mombasa

Mombasa ( mom-BASS-ə, also US: -⁠BAH-sə) is a coastal city in southeast Kenya along the Indian Ocean. The city is known as the white and blue city in Kenya. It is the country's oldest (circa 900 AD) and second-largest city (after the capital Nairobi), with a population of about 1,208,333 people according to the 2019 census. Its metropolitan region is the second-largest in the country, and has a population of 3,528,940 people.Mombasa is a tourism-based city; it has an extra-large port and an international airport, and is an important regional tourism centre. Located on the east coast of Kenya, it also is the home of one of the state houses, and is considered by some as a second capital in all but name.
In an effort to increase tourism, in June 2018 Mombasa County Governor Hassan Joho issued a directive requiring that all buildings in the Old Town and the Central Business District be painted white with Egyptian blue trim and banning all signs from their walls or canopies. "This allows tourists to take photos," explained Transport, Infrastructure and Public Works County Executive Tawfiq Balala. "We want to be the most photographed city in Africa." The order was challenged by the Commission For Human Rights and Justice, but Judge Erick Ogolla upheld the requirement.In Mombasa County and the former Coast Province, Mombasa's situation on the Indian Ocean made it a historical trading centre, and it has been controlled by many countries because of its strategic location.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    Eric Omondi Rushed to Hospital Hours After Starting Walk Nairobi to Mombasa

    Comedian and activist Eric Omondi has been rushed to hospital after suffering injuries just hours into his ambitious charity walk from Nairobi to Mombasa, a journey covering more than 480 kilometres. The walk, which is part of a fundraising campaign aimed at supporting vulnerable communities...
  2. Waziri Balaam amesema intaneti kutopatikana Uganda ni baada ya Meli kuharibu Nyaya (fibre optic) Mombasa

    Kituo cha Televisheni cha Taifa (UBC) kimemhoji Waziri wa Nchi, Masuala ya Vijana na Watoto, Balaam Barugahara Ateenyi, kuhusu tatizo la mtandao nchini Uganda. Waziri alieleza sababu za kufungwa kwa intaneti. Waziri amesema kuwa awali, Kamisheni ya Mawasiliano ya Uganda (UCC) ilifunga intaneti...
  3. A

    Meli 28 ziko kwenye foleni Bandari ya Mombasa huku uhamisho kutoka Dar es Salaam ukiendelea kuongezeka

    Bandari ya Mombasa inakumbwa na msongamano usio wa kawaida wa meli, ambapo meli 28 zipo kwenye foleni huku idadi inayoongezeka ya wauzaji wa mizigo wakiamua kuhamisha huduma zao kutoka Bandari ya Dar es Salaam kutokana na msongamano na ucheleweshaji wa operesheni unaoendelea nchini Tanzania...
  4. Mombasa itajitenga na Kenya kwenye miaka ya mbeleni

    Katika hali iso ya kawaida kuna movement ilioanza toka mwaka 2011 ya mombasa kujitenga na kenya kua nchi inaojitegemea, baadhi ya watu hawafurahii kuwepo kwa nchi moja ambayo Mombasa ipo ndan yake kutokana na sababu nyingi sana lakini kuu ni siasa za nairobi kutoshabiana na uhalisia wa aina ya...
  5. Nyie wahuni wa KM Mombasa laana inawatafuta. Tushawajua wote ingawa mlivaa musk

    Za Leo, saa nane kasoro mchana napigiwa simu na Mama muuza chakula kwamba amepigwa chakula kimemwagwa na pia wamemtukana mbele ya watoto zake, Baadae kidogo nampigia rafiki yangu jina maarufu "Gwasuma" ananiambia walichukua majivu na kuni wakaweka kwenye sururia la makande ambayo Huwa tunanunua...
  6. Mwabili Mwagodi apatikana ametupwa pwani ya Mombasa

    "Mwabili alitupwa kichakani huko Kinondo, Kaunti ya Kwale majira ya saa 9 alfajiri, ambako alitembea takriban kilomita 3 hadi Diani. Alipowasili Diani, aliweza kuwasiliana na familia yake ambao walitufahamisha, na tukatuma maafisa wetu mara moja." Hussein Khalid "Alipokuwa Diani, Mwabili...
  7. Ukiitoa Congo Bandari ya Dar es salaam inahudumia nchi masikini sana kiuchumi

    Ukiitoa Congo, nchi zinazo bakia ni masikini dana kiuchumi, Burundi na Malawi ziko kwemye top 5 ya nchi masikini kabisa Duniani hapa. Zambia nao kiuchumi hawako vizuri kabisa, Hao Rwanda sawa ila nao ni nch ndogo sana. Congo pekee ambaye ana mchango mkubwa kwenye Bandari ya Dar ingawa naye pia...
  8. Y

    Tetesi: Eneo la Wazi lililopo Shehia ya Mombasa, Magharib B linajengwa kimyakimya, Viongozi mpo kimya

    Mimi ni Mkazi wa eneo la Mchina Mwanzo katika Shehia ya Mombasa, Wilaya ya Magharib B, hapa karibu na kwetu kuna eneo la wazi ambalo limekuwa hivyo wazi kwa Miaka mingi, lakini hivi karibuni kuna ujenzi ambao unaonekana unataka kuanza na kwa tafsiri ya harakahara ni kama ‘ujenzi wa kimyakimya’...
  9. Godoro kutoka mombasa kuja tanga

    Wadau niko na mattress natak iende tanga niko mombasa vip naweza kusafiri nayoo sio mpya ni ya kitamboo kidogo jeee nafanyajeee ifike tanga nikawape ndugu zangu ni godoro la 5 ×6
  10. T

