Mwanasheria mkuu wa serikali HARAMU alisema wazi watatafuta kesi ambazo zinaweza kumpata MANGE KIMAMBI KUTOKA MAREKANI.
Wameipata Kesi ya UCHUMI hii wanaamini inatosha sana kuwashawishi Marekani kumuachia raia wake aje kushugulikiwa Tanzania.
Leo ndio nimeamini kweli jamaa ni TAKATAKA hapa...
Samahani sana kama nitawakwaza kwa kusema 'Tanzania ina vijana wajinga sana'.
Chanzo chao cha habari za kuaminika ni Millard Ayo.
Chanzo chao cha maarifa na Elimu ni Mange kimambi.
Vijana wa Tanzania waliamini kwa 80%-90% au zaidi kuwa Tarehe 29 September jeshi la ulinzi lingekwenda kuipindua...
Imeshazungumzwa sana makosa yaliyofanyika kwa upande wa mamlaka, lakini ni vyema tukageuza upande wa pili wa shilingi.
Kwa nini nasema mange hathamini uhai wa watanzania bali anajithamini yeye tu uhai wake?
Gwajima alipokuwa anakemea utekaji alitolea mifano kwa watoto wa viongozi akimaanisha...
Mange Kimambia anahoja na ametuomyesha mambo yaliyotokea kwenye giza je baada ya anayotaka yakatokea lengo lake ni lipi haswa? Je utarudi Tanzania ? Au utaendlea kukosoa serikali ya Tanzania
MANGE KIMAMBI aje before Dec 9 aandamane na mimi akija nitaandamana kabisa ndo nijue kweli wewe una...
Nimepitia uzi wa the so called mwanaharakati uchwara Mange kimambi,nimeona amepotosha umma dhidi ya serikali yetu tukufu.
Huyu mwana mama amedanganya umma kuwa wanajeshi wamemtumia screenshots za kutumiwa pesa eti za shukrani kwa kazi nzuri ya kuua watu waliyoifanya, nimeangalia tarehe ya hiyo...
Sijawahi kuwa fan wa huyu dada lakini siwezi kupuuza uwezo wake wa jinsi anavyoweza kufanya vingi kwa mpigo kwa kutumia mtandao tu lakini ninachojua kuna muda huwa anaongeza chumvi.
kuconnect dots na ku analyze taarifa, kupewa taarifa ni kitu kimoja ila kukipangilia kiwe data inayoleta maana ni...
Naangalia youtube hapa kwenye TV namsikia kidada anasema Watanzania wasirudi nyuma, ohhh vijana endeleeni kweli?
ahaaa ahaaaa ahaa yaani anachochea bado tu na wajinga waje wakubali ? KWELI WATANZANIA TUMELOGWA ndo maana kiboko ya wachawi mkongomani alisema Watanzania ni wajinga sana
naanza...
Ndugu zangu Watanzania,
Acheni Unyumbu, acheni ujinga na uhayawani ,acheni ushamba,acheni umbumbumbu ,acheni kutumika vibaya kama mazuzu. Hivi mtu na akili zako Timamu kichwani na unayejitambua vizuri kabisa na mwenye utimamu wa akili na Mwili unaweza vipi kukubali kuandamanishwa barabarani na...
Kwa mujibu wa mwana mama Mange kimambi, ametoa madai mazito ya kwamba mtoto wa rais Abdul Ameir ana uraia wa UAE.
Hii imenikumbusha Sakata la rais wa Madagascar aliyetumuliwa na Gen Z na kugundulika ya kuwa alikuwa na uraia wa Ufaransa. Anyway, tujipe muda tu
1: Tukianza na Incitement au Solicitation aliyofanya Mange Kimambi pamoja na wahalifu wengine ni kuwa, alishawishi Digital Natives au Generation Z aka Gen Z kuvuruga nchi ya Tanzania kwa kuvunja Sheria za nchi ikiwemo kuharibu miundombinu ya Wananchi na Serikali yake
(Mali za Wananchi pamoja na...
Hata watu hatujamaliza wengine arobaini ya Marehem wetu waliotangulia mbele ya Haki, umekaa ulaya unawaambia watanzania waandamane ? Huyu mtu ni mzima? Kiakili?
Watanzania siku ambayo mtashutka kua watu wanatumiwa itakua too late na tutakua tumeshaharibu nchi yetu na maisha ya wengi kupotea...
Jana Mange kimambi alitoa hamasa ya Watu kuandamana 09/12, na kusisitiza maandamano ya amani.
Binafsi napiga vikali hoja hiyo, maandamano ya MO29, yame trend Dunia nzima, na kumchafua vibaya sana Samia kutokana na civil disobedience.
Kitendo Cha raia kuchoma vituo vya kupigia kura, magari...
Habari.
Napendekeza Mange Kimambi awe mkuu wa idara ya upelelezi na ujasusi wa Gen Z.
Tukishamteua, naye atateua/atapndikiza agents katika idara nyeti kama jeshini, polisi, uhamiaji hadi ikulu ambao watakuwa wanampa habari.
Pia, napendekeza au nasharu kuwe na viongozi wa Gen Z katika mikoa...
Ukweli halisi wa kilichotokea Oktoba 19 umezimwa.
Watu hawana mida tena wa kutafuta kilichojiri, badala yake wanafikiria kufanya maamdamano mengine bila tathmini ya kikichotokea.
Kumbuka hatudili na serikali ya watu, bali ni kikundi cha kigaidi.
Imeshafahamika,
Wanapiga CURFEW
Wanazima...
Mange Kimambi watu wanakusikia, ili wakuelewe vizuri hakikisha unafika kwenye maandamano, kinyume na hapo utabaki kuitwa Mhalifu na Tapeli
Kufika kwako kwenye maandamano kutauthibitishia uma kuwa ni namna gani uliwapenda mpaka ukaamua kufa nao na sio wao wafe kwaajili yako huku ukiwa umebakia...
Watanzania tutafakari kwa kina, je tumeona vipaumbele vya maandamano? Je umekaa chini ukajiuliza tarehe 29 ulitaka ama kufanya maandamano Kwa nini? Na hayo yanayokuja unataka kuandamana kwa sababu Gani?
Mimi ni mtanzania mpenda Haki, na watanzania wapenda Haki tujiulize kua vipaumbele vya...
Nature tu wabongo waoga sana .
Wengi tunajua hili.
Wasingeweza kuandamana ile October 29, 30 na 31. Ila MANGE akawadanganya kuwa jeshi liko tayari kupoka utawala toka mkononi mwa CCM. Ni wananchi tu waanze jeshi limalize.
Siku ya tatu baada ya vijana kufa akasema jeshi liko kwenye majadiliano...
Habari aliyoitoa mange mda huu kwamba tesha yupo uraiani tena nje ya nchi halafu mange anasema anayajua mengi kuhusu tesha ila anasema hawezi kuongea Sana ataharibu mambo
The sun over Dar es Salaam was a relentless, burning eye, but it was nothing compared to the fire in Mange Kimambi’s heart. In a nation where the political landscape was often painted in monochrome, she had chosen to wield a brush of every color, and her canvas was the airwaves.
It did not...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.