mo29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Think2

    JamiiForums Tanzania Mke ajinyonga hadi kufa baada ya mumewe kuuawa kwa risasi MO29

    Mwanamke mmoja aishie nyasaka jijini Mwanza amekutwa kajinyonga kutokana na msongo wa mawazo baada ya kumpoteza mumewe ambaye alipigwa risasi tarehe 29 October na kufariki. Mwanamke huyo ameacha watoto wanne bado wadogo wanahitaji malezi ya wazazi wao lakini wazazi wao hawapo tena dunia. R.I.P...
  2. M

    JamiiForums Tanzania December 29 alimaarufu kama Mo29. Ilipita na Mliro? Au kimya mingi kina.......

    Huyu jamaa tokea Mo29 sijawahi kumwona au kumsikia! Mkimuona mpeni salama za Gen.z wanamsalimia sana
  3. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania Je, MO29 ni matokeo ya Serikali ya Tanzania kuwa ndani ya kifungo cha Iblis (Shetani)? Na Masheikh wapotoshaji wanamuabudu Mungu yupi?

    Pamoja na kuwa Mkatoliki kindakindaki - hata kwa greda sichomoki; sijajifunga tu kwenye Biblia; hata Koran huwa naipitia! Sasa kwenye Surat Al Baqara kuanzia kwenye aya ya 30 soma mpaka 40, kuna jambo limenifurahisha sana: kumbe bana Mungu alivyomuumba Adamu, alimfundisha majina ya vitu vyote...
  4. toriyama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Imeandaliwa Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano Oktoba 29

    leo tarehe 25 november Samia kaanzisha Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano October 29 taskforce imehusisha TISS, kamati ya CCM nitaweka majina soon vijana hao watakuwani UVCCM wameandaa waandishi wa habari, viongozi kila kanda kuratibu vijana...
  5. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Nyota wa mchezo wa MO29 na D9

    Maji ni kitu chenye nguvu sana! Kamwe usijaribu kuyazuia yanapochagua njia yake, maana hutayaweza. Ukijaribu, yatakusababishia madhara makubwa! Ni wakati wa mabadiliko… Hayazuiliki! Na kujaribu kufanya hivyo ni kujitafutia shida za kujitakia. Nyota waliohamasisha na kufanikisha maandamano ya...
  6. toriyama

    JamiiForums Tanzania Orodha ya matukio yanayoenda tokea aftermath MO29 ili kuwapumbaza GEN-Z

    Nov 23,2025 Orodha ya matukio yanayoenda tokea aftermath MO29 ili kuwapumbaza GEN-Z NA na Wananchi kiujumla nilichelewa kuandika matukio haya awali nikiwa na mashaka either wataufuta uzi, naomba thread hii isiunganishwe ili iwe rahisi ku update maana sitatumia links aina yeyote chini ya haya...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa mama kashatoa sababu 3 za vijana kuandamana mo29. Tutarajie sababu ipi nyingine?

    Salut kwenu JF great thinkers. Nisiwachoshe! Twende Moja kwa Moja kwenye mada. Sababu alizozitaja ambazo zilipelekea vijana KUANDAMANA October 29 na kupelekea kifo Cha halaiki ya vijana wa kitanzania ni kama ifuatavyo, 1. Vijana kutoka nje ya nchi 2. Vijana walifuata Mkumbo 3. Vijana...
  8. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Tokea Mo29 sisikii kauli za kumuita Rais Mama, Mama, Mama.

    Kumbe adabu inaweza kuletwa kabisa, Nitafutie nyuzi Tano (5) au Press Za watu wa 5 machawa tofauti tofauti ambazo wamezungumza hivi karibuni after kile kitimu timu cha Mo29 halaf nionyeshe kama wanaita tena lile jina la Mama, Mama, Mama. Jana tu Masheikh wamesema sana ila Title iliyokua...
  9. tucker carlson

    JamiiForums Tanzania Msiyoyajua kuhusu watu wa mtandaoni wanaotetea mauaji yaliyofanywa na Vyombo vya Usalama dhidi ya raia siku ya maandamano

    Nimeona baadhi ya watu hapa JF na huko duniani wakiwa wanatetea kitendo cha watu kupigwa risasi na kuuuliwa na polisi wakati wa maandamano Hao watu talking points zao ni kwamba waandamanaji walikuwa ni WEZI na hivyo ilikuwa ni right wao kuuwawa. Sasa nataka niwaulize hivi Sheikh Majini nae...
  10. Raia Fulani

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Malumbano ya Hoja ITV- Maoni yangu ya nini kifanyike baada ya madhila ya MO29

