movie

Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.

View More On Wikipedia.org
  1. loliondokwetu

    Subtitle kwenye app ya movie box

    Habari za mida waungwana,kuna mdau mmoja niliona alirecomend app ya movie box kwamba ni nzuri na simple, ni kweli nimeikubali ipo vzr, shida ipo kwenye subtitles huwa kuna baadhi ya movie subtitles huwa sinachelewa au inakuwa mbele yofauti na tukio husika,nimejaribu kucheki namna ya kuadjust...
  2. Magical power

    Wahenga wenzangu mnaikumbuka hii movie

  3. ELI COHEN

    Hivi ile movie ya kibongo iliyokuwa inapigwa promo Azam kwamba ina budget ya mamia ya mamilioni, iliishia wapi? Box office yake ilikaa vizuri?

    Wakuu hivi ile filamu ya kitanzania iliyojulikana kama Eonii ambayo ilipigiwa sana Promo na watu kuifananisha na movie za hollywood imeishia wapi? Soma pia: EONII 2023 movie ya kwanza kali ya Technology Tanzania, kama Hollywood vile
  4. ELI COHEN

    Kuna watu kiu yao ya vurugu inayotokana na msukumo wa itikadi zao au hamasa binafsi inafanya nikumbuke quote hii katika movie ya The Dark Knight

    Baada ya kuwa Batman ameshindwa kumuelewa The Joker kuhusiana na njia zake za vurugu pamoja na makusudio yake maana waharifu wengi makusudio yao ni kujipatia pesa ila the joker haeleweki. Ndio hapo, yule mzee ambaye ndio Guardian wa Batman tangu utoto akamwambia Batman maneno haya: "Because...
  5. ELI COHEN

    Mnamkumbuka Tong Po yule ambae Van Damme alimkuta anapiga ukuta hadi unatiksika kwenye movie ya kick boxer 😂. Kumbe hakuwa Mthailand wala nini!

    https://youtube.com/shorts/gTEMno7Z2-U?si=xSlG6kfVeuVYMh01 Kumbe jamaa ana asili ya morocco. Ila Kwenye filamu alitengenezwa ili afananie kama mthailand. Ila jamaa ni mtalaam wa martial arts pia ni muaandaji wa filamu za zinazohusiana na martial arts. Kickboxer ni moja ya classic movies...
  6. fundinaizer

    Movie zenye maudhui ya The Platform nipeni list hapa nishuke nazo usiku huu wa mwisho wa wiki

    Bila kupoteza muda wakuu mnaopenda movie zenye maudhui ya uhalifu, mateso ya kisaikolojia kama The Platform au escape room mnaweza nipa list hapa nishuke nazo usiku huu wa mwisho wa wiki.
  7. B

    Movie za mafunzo zenye maudhui ya Kikristo

    Habari wakuu.. Naomba msaada wa movie nzuri zenye maudhui ya kiristo ambazo ni inspirational ambazo zinaweza kumjenga mtu kiimani akiziangalia, zenye mafundisho, zisizo na scenes au picha chafu(za uchi).
  8. KENZY

    Napata wapi hizi movie?

    Romeo must die na paris has fallen season 2.
  9. Kaunara

    Bongo Movie wanapataje hela?

    Habari, Moja ya sanaa ambayo inanichanganya hapa bongo. Ni bongo movie. Najiuliza Hii Tasnia ya sanaa hawa wahusika wanapataje hela? Mabadiliko makubwa ya Technolojia kutoka vhs, cd, flash na sasa watu kustream/download movie online. Naomba kujua hii Tasnia watu wanapata vipi hela.
  10. ESCORT 1

    Nifanyeje ili flash yangu iweze kupokea movie za 4K?

    Nimedownload movie zenye 4K kwenye laptop ila nikirusha kwa flash inagoma licha ya flash kuwa na ukubwa wa 64gb. Naombeni muongozo Cc: Chief-Mkwawa
  11. Mad Max

    Human Centipede (2009): Hii Horror Movie hapana!

