Mwanamke mmoja aishie nyasaka jijini Mwanza amekutwa kajinyonga kutokana na msongo wa mawazo baada ya kumpoteza mumewe ambaye alipigwa risasi tarehe 29 October na kufariki.
Mwanamke huyo ameacha watoto wanne bado wadogo wanahitaji malezi ya wazazi wao lakini wazazi wao hawapo tena dunia.
R.I.P...
Pamoja na kuwa Mkatoliki kindakindaki - hata kwa greda sichomoki; sijajifunga tu kwenye Biblia; hata Koran huwa naipitia!
Sasa kwenye Surat Al Baqara kuanzia kwenye aya ya 30 soma mpaka 40, kuna jambo limenifurahisha sana: kumbe bana Mungu alivyomuumba Adamu, alimfundisha majina ya vitu vyote...
leo tarehe 25 november Samia kaanzisha Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano October 29 taskforce imehusisha TISS, kamati ya CCM nitaweka majina soon vijana hao watakuwani UVCCM wameandaa waandishi wa habari, viongozi kila kanda kuratibu vijana...
Maji ni kitu chenye nguvu sana!
Kamwe usijaribu kuyazuia yanapochagua njia yake, maana hutayaweza. Ukijaribu, yatakusababishia madhara makubwa!
Ni wakati wa mabadiliko… Hayazuiliki! Na kujaribu kufanya hivyo ni kujitafutia shida za kujitakia.
Nyota waliohamasisha na kufanikisha maandamano ya...
Nov 23,2025
Orodha ya matukio yanayoenda tokea aftermath MO29 ili kuwapumbaza GEN-Z NA na Wananchi kiujumla nilichelewa kuandika matukio haya awali nikiwa na mashaka either wataufuta uzi, naomba thread hii isiunganishwe ili iwe rahisi ku update maana sitatumia links aina yeyote chini ya haya...
Salut kwenu JF great thinkers.
Nisiwachoshe! Twende Moja kwa Moja kwenye mada. Sababu alizozitaja ambazo zilipelekea vijana KUANDAMANA October 29 na kupelekea kifo Cha halaiki ya vijana wa kitanzania ni kama ifuatavyo,
1. Vijana kutoka nje ya nchi
2. Vijana walifuata Mkumbo
3. Vijana...
Kumbe adabu inaweza kuletwa kabisa,
Nitafutie nyuzi Tano (5) au Press Za watu wa 5 machawa tofauti tofauti ambazo wamezungumza hivi karibuni after kile kitimu timu cha Mo29 halaf nionyeshe kama wanaita tena lile jina la Mama, Mama, Mama.
Jana tu Masheikh wamesema sana ila Title iliyokua...
Nimeona baadhi ya watu hapa JF na huko duniani wakiwa wanatetea kitendo cha watu kupigwa risasi na kuuuliwa na polisi wakati wa maandamano
Hao watu talking points zao ni kwamba waandamanaji walikuwa ni WEZI na hivyo ilikuwa ni right wao kuuwawa.
Sasa nataka niwaulize hivi Sheikh Majini nae...
Jana nimeangalia kipindi cha MAlumbano ya Hoja ITV, mwanzo hadi mwisho. Si kawaida yangu sana kutazama ila jana nimekimaliza. Niwapongeze wote waliohudhuria na kutoa maoni yao katika mjadala ule. Nami kama mwananchi na mdau nina maoni yangu kama ifuatavyo;
1. Mzee Nyerere aliacha maadui watatu...
https://youtu.be/B1QPlZM3_og?si=GqpjmHKa1Z6nkMB6
Wameanza kutajana wao wenyewe na kutoa Siri walizodhania ni siri;
Shirika la habari la Ufaransa (AFP) limeongea na baadhi ya viongozi waandamizi ndani ya serikali ya Samia na CCM na kufichua Siri kuwa, maelfu miili ya halaiki ya waliouwawa...
GT
Baadhi ya mambo yaliyokufa
1. Vyombo vya habari Tanzania
2. Machawa na uchawa
3. Watu wasiojulikana.
4. Simba na yanga
5. Jina la Lake oil (Loading)
Fuatilia historia ya Afrika Kusini na harakati zao za kutokomeza ubaguzi wa rangi.
Kuna kitu walikianzisha kinaitwa "Umkhonto we Sizwe". Hii ni project maalumu iliyoanzishwa baada ya mauaji yanayojulikana kama "Sharpeville Massacre" yaliyotokea March 21, 1960 baada ya serikali kutumia nguvu...
Niliwahi kuleta uzi kuelezea mambo kadhaa yaliyofuatana kabla tu ya Mapinduzi (kama unaweza kuyaita hivyo) yaliyomtoa Robert Mugabe madarakani. Nia ni kuonyesha kwamba kulikuwa na "clues" kama ungekuwa na jicho la tatu la udadisi.
Leo nitatoa list ya mambo kadhaa yaliyotokea kabla tu ya...
RIP kwa ndugu zetu waliopoteza Maisha.
Lengo la maandamano ilikuwa ni kuzuia Uchaguzi usifanyike.
NRNE imefeli.
Ila Matokeo ya Uchaguzi yamezidisha hasira.
Kama wanaweza wasiwe na Aibu wakaiba kura nying namna ile.
Imagine wanafanyaje wakiwa kwenye maprojects yao ya kupeana na kugawana hela...
📌Important Statement from the Foreign Ministers of 🇨🇦 🇬🇧 🇳🇴 expressing concern and calling for restraint in Tanzania - GOV.UK
Taarifa Muhimu kutoka kwa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa 🇨🇦 🇬🇧 🇳🇴 wakielezea wasiwasi wao na kutoa wito wa kujizuia nchini Tanzania.
#MO29 🇹🇿 #OktobaTunatoka #tanzania...
Wakuu,
Hiki ndicho kinaendelea wakati huu, ukionekana umevaa gwanda za CHADEMA au unajisogoze sogeza na kuwa na viashiria vya kuwa mwana CHADEMA unadakwa chap, wanakutia selo, ndugu zako wanaambiwa hutoki mpaka uchaguzi uishe, hivyo wajipange tu kukuletea chakula na mahitaji muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.