mbinu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Nilimsikia juzi anadai eti baada ya simba na yanga mtu anayeongoza kwa kutajwa ni yeye. Niwaombe watanzania tukatae huu uzamani na mbinu za kienyeji kutatua matatizo ya watu. Huyu mheshimiwa ni mzito wa kusoma alama za nyakati. Hii mbinu aliitumia na kuipatia sana magufuli lkn hata hivyo...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Shetani anatumia mbinu kubwa 10 kutuangamiza

    Shetani anatumia mbinu kubwa 10 kutuangamiza Maandiko katika kitabu cha Zaburi 119:105, yanasema: “Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu”. Hakika tukilifahamu Neno la Mungu, hata tukifungiwa katika chumba chenye giza tukapewa mshumaa na Biblia tu, tutaweza kueleza mambo yote...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Urojo Mtaaamu, tumia mbinu hii

  4. JamiiForums Tanzania Mbinu 75 za kuwa homeless duniani

    Achana na mkeo 2. Nenda ulaya urudi 3. Soma sana 4. Usisome kabisa 5. Jua kuandika 6. Uwe mwongeaji 7. Ujue hotuba za nyerere 8. Hamia mkoa nilioko kwa sasa 9. Usijue soko liko umbali gani 10. Safiri mikoa mingi 11. Ishi hotelini muda mrefu 12. Ishi lodge muda mrefu 13. Pata fedha usisafiri...
  5. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DIVIDE AND RULE: Mbinu ya kimedani inayotumiwa na single mothers

    Single mother wote wakiingia kwenye mahusiano mapya huwa hawawaongelei vizuri wazazi wenzao. Hauwezi kusikia anasema "baba mtoto yupo anampenda na kumjali sana mwanae" . Mara zote utasikia "hata sijui yupo wapi. Atajua mwenyewe na maisha yake" Do you think that's coincidence? no, it's a...
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanauke: Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Oa Mwanamke kabila la Wakikuyu toka Kenya Ni mabepali wazuri sana
  7. JamiiForums Tanzania Mbinu za kupata utajiri usioyumba [Kushuka yaani ni Kupanda tu hadharani]

    Jiunge CCM
  8. JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo mchafu? Tuseme vyombo vya dola havijui hawa ni wakina nani? Mafwele matako yako So kwa akili yao wanajua wanaichafua CHADEMA🤣🤣🤣 CCM chali kifo cha mende Nakulilia Tanganyika.. Tumefika huku?! 😭😭😭😭...
  9. JamiiForums Tanzania Mbinu ya CHADEMA ya "Win the crowd, and fate will kneel before you" ipo 70% kuelekea kuiangusha CCM

    Mbinu ya CHADEMA YA "Win the crowd, and fate will kneel before you" IPO ASILIMIA 70% KUELEKEA KUIANGUSHA CCM. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Katika Falsafs za siasa. Zipo mbinu nyingi Sana za kuishinda serikali iliyopo madarakani. 2. Elewa, Serikali inaweza kutawala nchi, lakini...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Said Mwema: Tulibaini zilipangwa mbinu zaidi ya 16 ili jambo hili (maandamano) liweze kufanikiwa

    IGP mstaafu Said Mwema ameyasema hayo wakati tume ikitolea ufafanuzi wa masuala mbalimbali katika ripoti hiyo iliyowasilishwa Aprili 23, 2026
  11. JamiiForums Tanzania CCM badilisheni mbinu. Hawa GenZ fikra zao zipo mbali na fikra za CCM(Conservativeness)

    Mpo salama! 1. CCM ni chama Dola, kikongwe na ambacho kimefanyia mambo mengi mazuri nchi yetu ikiwemo Umoja wa kitaifa tangu 1961 mpaka hivi karibuni ambapo kidogo mambo ndio yameanza kukorogana. Umoja wa kitaifa hapa tunazungumzia kiwango kidogo cha Ubaguzi wa kikabila na udini. Kwa hilo CCM...
  12. JamiiForums Tanzania Mbinu nitakazotumia kuzalisha megawatts laki 2 kwa kupitia gesi asilia nikiwa Rais wa Tanzania