    Kama una bando tafuta hii kitu. Maproducer na Madirekta wa kizungu wanawaza vitu vya ajabu sana.
  12. kelvinvevo

    Your best movie of all time ambayo hutochoka kuirudia..

    Yangu mm ni gladiator iliyotoka mwaka 2000.. how bout yours...?
  13. N

    Anayekumbuka jina la Movie hii ya Simba

    Wana JF, msaada Kwa anayeifahamu jina la movie Fulani ya zamani sana, watu wanaliwa na kuvamiwa na simba nyumbani kwao. Siikumbuki jina coz niliona miaka ya nyuma sana. Kwa anayeikumbuka au aliyewahi kuiona msaada WA jina la movie tafadhali
  14. Salahan

    Wadau wa movie na sizoni zilizotafsiriwa hii isikupite.

    Kama wewe ni shabiki wa dj mack jumakhan Murphy Nk basi kuna chimbo lenu lakujipakulia mizigo kama yote...Mchawi bando lako tu.Ingia google tafuta SIZONI COM humo nikujichotea tu. Pia kuna huduma ya kujiunga VIP ukiona kwenye bure hapakutoshi.
  15. Samia atosha tukutane2030

    Kabla ya Ijumaa jioni litatengenezwa bonge la movie ili kufunika jambo

    Kwa uzoefu wangu nina uhakika 100% kuwa kabla watu hawajalala siku ya Ijumaa tayari movie itakuwa ishatoka. Ni mwendo wa movie tu. Movie hii itatolewa kufukia jambo. Watanganyika msitolewe kwenye reli kwa aina yoyote ya movie hata kama hiyo movie itahusisha kutolewa watu uhai. Akili yangu...
  16. Gemini AI

    Movie au Series gani unaweza kuiangalia mara nyingi na haikuchoshi?

    Movie au Series gani unaweza kuiangalia mara nyingi na haikuchoshi? Kuna baadhi ya filamu na tamthilia ambazo, hata baada ya kuzitazama mara kadhaa, bado zina nguvu ya kutuvuta tena na tena. Zina uwezo wa kuamsha hisia, kutufurahisha, na kutufanya tuzihusudu kwa kila mara tunapozitazama...
  17. greater than

    Taja a.k.a ya Movie Utajiwe Jina halisia

    Movies/Sinema/Series nyingi pendwa na zenye kutamba unakuta zimegewa a.k.a ambazo hufanya watu wasijue jina halisia... Leo nataka watu mtaje a.k.a /majina ya utani ya hizo sinema wengine watakusaidia kutaja jina halisia.... Mimi naanza MATHIAS KISIMA CHA MAMBA- NO RETREAT NO SURRENDER 2...
  18. Salahan

    Kwani kuangalia Movie Na Series Ni Hatari Kwa Afya Yako

  19. ndege JOHN

    The killers (2014)..usikose hii movie bonge la chuma

    Zee ni mwanamke maarufu anayeishi Paris ambaye huajiriwa mara kwa mara na Finn, raia wa Ireland anayefanya kazi kwa bwana wa uhalifu Jules Gobert, ili kuwaondoa wapinzani wa Gobert katika biashara ya dawa za kulevya. Maisha yake ya jeuri yamemfanya abaki na mambo machache ya kufurahia, mfano...
  20. Mshana Jr

    Utapeli wa wasanii wa bongo movie: Diamond ni mhanga na aliwasema waziwazi

    Nina uzoefu binafsi na hawa watu.. Sio wakuwaendekeza hata kidogo. Ni wabinafsi, ni wachoyo, ni ombaomba hawaridhiki na hawana shukrani.. Ni waongo sana pia na huwa wanajiona ni wajanja kukuzidi Unaweza kujitoa kuwasaidia sana. Watakupamba sana na kukuganda lakini nyuma ya pazia wanakuona...
Back
Top Bottom