    Jana nimeangalia kipindi cha MAlumbano ya Hoja ITV, mwanzo hadi mwisho. Si kawaida yangu sana kutazama ila jana nimekimaliza. Niwapongeze wote waliohudhuria na kutoa maoni yao katika mjadala ule. Nami kama mwananchi na mdau nina maoni yangu kama ifuatavyo; 1. Mzee Nyerere aliacha maadui watatu...
  11. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 AFP: Siri yafichuka, Kondo na Mabwepande ndiko yaliko makaburi ya halaiki ilikozikwa maelfu ya miili waliouawa wakati wa MO29

    https://youtu.be/B1QPlZM3_og?si=GqpjmHKa1Z6nkMB6 Wameanza kutajana wao wenyewe na kutoa Siri walizodhania ni siri; Shirika la habari la Ufaransa (AFP) limeongea na baadhi ya viongozi waandamizi ndani ya serikali ya Samia na CCM na kufichua Siri kuwa, maelfu miili ya halaiki ya waliouwawa...
  12. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Video: Gen Z akiwatafuta JW wa Captain Tesha Siku ya MO29 ilikuwa noma

  13. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Vitu viliyokufa baada ya MO29

    GT Baadhi ya mambo yaliyokufa 1. Vyombo vya habari Tanzania 2. Machawa na uchawa 3. Watu wasiojulikana. 4. Simba na yanga 5. Jina la Lake oil (Loading)
  14. Keynez

    JamiiForums Tanzania "Umkhonto we Sizwe" (MK) ilianzishwa na kina Mandela baada ya mauaji ya watu wachache kuliko waliouawa kwenye MO29

    Fuatilia historia ya Afrika Kusini na harakati zao za kutokomeza ubaguzi wa rangi. Kuna kitu walikianzisha kinaitwa "Umkhonto we Sizwe". Hii ni project maalumu iliyoanzishwa baada ya mauaji yanayojulikana kama "Sharpeville Massacre" yaliyotokea March 21, 1960 baada ya serikali kutumia nguvu...
  15. Keynez

    JamiiForums Tanzania Haya mambo yalitokea kabla tu ya maandamano ya kihistoria Tanzania ya MO29

    Niliwahi kuleta uzi kuelezea mambo kadhaa yaliyofuatana kabla tu ya Mapinduzi (kama unaweza kuyaita hivyo) yaliyomtoa Robert Mugabe madarakani. Nia ni kuonyesha kwamba kulikuwa na "clues" kama ungekuwa na jicho la tatu la udadisi. Leo nitatoa list ya mambo kadhaa yaliyotokea kabla tu ya...
  16. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania GE2025 MO29 is the day that marks the beginning of an end

    RIP kwa ndugu zetu waliopoteza Maisha. Lengo la maandamano ilikuwa ni kuzuia Uchaguzi usifanyike. NRNE imefeli. Ila Matokeo ya Uchaguzi yamezidisha hasira. Kama wanaweza wasiwe na Aibu wakaiba kura nying namna ile. Imagine wanafanyaje wakiwa kwenye maprojects yao ya kupeana na kugawana hela...
  17. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania Taarifa Muhimu - MO29

    📌Important Statement from the Foreign Ministers of 🇨🇦 🇬🇧 🇳🇴 expressing concern and calling for restraint in Tanzania - GOV.UK Taarifa Muhimu kutoka kwa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa 🇨🇦 🇬🇧 🇳🇴 wakielezea wasiwasi wao na kutoa wito wa kujizuia nchini Tanzania. #MO29 🇹🇿 #OktobaTunatoka #tanzania...
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vita na mapambano ya mabadiiko MO29 Sio tu ya raia ni ya watanzania wote ikiwemo jeshi

    Vita na mapambano ya mabadiiko MO29 Sio tu ya raia ni ya watanzania wote ikiwemo jeshi
  19. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ukivaa nguo za CHADEMA, au kuongelea maandamano unawekwa gerezani hadi uchaguzi upite, jishikilie huo mdomo mpaka MO29!

    Wakuu, Hiki ndicho kinaendelea wakati huu, ukionekana umevaa gwanda za CHADEMA au unajisogoze sogeza na kuwa na viashiria vya kuwa mwana CHADEMA unadakwa chap, wanakutia selo, ndugu zako wanaambiwa hutoki mpaka uchaguzi uishe, hivyo wajipange tu kukuletea chakula na mahitaji muhimu...
  20. Genius Man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mo29 mkiniona nimepiga picha chumbani Ikulu msishangae ni kodi zangu

    Mo29 mkiniona nimepiga picha chumbani ikulu msishangae ni kodi zangu.
Back
Top Bottom