1. Rais
2. Wabunge
Majimbo yatakuwa majukwaa ya JF. Tutapendekeza majina. Hakuna kuhusisha vyama. Tunaweza chagua mwenyekiti wa kuongoza uchaguzi.. kimsingi sisi wengine tupate uongozi angalau wa mtandaoni.
Napendekeza majina yafuatayo;
Urais wa JF
1. MamaSamia2025 (fomu ni moja tu)
Ubunge...