Ziliharibiwa Mali za mafisadi tu,
Mali za kampuni za watu waadilifunhazikuguswa kabisa.
Bakhresa, tajiri namba 1 ana viwanda, magari, majumba na maduka mengi.
Lakini utajiri wake haina makando kando
Hakuna Mali yake iliguswa,
Mo Dewji, ni tajiri anamiliki metl, utajiri wake hauna makando kando...