mapenzi

  1. E

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kumuelewa mpenzi wangu

    Habarini jamani mwenzenu nina mpenzi wangu ninampenda sana ila sasa hivi nashindwa kumwelewa kwani amebadilika sana upande wa mawasiliano amekuwa hanitafuti mara nyingi nikimtafuta hapokei simu nikituma msg hajibu kwa wakati nikimuuliza ana shida gani anasema yupo busy, nikimuuliza ananipenda...
  2. JamiiForums Tanzania Ku fake maisha ni chanzo cha maumivu katika mapenzi

    Wengi huumizwa na mapenzi kwani hao wapenzi wao wamewapata kwa ku fake maisha.. mtu anajimwambafai kuwa hela zipo,burudani ndio kisima,shida hazijawahi kusumbua wakati kiuhalisia si sahihi!. Ndugu kaa ukijua lazima pia utapata mpenzi fake!.. atakachofata kwako ni u fake wako ila atakapo gundua...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kanibwatukia na kugoma kuja kunipokea. Hapa kuna mapenzi kweli?

    Ni mkasa wa kweli unaohitaji ushauri wa kweli. Nina mpenzi wangu tumedumu kwa miaka 2 sasa. Tulikutana ktk vyombo vya usafiri na kuianza safari ya mapenzi. Lkn tunaishi miji (towns) tofauti, haiko mbali mbali sana. Kwa kipindi chote hicho sijawahi kwenda kwake, hata nikienda mji (town)...
  4. JamiiForums Tanzania Hitaji lako ni nini katika mahusiano?

    Good morning, guys! Kuna siku ukiwaza na kutafakari kwa nini upo katika mahusiano utajikuta umeshapoteza muda wako, pesa zako na hata kupoteza muelekeo wa maisha kwa mtu ambae hujui kwa nini ulikuwa nae wala kwa lengo gani? Katika kizazi cha leo ukiondoa mapenzi au NGONO, katika mahusiano...
  5. JamiiForums Tanzania Mapenzi ni kitu cha ajabu sana

    Walioana wakiwa wafanyakazi kazi wote wawili, walizaa watoto wawili. Baadae mwanaume aliondoka aliondoka nyumbani.. Yule mama alihangaika kulea watoto, si haba alifanikiwa kuwasomesha watoto na wakati huo Baba amepata binti mdogo anaishi nae. Watoto walikua wakubwa na alimpata bwana mwingine...
  6. JamiiForums Tanzania Mapenzi ni matamu ila ni gharama

    Mapenzi ni matamu ila ni gharama. Nimelithibitisha hili baada ya kipindi fulani kwenda kwenye mapumziko ya siku saba na mrembo wangu mwenye chura matata. Kabla ya kuanza safari nilikuwa nimeweka bajeti na nikaiamini bajeti ile ingeweza kutosha, baada ya kufika eneo la tukio na mashamsham ya...
  7. JamiiForums Tanzania Nilichojifunza kwenye mapenzi: Kama huna moyo wa kutoa, sahau kupata faraja ya mapenzi

    Nilichojifunza kwenye mapenzi, kama huna moyo wa kutoa, sahau kupata faraja ya mapenzi. Hata maandiko yanasema, jinsi unavyotoa ndivyo unavyozidi kujiongezea baraka katika maisha yako.
  8. JamiiForums Tanzania Katika mapenzi kila mwanaume ni 'Starring' na starring huwa hafi, naomba tuseme ukweli na hapa

    Ukisoma mada nyingi humu unaweza kudhani mwanamke ni kiumbe rahisi sana kutoa tunda,lakini kiuhalisia na sehemu kubwa sio kweli. Kuna mada kadhaa zinazungumzia kula tunda katika mazingira hatarishi na nyingine kula tunda kimasihara . Ukizisoma mada hizo motomoto utaona kwamba wanaume wengi...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kufanya mapenzi, nasubiri muda muafaka ufike

    Ndugu zanguni members wenzangu me ni kijana mwenye umri wa miaka 23 nasijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yoyote na sio kwamba labda nina tatizo la hasha ila tu nimeamua iwe hivyo mpaka pale nitapopata mwanamke nitakayekuwa na future naye ingawa teyali ninaye ila muda muafaka utapofika nitaweza...
  10. JamiiForums Tanzania Lyrics kali za mapenzi za kusisimua

    Angalia hapa lyrics za nyimbo kali za kusisimua zenye ujumbe mzito zinazo trend duniani za kiswahili na kingereza
  11. JamiiForums Tanzania Dalili za mwanamke anayekupenda, ila hawezi kukuambia

