Kalonzo Musyoka ambaye ni kiongozi wa chama cha upinzani cha Wiper Democratic Movement na aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wakati wa uongozi wa Mwai Kibaki, amesema wanafanya uchunguzi juu ya mauzo ya hisa yaliyofanyika hivi karibuni kwenye taasisi ya Nation Media Group kwa bwana Rostam Aziz...
Kwa usahihi na usalama: Fuatilia stock, mauzo, matumizi na faida. Simamia biashara yako popote ulipo! Hakuna kuumiza kichwa. Pata kila kitu unachohitaji kwa ujasiri kuendesha Biashara yako.
Mfumo wetu huu unauwezo wa kufuatilia na kurecord Mauzo, Faida Hasara, Kodi, Mfumo wa Mauzo yani POS...
Ninaweza kusaidia biashara yako kupata wateja kwa ajili ya bidhaa au huduma zako kupitia lead generation na B2B sales/outreach. Nitakutafutia wateja wa uhakika wanaoweza kuwa na uhitaji halisi wa kile unachouza, badala ya kupoteza muda kwa watu wasio na interest.
Kwa wanaotaka kuanza, kuna...
Kama wewe ni chicken farmer unayefuga kuku wa mayai au nyama, au unafanya biashara ya kuuza mayai au kuku wa nyama kwa jumla, na unachangamoto ya mauzo au unataka kuongeza mauzo kwenye biashara yako. Ninaweza kukusaidia kupata buyers wa uhakika kama restaurants, hotels, supermarkets, catering...
Habari wanaJF,
Hebu nikuulize swali moja la msingi kama mmiliki wa biashara👇
Ukiwa nyumbani, safarini au hata nje ya nchi—
👉 Unaweza kuona hali halisi ya biashara yako sasa hivi?
Kama jibu ni hapana, basi kuna tatizo kubwa kuliko unavyodhani.
👉 Ukweli mchungu ni huu:
Biashara inaweza kuwa...
Je Ungependa kupandisha mauzo
Ya Biashara Yako Ndani Ya Siku 30
Kama jibu lako Ni Ndio Naomba Uniazime Dakika zako Tano Nikuoneshe
Jinsi Ya Kufanya Hivyo
Twende pamoja
Kwenye Ulimwengu Wa Mauzo Kuna Siri
Inatumiwa Na kampuni Chache Sana
Kupandisha Mauzo Ya Kampuni zao
Kama Vile...
Habari wanaJF,
Hebu niulize swali la msingi kwa wamiiki wa biashara👇
Ukiwa nyumbani, safarini au nje ya nchi—unaweza kuona hali halisi ya biashara yako sasa hivi?
Kama jibu ni hapana, basi biashara yako inaendeshwa kwa bahati, sio kwa taarifa.
Kuna ukweli mchungu ambao wafanyabiashara wengi...
Hello wakuu,.
Nahitaji maafisa mauzo (Mawakala wa mauzo) kwenye bidhaa ya mikopo kwa dhamana ya gari,.
Awe ni mchangamfu na mwenye uzoefu kwenye mauzo na kukutana na wateja wapya. Awe anaekaa mkoa wa Dar es salaam.
Kwa mawasiliano anaweza tuma CV au kupiga simu 0757962335
BAJAJI ZA UMEME KWA MIKOPO NA CASH weka oda Yako sasa
Habari
Pasipo kupoteza muda naomba niende kwenye mada.
Nikiwa kama wakala wa mauzo Toka kampuni ya JAHA ELECTRIC VEHICLE INTERNATIONAL COMPANY LTD. Nspenda kuwatangazia kuwa kuna promotion ya bajaji au pikipiki za miguu mitatu zinazotumia...
Benki ya CRDB imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi bilioni 125.4 na Dola za Marekani milioni 32.3 kupitia mauzo ya hatifungani yake ya CRDB Al-Barakah Sukuk, hatua iliyovuka malengo ya awali kwa zaidi ya asilimia 400.
Uuzaji huo uliofanyika kwa siku 40 kuanzia Agosti 9 hadi Septemba 19...
Changamoto ya mauzo imekuwa kubwa sana Chanzo nini na pia kama mfanyabiashara nini unatakiwa kufanya kwa kipindi hiki cha purchasing power ya wateja kuwa chini.
Pia timing nzuri ya biashara na maanisha jinsi ya kuwin kwa season inayofata
MAJUBU YA JIKITE KWENYE UZOEFU
Ninauza kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa wa 540 SQM kilichopo MWASONGA, KIGAMBONI kipo barabara kuu ukitokea Mwasonga stendi.
📍Mahali pazuri kwa makazi au uwekezaji- miundombinu ipo karibu.
Bei 6,500,000/= ( milioni saba tu) - maelewano yapo kwa mwenye nia ya dhati.
Kwa mawasiliano zaidi au...
Iran imefanikiwa kuongeza kwa kiasi kikubwa mapato yake ya mauzo ya mafuta mwaka uliopita. Hayo ni kwa mujibu wa takwimu mpya kutoka Shirika la Nchi Wazalishaji wa Mafuta Duniani (OPEC), zikionesha kuwa vikwazo vya Marekani havijafaulu kuzuia biashara ya mafuta nchini.
Ripoti ya Jumamosi...
Wakati Rais Samia anaingia madarakani mapato ya mauzo yatokanayo na gesi asilia yalifikia $55.12milioni sawa na TZS.143,313milioni Mwaka 2024 yameongezeka na kufikia $144.10milioni au TZS374,660milioni sawa na ongezeko la $88.98milioni sawa na TZS231,348milioni ambayo ni 161%.Hii ni karibia mara...
STORI FUPI:
Watu wengi hufikiri biashara ni kuuza bidhaa au huduma tu. Lakini biashara ya kweli huanza pale mtu anapotambua changamoto halisi katika jamii na kuamua kuitatua kwa njia ya ubunifu.
Rehema, kijana kutoka Mbeya, alichoka kuona wakulima wakipata hasara kila msimu kwa sababu ya...
Hujui Kama Biashara Yako Inakua au Inapoteza? Bizi Ina Suluhisho! 🔥
Habari mfanyabiashara!
Umewahi kufikiria ni mauzo mangapi umeyafanya leo? Umeshawahi kusahau deni la mteja? Au bidhaa zimeisha bila wewe kujua?
Usijali tena, Bizi: Rekodi Mauzo iko hapa kukuondolea changamoto hizo zote.
📱 Bizi...
Kama hujui, basi habari ya mjini ndio hii: mauzo ya Biblia yanaendelea kupanda kwa kiwango cha kushangaza duniani kote. Kwa mujibu wa ripoti ya Global Bible Society (2024), zaidi ya nakala milioni 38 za Biblia nzima zilisambazwa mwaka huo pekee. Mbali na nakala hizo za Biblia nzima, zaidi ya...
Takwimu zilizotolewa na Wizara ya Kilimo Tanzania Mei 22, 2025, zinaonyesha mwelekeo muhimu wa mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa mwaka wa fedha 2023/24. Kwa ujumla, mazao ya kilimo yamechangia zaidi ya trilioni 2 katika mapato ya kigeni, yakionyesha ukuaji thabiti wa sekta hii na kutoa mwanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.