mashine

Rage Against the Machine (also referred to as RATM or simply Rage) is an American rock band from Los Angeles, California. Formed in 1991, the group consists of vocalist Zack de la Rocha, bassist and backing vocalist Tim Commerford, guitarist Tom Morello, and drummer Brad Wilk. Their songs express revolutionary political views. As of 2010, they had sold over 16 million records worldwide. The band was nominated for induction into the Rock & Roll Hall of Fame in their first year of eligibility in 2017 and 2018, although both bids failed.Rage Against the Machine released its eponymous debut album in 1992 to commercial and critical success, leading to a slot in the 1993 Lollapalooza festival; in 2003, the album was ranked number 368 on Rolling Stone's list of the 500 greatest albums of all time. The band's second album, Evil Empire, was released in 1996, followed three years later by The Battle of Los Angeles (1999). During their initial nine-year run, Rage Against the Machine became one of the most popular and influential bands in music history, and had a large influence on the nu metal genre which came to prominence during the second half of the 1990s. They were also ranked No. 33 on VH1's 100 Greatest Artists of Hard Rock.
In 2000, Rage Against the Machine released the cover album Renegades and disbanded after growing creative differences led to de la Rocha's departure. De la Rocha started a low-key solo career, while the rest of the band formed the rock supergroup Audioslave with Chris Cornell, the former frontman of Soundgarden; Audioslave recorded three albums before disbanding in 2007. The same year, Rage Against the Machine announced a reunion and performed together for the first time in seven years at the Coachella Valley Music and Arts Festival in April 2007. Within the next four years, minus a sabbatical in 2009, the band continued to perform at more live venues and festivals around the world before going on hiatus once again. In 2016, Morello, Commerford and Wilk formed a new band, Prophets of Rage, with B-Real, Chuck D, and DJ Lord; that band managed to release one EP and one full-length studio album before calling it quits in 2019.After an eight-year hiatus, Rage Against the Machine announced in November 2019 that they were reuniting for a tour in 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. Crocodiletooth

    Ni mashine gani hapa mjini ukiwa nayo unaweza kujipatia 50000/-isiyo na presha kwa siku?

    Nje ya magari na vifaa vya aina hiyo, Je ni mashine gani au chombo gani cha utendaji wa kazi za kiufundi au ukandarasi ukiwa nacho alhamdulilah utapumua.
  2. Tlaatlaah

    Msaada: Anayejua gharama za mashine za kupandia mahindi na mahali zinapopatika Dar es Salaam

    Salamu, Wapendwa nahitaji kujua mashine ya kupandia mahindi zinapopatikana na gaharama yake. Nipo Dar es salamu muda huu. Nia na madhumuni yangu ni kuepuka hasara kubwa niliyoipata mawaka huu wa kilimo baada ya kupata mavuno duni sana, kutokana na mtindo wa kurusha mbegu huku nalifukuza trekta...
  3. A

    KUHUSU MASHINE YA CT SCAN MLOGANZILA

    Nawapongeza JF kwa kupaza sauti kuhusiana na ubovu wa mashine ya CT SCAN kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila. Naona sasa Huduma za CT Scan zimerejea kama kawaida na zinapatikana saa 24 Jumatatu hadi Jumapili.. Tunaomba muendelee kupaza sauti kuhusu Uchakavu wa Gari la kubebea wagonjwa
  4. A

    DOKEZO Mashine ya CT-SCAN katika Hospitali ya Mloganzila ni Mbovu

    Habarini, naleta taarifa hii kwa masikitiko makubwa sana... Mashine ya CT SCAN katika hospitali ya Mloganzila ni mbovu takribani mwezi mmoja na nusu na hali ni mbaya, wagonjwa wengine inawapasa wapange foleni katika kupata huduma hii. Ni aibu kwa Hospitali yenye hadhi ya TAIFA kama...
  5. ankol

    Mashine ya kukaushia dagaa

    Habari ndugu zangu, Ndoto yangu ni kumiliki hii mashine na kufungua kiwanda changu kidogo cha kukaushia dagaa kanda ya ziwa. Nimeangalia ina kost $3,000 tu jumlisha na shipping cost kama $2,000. Mwenye ujuzi juu ya hii mashine naomba anipe muongozo nipembue mbivu na mbichi. Karibuni.
  6. mfianchi

    Wapi zinauzwa mashine hizi hapa jijini Dar Es Salaam-mist duster-power sprayer

    Nauliza wapi zinauzwa mashine hizi za kumwagilia dawa za kuua wadudu kwenye mimea kama vile mikorosho, zinatumia mafuta zinaitwa mist duster-power sprayer, hubebwa mgongoni na hutumia petrol ili kusukuma maji/dawa kwa nguvu hadi kufikia umbali mrefu bila shida.
  7. Blance93

