mfanyabiashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania NIFFER: Binti Mfanyabiashara mkubwa mwenye kipaji kikubwa cha kudance

    Sio biashara tuu, Niffer pia anaujuzi mkubwa sana wa kudance midundo mbali mbali! Tazama hapa katika video akionyesha umahiri wake katika nyanja ya kudance akiserebuka mdundo wa amapiano kutoka kusini mwa Africa.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna stage ngumu kwa mfanyabiashara kuzidi kujikubali umefirisika au biashara imeshuka inabidi urudi chini kuanza upya badala ya kufosi?

    Kuna hatua katika mzunguko wa biashara ambapo hali ya mauzo hushuka kwa kiasi kikubwa, huenda kutokana na ushindani mkali sokoni, mabadiliko ya mahitaji ya wateja au hata kushuka kwa nguvu ya soko kwa ujumla. Katika baadhi ya matukio, hali hii inaweza kupelekea kufilisika kabisa, hasa pale...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Hizi ni Compliances unazotakiwa kuzifanya kama mfanyabiashara TZ

    Wafanya biashara wengi hawajui compliances wanatakiwa kuzifuata kila mwaka ili biashara zao zisipigwe fine. Nimekuandalia e-book inaitwa "Compliances unazotakiwa kuzifanya kama mfanyabiashara TZ kila mwaka" Ni FREE e-book. Nitumie neno e-book kupitia Whatsapp kwa namba hizi 0678131068...
  4. Half american

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi

    Mfanyabiashara wa utalii ajinyonga Moshi Azizi Msuya (39), mkazi wa Sambarai, Moshi, amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake Alhamisi, Oktoba 2, 2025, akidaiwa kujinyonga kwa kutumia kamba ya katani. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limethibitisha tukio hilo na kueleza kuwa uchunguzi wa...
  5. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara wa mbao Mafinga afikishwa Mahakamani kwa ukwepaji Kodi

    Ila Tanzania kuna viongozi waajabu na vituko! Hivi mbona atujawahi kusika wafanyabiashara wengine tena wakubwa ambao wanamichezo ya kukwepa kodi wakifikishwa mahakamani? Au wananjia zao za kutoa kodi? =============== Mfanyabiashara wa Mbao, Bw. Moses John Madege, mkazi wa mjini Mafinga...
  6. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mahakama yaamua Mfanyabiashara arejeshe fedha ambazo hakuziwasilisha TRA

    MAHAKAMA ya Wilaya Mbeya imemuhukumu Mfanyabiashara Benedicto Abel Matandiko wa Jijini la Mbeya adhabu ya kutofanya Kosa lolote la Jinai ndani ya miezi 6 baada ya Kutiwa hatiani kwa Makosa ya Kutokulipa Kodi Kinyume na Kifungu cha 83 cha Tax Administration Act, Kughushu kinyume na vifungu vya...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara anamuacha Mtaalamu wa masoko anaenda kwa Mganga wa kienyeji "Kalumanzila"

    Mfanyabiashara ana muacha Mtaalam wa masoko mwenye degree ya marketing, connections, uzoefu, mwenye database ya wateja, n.k. anaenda kwa mganga wa kienyeji wa matunguli ili uweze kupewa dawa au kurenew dawa aliyoambiwa itamletea wateja, dawa hizi mara nyingi zina masharti magumu au kuwatoa...
  8. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara au Mwekezaji unaejielewa achana na siasa, kaa jifunze playbook ya uwekezaji na biashara anayotumia Rostam A. He's the best dealmaker

    Kwenye biashara na uwekezaji skill pekee ambayo ni muhimu kuliko zote ni 'The art of deal making' Na mtanzania pekee ambae naona anafaa kuwa rolemodel wa wengine kwenye hilo si mwingine bali ni Rostam Aziz. Sasa wewe kijana au mzee mfanyabiashara au mwekezaji endeleza ushabiki wa kisiasa...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Rostam: Mimi nilikuwa mfanyabiashara wa kwanza kuingia bungeni, nilizua kasheshe sana na nilikuwa na uchaguzi mgumu

    Mimi nilikuwa mfanyabiashara wa kwanza kuingia bungeni, wakati huo fomu za bunge za kugombea ubunge zinabox mbili awe mkulima au mfanyakazi mimi nilikrozi zote mbili nikaandika mfanyabiashara, kwahiyo nilizua kasheshe kwenye kamati kuu ya chama wanabishana sasa huyu tunafanyaje kwa sababu si...
  10. Think2

    JamiiForums Tanzania Mwamposa ni mfanyabiashara kupitia kanisa lake na wala sio mtume kama wengine wanavyofahamu

    Naanza na hii ●kaingia mkataba na kampuninya ice drop kwamba awe anatumia maji yanayozalishwa kwenye kampuni hio kama majinya upako baada ya kuyaombea kwaio ice drop na A rise and sunshine ni trade partners Uthibitisho unajionesha wazi maana kuna logo ya ice drop na hio ya mwamposa A rise and...
  11. Sales man

