Rais Samia amewezesha TZS 20 bilioni kugharamia elimu bure mkoani Geita. Jumla ya wanafunzi 1,317,018,431 walijiunga na chekechea, darasa la kwanza, na kidato cha tano. Kama asingetoa pesa hizi, vijana wengi wangetumbukia kwenye uhalifu, hasa wizi na matumizi ya madawa ya kulevya.
Mpango wa...