Habari wanajamii,
Natafuta Supplier wa miche ya miti ya mipaina kwa ajili ya kupanda kwenye shamba langu lililopo Mzenga Zegero, wilaya ya Kisarawe, mkoa wa Pwani.
Idadi ya miche inayohitajika ni takriban 5250 yenye urefu wa angalau futi moja.
Supplier aliye na utayari awasilishe ofa ya...