    JamiiForums Tanzania Abdul mtoto wa Rais ni mfanyabiashara wa muda mrefu swala la yeye kununua gari ni jambo dogo sana

    Watu wanaomfahamu Abdul wanaelewa kuwa huyu Kijana ni mchakarikaji wa miaka mingi. Kwahiyo issue Kama kupata Gari la 1-2B sio jambo la kushangaa. Tuache wivu na chuki .
  12. Sir John Deere

    JamiiForums Tanzania Ahmed Assas ana hati ya kusafiri ya kidiplomasia kwa hadhi ipi aliyo nayo? Nchi imeoza hii

    Haya ni machache yaliyopo hadharani. Hatuyajui ya sirini. Sote tunaijua hadhi ya kuwa na passport yenyewe hadhi ya kidiplomasia. Huyu mfanyabiashara anapitisha biashara ngapi kwa kutumia pass ya kidiplomasia aliyopewa? Waliyompa wamelipwa kiasi gani? Je serikali ni kweli haijui na kufahamu juu...
  13. Think2

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni mfanyabiashara hii mikoa bila ndumba hutoboi

    ● Njombe ●Iringa ●Mbeya ●Katavi ● Mwanza ●Tabora ●Kigoma ●Tanga ●Ruvuma ●Morogoro hio mikoa kama huna mganga wa uhakika bora uache tu kufanya biashara au uende dar ☆Hii mikoa ni kawaida mfanyabiashara kunukia dawa za kienyeji muda wote,wkt wafanya biashara wa dar wao wananukia unyunyu tu ☆Hii...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mfanyabiashara au mwekezaji alikuwa anatafuta betting platform ya biashara ila amekwama jinsi ya kuipata?

    Wakuu habari, Hivi kuna mfanyabiashara au mwekezaji alikuwa anatafuta betting platform ya biashara ila amekwama jinsi ya kuipata ? Betting platform inahitaji uwekezaji mzuri na wa kiwango cha kati au cha juu. naomba kama kuna mtu alikuwa anafikiria kuwa nayo hivi karibuni tuwasiliane.
  15. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Mfanyakazi ana hela kuliko mfanyabiashara, but mfanyabiashara ana maendeleo kuliko mfanyakazi tujadili hili

    Mfanyakazi ana uhakika kesho nitapata anatumia yote, mfanyabiashara kisa senti kwake inatoka kwa hesabu ili asiue mtaji. Mfanyabiashara huwaza zaidi kuzidi kuwekeza mfanyakazi huwa zaidi kutumia.
  16. Mumlii

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara wa perege za singida

    Habari mm nko ushirombo_ Geita, nahitaji tufanye biashara na mtu ambaye anafanya biashara ya hzi samaki, huwa natembea minadan. Akiwepo kahama, ama maaumbwe
  17. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara atakuwa eligible kwa mkopo wa riba nafuu sana kama mfanyakazi/Wafanyakazi wake atawalipa mshahara kupitia bank

    Uwepo wa informal sector na watumiaji wachache wa bank ni changamoto na tatizo kubwa sana Tanzania., Nikiwa Rais wa Tanzania ntafanya mambo yafuatayo kuondoa informal sector, kuongeza formal sector na kuongeza watumiaji wa bank SIFA ZA HAO WAFANYAKAZI Lazima mishahara yao iwe inapitia bank...
  18. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Mitano Tena: Kwa mfanyabiashara maarufu Izack Ngowi.

    Mitano Tena! https://www.instagram.com/p/DLaYAx8I2q5/?igsh=MTMzc2J5dGJzOTJv
  19. B

    JamiiForums Tanzania Aliyemtishia Nape Bastola ni kati ya waliohukumiwa kunyongwa kwenye kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini. Je, kuna lililojificha?

    Wakuu, Jana Juni 23, 2025 hukumu ya kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini ilitolewa, ambapo askari wawili kati ya saba walioshtakiwa walihukumiwa kunyongwa huku watano wakiachiwa huru. Kati ya hawa waliohukumiwa kunyongwa ni bwana Gilbert Kalanje ambaye alikuwa Mkuu wa Upelelezi wilayani...
  20. N

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivhayo: Mfanyabiashara Anayejenga Afrika Kupitia Ukarimu

    Wicknell Chivhayo: Mfanyabiashara Anayejenga Afrika Kupitia Ukarimu Mfanyabiashara maarufu kutoka Zimbabwe, Sir Wicknell Chivhayo, ameweka historia kama mmoja wa wafadhili wakubwa zaidi Afrika, akitoa misaada ya thamani ya zaidi ya dola milioni 60. Misaada hiyo inajumuisha fedha taslimu...
Back
Top Bottom