Ndugu wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyosomeka.
Ninaomba kuuliza swali: je, tuendelee na utaratibu huu wa mikataba kuwa siri au tubadilishe utaratibu mikataba iwe wazi ili kila mtu ajue mashariti ya hiyo mikataba kama yana faida au lah?
Nimeuliza swali hili kutokana na mjadala...