    Mchakato ni kama ufuatao;- Gas turbine kubwa ya kuzalisha megawatts 100 ni usd million 20 sawa na kama tsh Trillion 40+ kama Mfano wa gas turbine zinazozalisha megawatts 100+ General Electric (GE) LMS100: A highly efficient aeroderivative gas turbine that produces approximately 100–116 MW...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Nina mbinu bora kwa watu wa mikeka na ku bet

    Nimekua nilitengeneza kanuni ya hesabu kwenye bahati nasibu ( nina background nzuri sana kwenye hesabu takwimu na namba ) Kanuni moja wapo imenionyesha matokeo ambayo sikuyatarajia. Hii kanuni nimekua nikiitengeneza kwa zaidi ya miaka mitatu ambapo nilokua niki i refine Saivi naweza kusema...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu mpya za kuhifadhi pesa za vikundi naona vm-koba kazi inataka kuwashinda

    Dalili ya Mvua ni Mawingu ndungu zangu, Hawa Mkoba online naona kama kazi inataka kuwashinda! Naomba tupeane Mbinu mpya ya kuhifadhi pesa za vikundi ambapo unaweza kuhifadhi kirahisi na kuipata kwa haraka muda wowote 24/7
  15. JamiiForums Tanzania Mbinu gani ya kudai Boss alipe Mishahara

    Nimejishikiza katika kaajira flani private sasa boss watu wanadai ndiyo michezo yake wafanyakazi wakifanya kazi miezi kadhaa huwa anataka kuzurulumu. Mwezi mmoja ili muondoke then alete wengine nao wakifanya anawadhurumu . Trend huwa ipo ivyo Leo tumekaa kupanga jinsi gani Tu deal na BOSS ila...
  16. L

    JamiiForums Tanzania “Jibu la China” kwa Kenya: sio mfumo, bali ni mbinu

    Mwaka huu ni kumbukumbu ya miaka 70 ya kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya China na Afrika. Katibu Mkuu wa Chama tawala cha UDA nchini Kenya Hassan Omar Hassan hivi majuzi alitembelea China kwa mwaka wa pili mfululizo. Ziara zake mara kwa mara zinaibua swali: je, nchi hiyo inatafuta...
  17. JamiiForums Tanzania Nataka nikusanye kiasi cha million 25, nitumie mbinu gani?

    Kazi ninayofanya inanipa take home ya takriban 500k - 800k per month sasa nahitaji kusave hadi nifikishe kiasi cha sh 25mil kwa ajili ya kutimiza lengo langu (lengo kapuni). Mwaka jana nilijaribu kuhifadhi kwa kucheza kikoba kupitia jina la mama mtoto wangu lakini tuliishia kukopa kwa ajili ya...
  18. JamiiForums Tanzania Fahamu Faida na Mbinu za Kupeleka Kampuni/ Biashara katika SOKO la HISA

    Habari za wakati; Habari za wakati huu.Ni matumaini yangu kwamba unaendelea salama na Ujenzi wa Taifa na Uchumi binafsi. Leo nataka nilete mada hii kwa ufupi ili nichokozi mjadala uanohusu soko La Hisa.Kabla ya kuanza kwa mjadla niweke wazi kwamba mimi sio mtaalamu wa fedha,wala biashara,wala...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Uzorotaji kupita kiasi wa miundo mbinu Huku LAELA, Halmashauri ya Sumbawanga

    Ndugu admin, naomba lifikishwe hili kwenye Wizara kama siyo Idara zinazohusika tutatuliwe hii kero. Serikali imejitutumua kusambaza Nishati ya Umeme huku kwetu Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga lakini hatufahamu huu ni umeme wa aina gani ambao ndani ya dakika 15 hukatika kwa takriban mara 8...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Sharp boys and girls tupeni hizo mbinu za kusurvive mjini jamani

    Sharp boys and girls Tunaomba codeee wakuu Tunaomba michongo ya kusurvive hapa mjini
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…