mange kimambi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Ujumbe wa Mange Kimambi na vita ya Iran na Trump

    Kwa wale ma low IQ ambao bado hawaelewi why niko nyuma ya Rais wangu POTUS on this Iran war mtanielewa in due time……. Kwenye hii vita ya Iran kila mtu anaangalia manufaa ya nchi yake. 1. Wa-Iran wanaotaka nchi yao ipigwe mabomu ili Islam Republic itoke madarakani bila kujali damage...
  2. R

    Nimependa ujumbe wa Mange Kimambi kwa radical Muslims

    Mastermind wa mauwaji ya waandamanaji wa Iran, Ali Larijani, is dead Justice served!!!!! Wauwaji wa wananchi wanatakiwa kukutana na kifo kama wanachowapa wananchi wao. I’m a Muslim, I’m not a radical Muslim. UAE, Saudi, Kuwait, Jordan, Bahrain hao pia ni Muslims na sio radical Muslims ila...
  3. M

    Mange Kimambi: Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia kwa Magufuli

    Matatizo yote makubwa ya kisiasa tuliyonayo leo yalianzia hapa. Bunge la machawa tulilonalo leo lilianzia hapa. Bunge kukosa upinzani ilianzia hapa. Utekaji na uuaji wa wapinzani ulianzia hapa. Kwa kifupi system ya udikteta, ubabe na kutia hofu watu ilianzia hapa. System ya vyombo vya habari...
  4. M

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Mangi kimambi naye anasimama na watu wengine katika kuushutumu utawala wa Kiisilamu wa Irani kusema ni mgumu afadhali ule wa Saudia arabia na baadhi ya inchi zingine za Kiisilamu Nimeona ngoja niwajibu watu wote waujue Uisilamu wa kweli,Ukisoma historia ya kweli kabisa ya Uisilamu alioishi nao...
  5. Inside10

    Mange Kimambi: Hiki ni kitabu alichoandika Khamenei akiwa anaelekeza sheria ya ndoa

    Hiki ni kitabu alichoandika Khamenei akiwa anaelekeza sheria ya ndoa. Khamenei anasema mtoto akiingiza miaka 9 ni ruksa kumuingilia kimwili. Nilipopiga yowe la uchungu wa uzazi ni hapo aliposema kuwa hairuhusiwi kuingilia kimwili mtoto wa chini ya miaka 9 ila ni ruhusa kupata raha zingine za...
  6. Common Folk

    Mange Kimambi: OC-CID wa Arusha (Omary Mahita) alikuwepo na alikuwa anafuatilia live tukio la kutekwa Banjoo

    Mange ameeleza tukio zima la mfanyabiashara kutekwa, ambapo analeza tukio hilo lilifanyika karibu na ofisi za mkuu wa wilaya
  7. R

    Mange Kimambi apinga Trump kuishambulia Iran

    Anapinga Trump kuishambulia Iran: I’m a liberal, have donated to dems since I have been in this country but I’m going to say to you, SHUT THE FvCK UP!!!! . America does not exist in isolation. It is the most powerful nation in the world, and with that power comes responsibility, a...
  8. S

    Majibu ya Mange kwa Rais wa Afrika Kusini: Unaweza kuombea mkopo benki na riba ukapunguziwa

    Sijui huyu bwana aliongea nini hasa kuhusu ukoloni mambloeo wa wazungu, ila Mwanaharakati, Mange Kimambi, kamjibu hivi kupitia mtandao wa X: No. @CyrilRamaphosa Africa must confront black colonialism before it starts shouting about white colonialism returning. The real and present danger to...
  9. Samia atosha tukutane2030

    Wafuasi wa Mange kimambi hawana akili timamu

    Mange kimambi na wana harakati wengine wa mitandaoni wanaompinga Samia wako kwa maslahi yao binafsi. Wapo wanaoishi kwa kutegemea wingi wa Wafuasi wao kupata chochote kitu kutoka META, mfano Kigogo. Kigogo anatumia umbumbu wa Watanzania wengi kutengeneza maudhui ya uongo (uzushi) ili...
  10. Samia atosha tukutane2030