    DOKEZO Waandishi wa habari wa vyombo rasmi niwaombe mtembelee kuripoti mateso kwenye ofisi za NIDA Ukonga, Mombasa

    Kiukweli sijajua kama tatizo ni mfumo ama watendaji wa serikali au ni kitu gani lkn itoshe kusema hali katika ofisi za nida hapa ukonga Mombasa ni ya kuchosha, kufedhehesha na ya kukatisha tamaa. Kama hatutapaza sauti tutaendelea na huu utaratibu ambao sielewi kama kweli kama nchi tumeshindwa...
  11. B

    Meli imeshusha mzigo, imeelekea Mombasa na kushusha na sasa imeishafika india! Siku 11, bado mzigo haujatoka bandarini, kisa mfumo wa TRA

    Salam wanabodi. Hakika haya ni maajabu, inawezekanaje meli iliyoshusha mzigo Bandarini siku 11 nyuma, ipitie Mombasa na hadi sasa imefika India, lakini bado mzigo wangu haujatolewa bandarini? Kila nikiuliza agent (BE FORWARD naambiwa kuwa ni tatizo la mfumo wa TRA. Haya ndio Mabadiriko chanya...
  12. G

    Diamond Platnumz na Nandy Wazoa Bilioni 3 huko Mombasa kwenye harusi ya Zakir, Mwana wa Bilionea Imran Kholsa. Rais wa Kenya Miongoni mwa Wageni

    Super bilionea toka Mombasa, Imran Kholsa, ameendelea kuthibitisha kuwa pesa kwake si tatizo, akigeuza harusi ya mtoto wake kuwa tukio la mwaka Ni baada ya kutenga kiasi cha dola 1,350,000 (sawa na shilingi za Kitanzania bilioni 3) kwajili ya Diamond Platnumz na Nandy kutoa burudani kwenye...
  13. Diamond Platnumz kulipwa BIL 2.3 kutumbuiza katika harusi ya kifahari Mombasa Kenya

    Habari wakuu. Kweli kuna watu wanakula mema ya nchi. Katika harusi iliyofanyika leo jijini Mombasa, Diamond Platnumz amelipwa Bil 2.3 kwaajili tu ya kuperform kwenye harusi hiyo. Kwa wale wenye source naomba wanijulishe hii ilikuwa ni harusi ya nani kwakuwa hadi Rais wa Kenya William Ruto...
  14. C

    Ufisadi wa Mawakili Feki na Athari kwa Wananchi Ukonga

    Mwabukusi, Rais TLS, hali ya mahakama za mwanzo ni ya kusikitisha. Kuna wanasheria uchwara wengi. Rais Mwabukusi, sijui kama unajua hali hii hapa Ukonga? Katika mahakama za mwanzo, zipo ofisi za "wanasheria" wa ovyo ambao wanapokea kesi za watu na kuzipeleka mahakama za mwanzo na za juu. Wengine...
  15. Lamu, Mombasa na Tanga toka miaka na miaka hii ni moja ya sifa zao

    Toka miaka ya 90 moja ya utani kwa mtu anayependa vitu vya bure aende Mombasa. Kuwa kwa Mombasa unaweza enda kula sehemu ukataka kulipa wakakuambia ushalipiwa wewe..... Ukaoneshwa mtu ambaye unaambiwa amekulipia unamwona anakuna ndevu zake akitabasamu. Hii hali na huu utani upo miaka nenda...
  16. Ismail Bayumi Rafiki wa Tom Mboya na Muasisi wa TANU Club Mombasa 1950s

    SMAIL BAYUMI MUASISI WA TANU CLUB MOMBASA 1950s Nimemjua Ismail Bayumi Moshi mimi nikiwa mtoto mdogo wa darasa la pili au la tatu miaka ya mwanzoni 1960s. Naukumbuka utanashati wake na gari yake nzuri aliyokuwa akiendesha. Wakati huo nadhani alikuwa akija Moshi akitokea Mombasa kuja...
  17. House4Sale 5 bdrms house for sale Mombasa relini

    5 bedrooms,1 master bedroom Ina kisima cha maji safi na tank lake Eneo sqm 1000 Parking space ya kutosha ata gari 8 Title deed Bei 190m mazungumzo More details 0715877076
  18. Gavana wa Mombasa atuhuhumiwa kutuma wahuni kumlawati mwanamitandao mkosoaji wake

    Gavana Abdullswamad Sharrif Nassir wa Mombasa anatuhumiwa kila kona kwa kutuma wahuni kumlawati mwanablogu mkosoaji wake Bruce John. Video ya mwanablogu huyo akifanyiwa madhila hayo imesembaa huku mwenyewe akikiri kutekwa, kuteswa na kulawaitiwa na vijana wawili.
  19. Mlisikia ya mkosoaji wa gavana wa Mombasa kutekwa, kuteswa na kulawitiwa?

    Mshikaji anaitwa Bruce John Chawa. Ni blogger maarufu kama chawa 001. Ilikuwa 12th September, 2024. Unaambiwa watu kama 20 walikuja kumteka. Majirani walivyotoka jamaa wakadai wao ni polisi. Unaweza ukamsikiliza zaidi katika hii video.
  20. Ni kwanini Bidhaa za Electronics hapa Uganda ni Nafuu sana ukilinganisha na huko Nyumbani Tanzania na bado wanategemea Bandari za Mombasa na Dar?

    Na cha Kushangaza zaidi karibia 85% ya Bidhaa zao hizo za Electronics ni Original kabisa lakini bado wanaziuza / zinauzwa kwa Gharama nafuu sana wakati huko Tanzania ( Nyumbani ) bidhaa nyingi ambazo tunauziwa kwa Gharama Kubwa hapa Uganda bado ni Feki pia. Haya Mangwena ( Wabobezi ) wa Uchumi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…