Kwa nini tunaendela kujidanganya kwamba kuendelea ndo kutatusandia kutatua matatizo yetu?
Nani ambae hajui kilio cha watanzania ni Katiba mpya, Utekaji, mauji, Ufisadi, rushwa TUME huru ya Uchaguzi.
Watanzania kwa sasa wanahitaji kuweka viongozi wao wanao wataka kupitia box la kura sasa...