    Mange Kimambi ameharibu akili za vijana wa Tanzania, Sasa kila linalosemwa na kiongozi wa serikali wanalipokea negative

    Fursa lukuki ambazo zipo ndani ya awamu hii ya Samia gen Z wala hawazihangahikii badala yake vijana wachache mostly ni UVCCM ndio huzipata yet gen Z wanaendelea kusema wanapeana. Hawa vijana walioharibiwa akili na MANGE Kimambi kazi yao kubwa ni kusubiri post yoyote mitandaoni iliyotolewa na...
  11. Waufukweni

    Kesi ya Mange Kimambi kuendelea leo Januari 28, Kisutu

    Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Soma: Kesi ya Mange Kimambi ya utakatishaji wa fedha kuunguruma leo Desemba 4, Kisutu Mange, anayeishi Marekani, ameshitakiwa kwa...
  12. Its Tesha

    Kesi ya Mange Kimambi kuendelea leo Januari 28, Kisutu

    Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Soma pia PostGE2025 - Serikali ya Tanzania yamfungulia Mange Kimambi kesi ya Uhujumu Uchumi. Adaiwa kutakatisha Tsh. Milioni 138 Mange...
  13. Common Folk

    PostGE2025 Mange Kimambi: Watanzania mkataeni Mzee Butiku kwa nguvu zote, anatumika na ni nyoka, huwa anakutana na Samia Ikulu mara kwa mara

    Mwanaharakati Mange Kimambi amesema kuwa watanzania wanatakiwa kumpuuza mzee Butiku kwa kuwa anatumika na serikali ya Samia.
  14. M

    DAR: ‘Polisi wa Mange’ kusomewa maelezo Februari 16, 2026

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Februari 16, 2026 kwa ajili ya upande wa Jamhuri kuwasomea hoja za awali (PH) askari Polisi wawili wanaokabiliwa na mashtaka ya kuchapisha taarifa za uongo katika mtandao wa kijamii wa WhatsApp wa Mange Kimambi. Hatua hiyo ni baada ya upelelezi wa kesi...
  15. Q

    Akaunti za Mange Kimambi zilizokuwa zina rekodi matukio ya MO29 zimerudishwa

    OMG! OMG! Meta has unsuspended my WhatsApp account, +1 424 537 3057. For those who don’t understand the important of regaining access to this number is that, this is the number that Tanzanians were using to secretly share photos and videos of the election massacre that saw over 10,000 Tanzanias...
  16. Dogoli kinyamkela

    NAROGA : Account za mange kimambi zirudishwe ...

    NAROGA : Account za mange kimambi zirudishwe ... Ili ndio zoez langu la kwanza baada ya kutoka ujinini
  17. Sifi Leo

    Naungana na Mange Kimambi lolote litokeee kwetu

    Utawala wa Venezuela kwa wavenezuela ulikuwa mbovu na mbaya mno kiasi cha kusema ni bora waingie wazungu labda wana huru. Kuibiwa na mtu mweusi, bora mzungu Naungana na mange Kimambi lolote litokeee kwetu
  18. Mnyenz

    Trump ametumia saa mbili tu kukifanya kitu kilichomshinda Putin kwa miaka 3

    Zelensky ana akili kubwa sana, ni vile tu hana resources!!! Putin alishafanya majaribio mengi sana ya kumteka Zele lakini wapiii Kwenye kitengo cha utekaji mrusi kazidiwa mpaka na wasiojulikana Trump anairudisha ile marekani ya kwenye TV na muvi za kijasusi. Imagine unakuja kukamatwa...
  19. S

    Baada ya Kisa cha Thadei Kweka, nadhani sasa Mwanasheria Mkuu ataufyata na kutambua kwamba Mange Kimambi akija Tanzania hawezi kumgusa kabisa!

    Sijajua kama Mange Kimambi ana uraia wa USA au la ,lakini hata kama ana residence ya kudumu, nadhani sasa Mwanasheria Mkuu wa serikali ataufyata na kutambua kwamba Mange Kimambe akiamua kuja Tanzania watakachoweza ni kumzuia pale airport. Lakini kwamba eti watamfunga thubutu! Swali la "who are...
Back
Top Bottom