Japokua umri wa kustaafu hua ni miaka 60 uliozoeleka ila kwa jinsi mwili ulivotengenezwa peak performance yake ni miaka 35 baada ya miaka hio viungo vyote ya mwili hua vimefika kikomo katika ufanisi wa kufanya kazi kwa ufasaha, mbelen ap inategemeana tu Mungu alivokubariki ama kama ulijitunza...