Ni kitambo kidogo sijalonga na hawa washikaji zangu ‘makamanda’.
Lakini leo nadhani ni siku muafaka ya kulonga nao.
Sasa nyie makamanda, tokea Rais Samia ameshika hatamu za uongozi, nyie ndo mmekuwa mstari wa mbele kabisa kuimba mapambio kwake.
Mmekuwa na furaha isiyo na kifani! Furaha yenu...