  14. Mfanyabiashara wa library za movies pitia hapa

    Karibuni sana kwa maswali na ushauri kuhusu suala zima la uuzaji wa movies
  15. Everything you held from the Member of Parliament or Executive Body just know it is planning like action Movies

    It is just series from the book of Regime(Government) kwa vyovyote ni propaganda za kuondoa watu attention zao. Watu wanapika Movies then we pay to watch it.
  16. Samahan wakuu, kati ya kuongeza Salon ya pili na Library ya movie bora kipi?

    Ni salon ya kiume, tayarii nina computer imebaki tu kununua storage bas, Lakin kuna mawazo yamenijia Leo usiku kua kwanini nisiongeze saloon ya pili ambayo kwa eneo naloishi kwa wiki napata 75000-85000. lengo nisogeze kama mita 200 hivi kutoka hii salon ya hapa iliyopo, nikaona nije kwanza...
  17. Apps nzuri na bure kwa Michezo, Movies, News

    Kusambaa kwa internet kunabadilisha namna tunavyoishi na kufanya mambo, kwangu mimi imeondoa matumizi ya ving'amuzi(tv decoders) sasa natumia apps kuwatch kila kitu Tv channels, movies, michezo mbalimbali kwa gharama nafuu. Hizi ni list ya Apps ninazotumia kwenye Android TV na Android phone...
  18. E

    Miziki na Movies kwenye mabasi zipigwe marufuku, zinachangia mmomonyoko wa maadili

    Unamlinda mtoto nyumbani kwa kutoangalia mamiziki na movies za kipuuzi lakini unakutana nayo kwenye mabus siku ya kusafiri na mtoto. Mamiziki mengi Kwenye mabus ni ya kipuuzi yenye kutikisa makalio, kuvuta sigara.Pia unakuta wanaweka movies zenye sehemu wakifanya ngono. Kuna siku kwenye bus...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…