Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,355
- 40,227
Nilichojifunza kwenye mapenzi, kama huna moyo wa kutoa, sahau kupata faraja ya mapenzi. Hata maandiko yanasema, jinsi unavyotoa ndivyo unavyozidi kujiongezea baraka katika maisha yako.
Kweli mkuu,ubahili ukizidi..unapata zilizo expireSio kwenye mapenzi tu hata ktk maisha ya kawaida.
Ni kweli mkuu,usipotoa nikupiga mapoligoni tu.Nipe nikupe
Mkuu, naona una changanya biashara na mapenzi eehhh....!!Nilichojifunza kwenye mapenzi,kama huna moyo wa kutoa...sahau kupata faraja ya mapenzi. Hata maandiko yanasema, jinsi unavyotoa ndivyo unavyozidi kujiongezea baraka katika maisha yako.
ha ha ha wanasema kutoa ni muhimu zaidi kuliko kupokeaMkuu, naona una changanya biashara na mapenzi eehhh....!!
Ohhh.. Sorry kumbe unazungumzia mapenzi, minikidhani Ndoa...teh
Naona nimepotea jukwaa wallahi..
Inategemea mkuu na aina ya totozCo kweli mbona mm bahili wa kutupwa na nanyoosha kam kawaida
Ila ukweli wanaujuaKuna watakao kupinga ......
Kuna watakao kupinga ......
Co kweli mbona mm bahili wa kutupwa na nanyoosha kam kawaida
Mkuu, naona una changanya biashara na mapenzi eehhh....!!
Ohhh.. Sorry kumbe unazungumzia mapenzi, minikidhani Ndoa...teh
Naona nimepotea jukwaa wallahi..
Kuna watakao kupinga ......
Co kweli mbona mm bahili wa kutupwa na nanyoosha kam kawaida