Nilikutana na maneno yafuatayo.
i. Kama ndoto yako haijatimia endelea kulala.
ii. We lala si tufanye kazi utakula ulichokiota.
Je, namba moja inajibu hii ya pili au ya pili ndio inajibu hii ya kwanza?
Ni mambo ya kushangaza kuona watu na akili na busara zetu bado tunashikilia misemo isiyokuwa na maana bali kupotosha jamii, eti utasikia ikisemwa; "Mpe mchawi alee mwanao" au utasikia; "Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake".
Mchawi ni mtu mbaya sasa iweje umpe mwanao amlee?!--- je...
Nimekuwa nikimsikia mara kwa mara mmoja wa Mwana redio anayeitwa au kujiita Mbwiga, huyu bwana amekuwa na misemo tofauti tofauti kila anapopata nafasi ya kuzungumza redioni.
Na mingi ya hiyo naona huwa inabeba maana iwapo utaitafakari...kwa mfano jana usiku nikamsikia akisema "ukimuona Ngedere...
Achari yalisha.
The pickle is an appetizer. Pickles make the guest relish the food. (If you need something from someone request for it in a polite and pleasant manner.)
Ada ya mja hunena, mwungwana ni kitendo.
It is customary for a slave to talk, but a free man acts. (Mja is only used in this...
Nimeonelea nianzishe hii section ili watu tuwe tunapeana maneno ya hekima. Huu ni mwanzo na ruksa kuendeleza thread (mada) hii ili mradi uwe umejisajili. You may use any of the two official languages, Swahili or English.
Karibu
+++++++++++++++++++++++++++++++++++++
If we don't change, we don't...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.