mbobezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Dr. Mwigulu Nchemba, jitokeze utuambie ni kwanini Tanzania imerudishwa kwenye kundi la nchi zenye uchumi duni?

    Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) – Ripoti ya 2025 Mtazamo wa Kiuchumi wa Kanda: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara limeiweka Tanzania kwenye orodha ya Nchi Masikini Zaidi Duniani (LDC). Serikali ya CCM na chawa wenu mnajinasibu uchumi unakua kwa kasi wakati Watanzania tunashuhudia uwekezaji...
  2. Sky Eclat

    Mbunifu wa mavazi mbobezi Giorgio Armani amefariki September 4, 2025 akiwa na umri wa miaka 91 bila mke wala mtoto

    Bwana Giorgio Armani alizaliwa mwaka 1934 nchini Italia. Alisoma shahada ya kwanza ya udaktari wa binadamu, baada ya hapo alijiunga na jeshi kabla hajagundua kipaji chake cha ubunifu wa mavazi. Bwana Armani Amani kubuni mavazi ya nyota jwa dunia katika ulimwengu wa filamu kama Julia Robert’s...
  3. Setfree

    Aliyekuwa mbobezi wa Atheism, ageuka na kuwa Mkristo

    Huyo si mwingine bali ni C.S. Lewis C.S. Lewis, once a firm atheist, became one of the greatest Christian thinkers and writers of the 20th century. His journey from skepticism to faith was not emotional or blind—it was the result of deep intellectual reflection. Through his powerful books, he...
  4. B

    Kada chikulupi kasaka, mbobezi wa sheria, utawala na diplomasia atwaa fomu ubunge bunge la afrika mashariki

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi Chikukupi Njelu Kasaka amechukua fomu ya kugombea ubunge wa bunge la Afrika Mashariki (EALA) leo tarehe 14.08.2024. Kada huyo amechukua fomu katika ofisi ya Chama Cha Mapinduzi iliyopo jijini Dodoma akisindikizwa na makada mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi Chikulupi...
  5. The bump

    Mwanasheria Mbobezi kwenye kesi za Madeni ya Pesa/Wizi Wa Pesa

    Nahitaji mwanasheria/wakili Mbobezi Ambae atanisaidia kuendesha mashtaka yangu mahakamani. Kesi ni Ya WIZI ila wizi ambao ndugu wanataka ugeuza uwe madai tumalize nnje ya mahakama ila hawafiki dau ninalotaka la pesa zilizoibwa. Nadhani acha iende mahakamani ili tu iwe itakavyokua. Muda wangu...
  6. Mjanja M1

    Nampigia Saluti huyu Tapeli Mbobezi

    Suala la utapeli lipo kila mahali, angalia hapa jinsi Tapeli anavyotafuta hela kwa njia ya Ki-Michael Jackson,
  7. comte

    Hukumu ya bandari Mbeya yamuibuwa mwanazuoni mbobezi wa IGA duniani Johanne Poirier

    Johanne Poirier Full Professor Peter MacKell Chair in Federalism New Chancellor Day Hall 3644 Peel Street Room 604 Montreal, Quebec Canada H3A 1W9 514-398-3296 [Office] Email Website: Peter MacKell Chair in Federalism List of Publications Recent media appearances The Sunday Magazine (hosted...
  8. Gan star

    Benard Membe kuwa Kachero mbobezi ni ishara ya udhaifu mkubwa idara ya usalama wa Taifa

    Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao , Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende...
  9. TODAYS

    RASMI: Kwa Nini Marehemu Kachero Mbobezi Hakukimbia Zile Kampeni?.

    Tulikuwa tumekaa sehemu tunatafakari safari yetu ya maisha kwa hizi piga nikupige za hapa na pale, baadaye tunasoma breaking story ya kifo cha camaraderie Bernard Camirius Membe. Binafsi nilienda moja kwa moja kwenye kumbukukumbu za kampeni za urais mwaka ule ambao marehemu aliondoka kwa gafla...
  10. Lwimiko fundi water proof

    Fundi wa kuziba sehemu zinazovuja majumbani na kwenye mabwawa ya kuogelea

    Fundi wa kudhibiti leakages kwa Water proof tunadhibiti sehemu zote zinazo vuja iwe Silabu paa la la zege concrete roofing flat roofing fundi 0716354056
  11. SANCTUS ANACLETUS

    Swali chokonozi: Membe ni Jasusi Mbobezi au Doezi?

    Nimesoma mahojiano ya Mheshimiwa Membe na Gazeti la Jamhuri akilalama kwamba Marehemu Magufuli alimuwekea roho ya Korosho ili asiwe Katibu Mkuu wa Jumuia ya Madola.Kasema mengi ikiwemo jinsi hiyo “Roho ya Korosho” ilivyopelekea Membe kukosa donge la pesa zinazofikia paundi Bilioni Saba za Common...
  12. B

    Maajabu ya Kachero Mbobezi - Bernard Kamilius Membe

    Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni: Huyu ndiye Bernard Kamilius Membe mgombea urais kwa tiketi ya ACT wazalendo akiwa mwana CCM. Hili bila shaka ndiyo lile bao almaarufu la dak ya 90. Kazi kweli kweli.
  13. K

    Kachero Mbobezi Bernard Membe kurudi CCM leo?

    Niko hapa Kijiji cha Mnala, Chiponda mkoani Lindi. Kuna ziara ya PM Majaliwa. Miongoni mwa wageni maarufu waliofika kumpokea mbali na Nape Nnauye ni pamoja na Membe aliyepokewa kwa heshima kubwa na wana CCM. Najiuliza je, leo anarejea chama chake cha zamani? Tusubiri dakika chache zijazo. Ova!
  14. B

    Shaka Hamdu Shaka: Rais Samia ni mbobezi kwenye uongozi

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka amesema Chama hicho hakijawahi kumsimamisha Kiongozi wa nchi kwa majaribio. Shaka Hamdu Shaka ameyasema hayo Jana Jumapili Agosti 15, 2021 katika ibada ya kuweka wakfu na harambee ya jengo la utawala na shule ya...
Back
Top Bottom