mathematics

  1. M

    Naomba kuuliza ni kozi zipi kwa bachelor anazoweza kusomea mtu aliemaliza diploma ya pharmacy na hana grade D ya physics na mathematics kidato cha nne

    Naomba kuuliza ni kozi zipi kwa bachelor anazoweza kusomea mtu aliemaliza diploma ya pharmacy na hana grade D ya physics na mathematics kidato cha nne
  2. joku

    Kwa kozi hii stashahada maalumu ya masomo ya sayansi (Chemistry and Mathematics) je naweza kupata mkopo kutoka HESLB

    Habari zenu jamani Mimi nimwanafunzi nilie maliza form four mwaka wa Jana nilimpata division III ya 24 selection zilivyo toka nimepangiwa nikasomee iyo kozi hapo juu katika chuo Cha Korogwe teacher college Sasa nilikuwa na uliza je naweza kupata mkopo wa heslb
  3. LIKUD

    Tabia yangu ya asili " Ujuaji" Ilivyo sabanisha nisome na kumaster Mathematics

    Leo nimekutana na school mate wangu wa O-Level. Her name is Munira. Mimi nikiwa form 4, 2002 yeye alikuwa form 3. She was my friend. I am 1 year older than her. In 2002 I was 16 and 17, she was 15 and 16. Sijawahi kuona msichana ambae " anapenda" hesabu kama yeye. It was as if her brain...
  4. joku

    Naomba ushauri kati yw kozi zifuatazo: Medical laboratory na uwalimu wa sayansi wa masomo ya (chemistry na mathematics)

    Habari zenu jamani Mimi nimwanafunzi nilie maliza form four mwaka wa Jana na nilimpata three ya 24 selection zimetoka mwaka huu nimepangiwa nikasomee uwalimu wa sekondari ngazi ya diploma wa masomo ya sayansi (chemistry na mathematics). Halafu Kuna mtu kanishauri niachanana uwalimu nikasomee...
  5. Prof_Adventure_guide

    This ain’t your regular maths – hii ni f*cking gangsta mathematics: formula mpya kali za kichawi hazijawahi kutokea Tz

    Yo, watanzania wenzangu, especially walimu wa hesabu... Let’s be real, you’ve been feeding kids the same old sht for decades. Pythagoras this, Quadratic that, kama vile hiyo crap ndio mwisho wa dunia. But guess what? Hii ni Mathematics from the fcking streets, straight outta mental ghetto...
  6. Sexer

    Tazameni uongo wa Mathematics

    Tazameni Uongo Wa Mathematics Eti: 8 x 0 = 0 Niko Na Kuku Nane Mara Sifuri Jibu Ni Sifuri Kwahiyo Kuku Zangu Nane Zilienda Wapi....?🤔
  7. N

    Je, unaweza kufundisha Basic mathematics kwa umahiri mkubwa!?

    Habarini.. Ikiwa wewe ni muhitimu wa kidato cha sita, diploma au degree na unamudu kufundisha basic mathematics O- level, Na hujaajiriwa... Nitafute inbox
  8. Foffana

    Tujikumbushe:Uliza swali lolote la History,Economics,Geography na Advanced Mathematics

    Habari za Jioni Wakubwa Leo nimekumbuka nilivyokuwa advanced level...nilisoma tahasusi ya EGM lakini niliongeza somo la history kama back up Yaani kiufupi nilisoma HEGM nikiwa na lengo la kuitumia tahasusi mojawapo kufanyia mtihani either HGE au EGM Tukiachana na hilo...Leo nataka...
  9. A

    PCM TUTION CENTRE. WE TEACH PHYSICS, CHEMISTRY, AND MATHEMATICS FOR A- LEVEL AND PRE FORM FIVE. (0625012562; 0782044028)

    Be competence in PHYSICS, CHEMISTRY AND MATHEMATICS. A- LEVEL & PRE- FORM FIVE. We are at TEGETA, Dar Es Salaam. 0625012562; 0782044028 WELCOME.
  10. A

    NAFUNDISHA MASOMO YA PHYSICS, CHEMISTRY, NA MATHEMATICS KWA A- LEVEL NA PRE- FORM FIVE. (0625012562)

    Bobea kwenye masomo ya PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS kwa A LEVEL, na PRE- FORM V. Tunafanya home Teaching pia. Tunapatikana TEGETA, Dar Es Salaam. Mawasiliano: 0782044028(Whatsapp) 0625012562. KARIBUNI SANA
  11. A

    NAFUNDISHA MASOMO YA PHYSICS, CHEMISTRY NA MATHEMATICS KWA A- LEVEL, NA PRE FORM V (0625012562; 0782044028)

    Bobea kwenye masomo ya PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS kwa A LEVEL, na PRE- FORM V. Tunafanya na home Teaching pia Mawasiliano: 0782044028 (Whatsapp) 0625012562
  12. A

    Nafundisha masomo ya Physics, Chemistry na Mathematics kwa A- level, na pre- form v

    Bobea kwenye masomo ya PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS kwa A LEVEL, na PRE- FORM V. Tunafanya na home Teaching pia Mawasiliano: 0782044028 (Whatsapp) 0625012562
  13. A

    NAFUNDISHA PHYSICS, CHEMISTRY NA MATHEMATICS kwa A LEVEL na Pre- FORM V (0625012562)

    Jiandae vyema kwenye masomo ya PHYSICS, CHEMISTRY, na MATHEMATICS kwa A LEVEL, na PRE- FORM V. Mawasiliano: 0782044028 (Whatsapp); 0625012562
  14. JOHNGERVAS

    Chemsha Bongo: Mabingwa wa Mathematics

    Hebu tusaidie mabingwa hapo hiyo ksh 10 imetoka wapi?
  15. M

    usaili kada ya elimu somo LA mathematics umenishangaza

    kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono. kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule sio kuzuri kabsa .
  16. S

    Nimesoma IT, natafuta kazi

    Natafuta kazi nipo mkoa wa Tabora. Pia hata kufundisha masomo ya sayansi ya sekondari yaani Physics, chemistry,computer, na mathematics naweza. Kwa yeyote mwenye connection msaada
  17. BARDIZBAH

    Mwalimu wa Physics na Mathematics (form 1-6) anahitajika mshahara mnono.

    . Expired
  18. Nzi Chuma

    Kitabu bora cha Mathematics O-level

    1. Kitabu kina topics zote Form 1 hadi 4 2. 29 Chapters, 505 pages, full colour. 3. Kila subtopic ina maelezo ya kutosha na kueleweka na ina exercise yake. 4. Kila Topic ina revision exercise ya maswali 50 hadi 100 5. Kuna mitihani 10 ya samples 6. Kuna chapter nzima (maswali 90) ya...
  19. S

    Korea Kusini iliyoendelea kila nyanja watu wake hawazaliani sana lakini Afrika Maskini watu wanazaliana mno

    Moja ya inch Bora kabsa kichwani haswaa kwenye sayansi na hesabu ni south Korea. . Sadly ni kwamba wanaziliana kwa kiwango kidogo sana hii inapelekea kukosa watu bora kwenye gunduzi mbalimbali hasa za kisayansi Science mathematics na innovations ziko kwenye risky sana kupoteza hawa jamaa...
  20. Enosh Ibrahim

    Kozi ya bachelor of science in mathematics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?

    Kozi ya bachelor of science in mathematics and statistics inahusiana na nini pia inatoa fursa gani ukisoma?
Back
Top Bottom