Mimi nilipata 756M, lakini hapa nilishinda mara kadhaa mfululizo,
Nilianza kwa kushinda 6M nikaibetia yote nikashinda 37M nikaibetia yote nikashinda 109M nikaibetia yote nikashinda 756M, nikaibetia yote ikapigwa...
Lengo langu lilikua ni kufikisha 1B na ilibaki mara moja tu.
Kilichonisaidia...