mdahalo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Natamani mdahalo 'live' kati ya wanaokubali na kukataa chanjo ya COVID-19

    Timu "chanjo Yes" iongozwe na Dr Gwajima na timu "chanjo No" iongozwe na Askofu Gwajima! Huo mdahalo mtoto hatumwi dukani. Kuna timu moja naiona haiwezi kuthubutu kutia mguu kwenye mdahalo huo, naiona ina hali mbaya. Wamiliki wa luninga jaribuni kuzikutanisha timu hizo mbili ili watu wote...
  2. B

    Mdahalo Kudai Katiba Mpya unapogeuzwa Ugaidi

    Nchi zetu za Afrika nani katuroga sisi? Hivi tunaweza je kufika huku? Barikiwa sana Mh. Tundu Antiphas Lissu. Mshangao wako ndiyo ulio mshangao wetu na pia kwa kila mpenda haki. Barikiwa sana beberu, kwa maana makwetu kusikokuwa na mihimili ya uongozi iliyo huru, utamu wa madaraka...
  3. J

    Jimbo la Dodoma Mjini: Mdahalo kati ya Antony Mavunde vs Aisha Madoga

    ..Aisha Madoga ni mgombea wa Chadema. ..Antony Mavunde ni mgombea wa CCM. ..Wagombea wote wameonyesha weledi kutetea hoja zao.
  4. Toxic Concotion

    GE2020 Kwanini Dkt. Magufuli anakwepa mdahalo wa ana kwa ana?

    Inawezekana ikawa sikubaliani moja kwa moja na kila analolihubiri Tundu Lissu ila kwa kiasi kikubwa naheshimu sana uwezo wake wa kujenga hoja. Zaidi ya mara moja Tundu Lissu ameomba mdahalo na mgombea wa CCM ambae ndie rais lakini ombi hilo ni kama vile Bw. Magufuli hajalisikia, ila nina yakini...
  5. feyzal

    GE2020 Ombi: Tume ya Uchaguzi tunataka mdahalo wa Wagombea Urais

    Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa...
  6. A

    Angalia US Presidential Debate 2020

    Kwa wale watu wanaofuatilia siasa za kimataifa ili kutanua uelewa wa siasa fuatilia US Presidential Debate 2020 Cleveland, Ohio saa 10.00 usiku. DSTV ALJAZEERA channel Namba 406 na News Room Afrika Channel Namba 405 watakuwa Live kukuletea Debate hii. Hii itakuwa debate ya kwanza kwa uchaguzi...
  7. Sam Gidori

    Mambo 6 yatakayotawala Mdahalo wa Urais kati ya Donald Trump na Joe Biden

    Rais wa Marekani na mgombea wa chama cha Republic, Donald Trump anatarajiwa kukutana uso kwa uso na mpinzani wake, Joe Biden katika mdahalo wa kwanza wa urais unaotarajiwa kufanyika baadaye hii leo katika ukumbi wa Chuo cha Case Western Reserc, Cleveland, Ohio. Mdahalo huo unatarajiwa kufanyika...
Back
Top Bottom