    INAUZWA Mashine ya kukatia miti chainsaw inauzwa

    Chainsaw aina ya Newtop inauzwa Imetumika miezi mitatu,ipo katika hali nzuri kabisa haina tatizo lolote,nililinunua kwa ajili ya kuandaa shamba sasa nimemaliza sina uhitaji nayo tena ndo maana nimeamua kuiuza. Mashine ni newtop 272 spea zinapatikana bila tatizo kwan zinaingiliana na Hus272...
  8. binkiko2

    TRA

    ENDAPO MTU AMEFUNGA BIASHARA MASHINE YA EFD ANAIPELEKA WAPI
  9. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Babati Vijijini Daniel Sillo Akabidhi Mashine za Kuchapisha Mitihani Shule za Sekondari

    MBUNGE DANIEL BARAN SILLO AKABIDHI MASHINE ZA KUCHAPISHA MITIHANI KWENYE SHULE ZA SEKONDARI Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini (Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti) Mhe. Daniel Sillo ametimiza ahadi yake ya kukabidhi mashine za kuchapisha katika Shule za Sekondari Maganjwa na Arisaayo ili kusaidia...
  10. Dharafu

    Mashine ya juice ya miwa inahitajika

    Wassalaam! Moja kwa moja niende kwenye point ndugu zanguni, mashine ya juice yà miwa inahitajika Location: Dar es salaam Condition: used Offer: 500k Karibuni tufanye kazi
  11. Munch wa annabelletz47

    Ajiua na kumtaka bosi wake akamzike Musoma badala ya Moshi

    Kijana Kepteni Warioba (23) amejiua kwa kujikata na mashine ya kupasua mbao leo Juni 16, 2023, Moshi mkoani Kilimanjaro, huku akiacha ujumbe wa kumtaka bosi wake aende kumzika mkoani Mara na asipofanya hivyo atakuwa anamuona na kumsumbua mara kwa mara. Tukio hilo limetokea leo Juni 16, 2023...
  12. Nyendo

    Bajeti yapendekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha 20% kwenye mashine za Kamari

    Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba leo June 15,2023 amewasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 Bungeni Jijini Dodoma ambapo moja ya mambo aliyoyapendekeza kwenye hotuba yake ni kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha 20% kwenye mashine za Kamari zinazoingizwa...
  13. Mr Why

    INAUZWA Mashine ya Kufua na Kukausha Nguo 10kg Inauzwa

    Mashine ya Kufua na Kukausha nguo 10kg inauzwa bei chee. Acha kufua kwa kutumia mikono. Kazi hiyo ziachie mashine zifanye. Bei 450K Wasiliana na muuzaji: 0757669270
  14. jmo mbeya boy

    Nauza Incubator mashine ya mayai 2000

    Mashine ipo vizuri na inapiga kazi vizuri nipo Uyole Mbeya Inatumia gesi Bei ni Milioni 1.5 0767750426
  15. H

    Hivi watu wanaozama ndani ya maji na kukaa zaidi ya dakika 1 bila mashine wanatumia mbinu gani?

    Heri ya sikukuu ya Iddi Jamani. Tusahau kidogo mada ngumungumu na mada za mmu. Leo sikukuu angalau tupunzishe akili na kusahau kidogo shida. Nimewahi kusikia kuna wajuvi wanaweza kwenda ndani ya maji zaidi ya nusu saa,Mimi sijawahi kushuhudia hiyo kitu Sasa sijui Kama ni kweli au story za...
  16. Dr am 4 real PhD

    Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

    Unakumbuka nini ukisikia jina Djemba Djemba. M Cameroon aliye lamba deal la kusajiliwa Manchester united na Alex Ferguson at his age of 21 Alisajiliwa akitokea Nandes ya ufaransa. Alipo sign deal na Manchester united akaenda kununua magari matano Kwa mkupuo. Inasemekana Sir Alex Ferguson...
  17. machafuko jr

    Wapi naweza pata mashine za kubetia

    Heri ya pasaka wakuu, Nina uhitaji wa zile mashine za kubeti premier bet au yeyote wapi naweza kupata wakuu. Nipo mjini Dar es Salaam Asanteni.
  18. benzemah

    Serikali inavyosambaza kwa kasi mashine za X-Ray na Ultrasound nchini

    Hadi kufikia mwaka 2023 jumla ya mashine za mionzi (X-ray) za kisasa za kidijitali 213 zimesimikwa huku vipimo vya Utra sound 67 vimesambazwa na kusimikwa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya msingi nchini. Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)...
  19. S

    Naomba kujuzwa zaidi kuhusu mashine ndogo ya kupasua kokoto

    Habari wanajamvi, Samahani naomba kujua kuhusu mashine ya kupasua kokoto, namna inavyofanya kazi, uwezo na bei yake, yeyote mwenye kujua tafadhali msaada Huwa naiwaza sana hii kitu
Back
Top Bottom