    Kumekuwa na imani potofu kwa wanawake kwamba hawawezi kumwambia ukweli mwanaume anampenda kwanza mpaka mwanaume aanze lakini ukweli usiopingika ni kwamba wao pia hupendi na mara nyingi wao wakianza kupenda hupenda kweli kufikia stage hata ya kuhisi kuumwa. Hizi ni dalili za mwanamke anaekupenda...
  12. JamiiForums Tanzania ANATAFUTWA RAFIKI WA KIKE AWE MATURED

    HABARINI za kazi wapenzi .. kuna rafiki yangu anatafuta (matured women )mwanamke mwenye umri wake kidogo( for no string attached) above 34 and 50 asiwe mke wa mtu labda awe single mother tu yeye ni mtaalamu wa real estate by occupation na anakipato kizuri sio kibaya mengine mtaajuana huko...
  13. JamiiForums Tanzania Mwanaume kama huna hela huwezi dumu na mwanamke

    Yaani sio nawadharau ila niukweli. Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao. Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu. Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa...
  14. JamiiForums Tanzania Usimchukulie poa mtu ambaye humfahamu

    Bhana nimecheka sana, kuna rafiki yangu kipenzi anamadharau sana, akimwona mwanaume hajajiweka sawa anamcheka na akimfuata anamkimbia au anadai kaolewa. Kuna huyu mkaka wako majirani kikazi, yaani ofisi zao zinaangaliana, huyu kaka alimfukuzia best yangu tokea kitambo ila yule dada alikuwa...
  15. JamiiForums Tanzania TUNAWAONA WAZURI SABABU TUNAWAPENDA

    Kinachofanya wajione wao bora na wazurii ni Sisi wanaume tunapenda kuwasifu lakinii ukweli ni kwamba hawana uzuriii wowote ndo maana vitu vya urembo vimekuwa vingi kwao ili wapendeze waonekane wazurii. Ila Men tupo really bado tunapendeza na tunavutia
  16. JamiiForums Tanzania Zero IQ mtayarishaji wa JF-HardTalk umepotea nini tatizo?

    Ndugu Zero IQ mratibu, muandaaji na mtayarishaji wa JF Hardtalk umepotea ni muda sasa nini tatizo?! Uhitaji wa hardtalk ungali upo kwa sababu ilianza kusaidia kuwatambua wana-JF uwezo, mitazamo na maono yao kwa uwazi mkubwa. Ndugu Zero IQ kama ulisitisha muendelezo wa hardtalk tafadhari anza...
  17. JamiiForums Tanzania Binti Aolewa na wanaume wawili Mapacha!

    Ndoa ya moja hivi karibuni kutoka katika kabila la WAZULU imekuwa gumzo baada ya Msichana mmoja kuolewa kwa ndoa moja ya kijadi na Wavulana wawili Mapacha kuwa waume zake. Sasa swali ni kuwa atawamudu wote kwa mpigo katika yale mambo yetu, au watapangiana zamu kama zile za mume mwenye mke zaidi...
  18. I

    JamiiForums Tanzania Nimwache akapange au niondoke mimi?

    Habari wanaJF, naomba mnishauri pia kwa hili. Nilikutana na binti mmoja mwaka 2012 katika mazingira ya kazini na tukaingia katika mahusiano, binti huyo alikuwa akiishi kwa dada yake mkubwa ambaye wamechangia mama. Kwa mujibu wa maelezo yake ni kwamba dada yake huyo alikuwa akimnyanyasa na...
  19. JamiiForums Tanzania Tabia za wanasheria wa kike ziko vipi?

    Ndugu zangu. Kwanza Mungu awabariki. Kuna ndugu yangu ameanza mahusiano na binti mwanasheria miezi kadhaa iliyopita. Kuna tetesi kwamba hawa viumbe huwa ni wakorofi na huwa hawataki kushindwa. Kuna mtu anayeweza kuthibitisha hili? Na tabia gani nyingine wanazo? Jamaa yangu anataka kujua.
  20. JamiiForums Tanzania Meseji za Mapenzi za kumtoa nyoka pangoni..enjoy

    Heshima kwenu wakuu, Baada ya kuona Watu wanawaandikia wapenzi wao meseji za kawaida zisizo romantic, nmeona niwakusanyie meseji japo uwe unacopy na kumpastia umpendae. Hii itasaidia kuamsha mapenzi na kumfanya mpenzi wako ajisikie poa Just mtumie meseji moja kati ya hizi uone majibu yake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…