Mahitaji
Nyama ya ng’ombe 1/2 kilo
Maini 1/2 kilo
Figo 1/2 kilo
Vitunguu viwili vikubwa
Pilipili hoho tatu
Pilipili kali unazoweza kula
Limao
Chumvi
Uduvi kikombe cha chai
Jinsi ya kupika
Osha nyama kata kata weka pembeni figo osha kata kata weka pembeni na maini hivyo hivyo
Weka sufuria...
Hi wanabodi
Napenda kujua hii juice ya ukwaju ni ukwaji kweli au tunakunywa mchanganyiko tu. Na hii maziwa ya asas nayo siku nimeyanywa siku ya pili niliyaacha wazi nikakuta yameharibika inakuwa ni maziwa au dawa ndo zimejaa huko...maana maziwa ya mtaani aisee yanamaji balaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.