mambo

The Museo d'Arte Moderna di Bologna or MAMbo is a purpose-designed museum of modern and experimental art in Bologna, Italy. The Museo Morandi, which displays a large collection of works by Giorgio Morandi, is temporarily housed in a part of it.

View More On Wikipedia.org
  1. Ali Nassor Px

    TBC inapoteza wafuatiliaji kwa mambo ya kujitakia wenyewe

    Mwanzo nilikuwa sina uhakika sana kama TBC TANZANIA inafatiliwa na inawasilizaji wengi sana . ila baada ya kutazama interview ya Salama na Oscar Oscar. ndo nikajua na nikathibitisha kuwa Tbc Tanzania ina wasikilizaji wengi sana. nadhani na nilitajia kuwa TBC TANZANIA ingekuwa mfano bora kwa...
  2. sanalii

    Mambo ya kukarahisha

    1. Mwenza wako akitema mate kwenye chombo waweza lamba? Jibu laweza kua no, ila content ni zile zile 2. Unajua kijiko au kikombe cha mgahawani unachotukia kimeingia kidomoni mwa watu wangapi ? 3. Mwanamke unanyonyana nae mate, unajua kanyonya fimbo 🥒 ngapi ? How it feels?
  3. starlightz

    Hakuna jipya chini ya jua!

    Kiuhalisia kila kitu kinachotendeka katika maisha yakila siku ni marudio ya maisha yaliyopita, na tayari maisha hayo yamehifadhiwa kwenye maandiko mbalimbali, amini usiamini maswali yako yote uliyonayo sasa majibu yake yako kwenye vitabu, hivyo jaribu kuwa rafiki wa vitabu ujionee maajabu.
  4. Mganguzi

    Namshauri Serikali iagize mchele nje mapema kabla mambo hayajaharibika

    Hali ya chakula ni mbaya sana kwa sasa! ikitokea upungufu wa sukari serikali huwa inaagiza nje, chakula kimepanda bei mara dufu! nyinyi mnaotembelea ma v8 hamjui chochote kuhusu hali hii, Jakaya aliagiza mchele China na Japani ,japo haukuwa mtamu lakini uliokoa sana kipindi kile! Bashe yuko...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Tunapaswa kuhamia kwenye nishati safi, haya mambo yote yanawezekana wewe ukikubali

    Kiuhalisia nishati safi ni nafuu kuliko kuni na mkaa. Gharama tunayonunulia mkaa na kuni siyo halisi. Hiyo siyo bei yake halisi. Gharama za kuukuza mti ni kubwa kuliko hiyo bei tunayonunulia. Lakini pia bei ya mkaa na kuni hailingani na athari za ukame tutakazolipia huko mbele na tunazolipia...
  6. S

    Mambo muhimu ya kuwa nayo ili uendeshe kampuni yenye faida,tija na ufanisi hapa Tanzania

    Habari wana jukwaa hili. Naomba kujua ni mambo gani ambayo unapaswa kuyaeka sawa kwa wakati wa mwanzo kabisa wa kuanzisha biashara(Yenye mfumo wa kampuni), ili iweze kuleata tija, faida na uendelevu kwa miaka ijayo mbele. Hili nikimaanisha namna ya kuandaa hesabu zako kwa ajili ya kodi...
  7. Lord Denning

    Kwa haya mambo 2 natangaza rasmi kuunga mkono January Makamba kukamata kijiti kuongoza Tanzania kuanzia 2030

    Dunia inakabiliwa na changamoto kuu mbili sasa; 1. Uharibifu wa Mazingira 2. Kujenga uchumi imara katika mazingira magumu Kwa kuangalia kuanzia mwaka 2030 sioni mwanasiasa mwenye upeo wa kuiongoza Tanzania kupita kwenye changamoto hizi na kushinda zaidi ya January Makamba. Kwanini January...
  8. Sauti ya amani

    Huyu mpangaji mwenzangu nifanyeje kumchakata maana kumwambia naogopa na tumekuwa tukisaidiana katika mambo mengi

    Wana JF kuna mpangaji mwenzangu mumewe alimtelekeza na mtoto wa miaka 7, na mda sana tangu amtelekeze dada huyu amekuwa akipambana mwenyew akiuza genge lake ili kujikimu katika mahitaj yake mbalimbali.sa nmetokea kumtamn sana maan bado n mdogo umri ake hauzid miaka 25. Huwa anakuja getho kwang...
  9. Kipenzi Changu

    Kitenge na Shaffii huangalia mambo kwa jicho la Njaa Kali

    Original post and source Shaffii source yake ikiwa hiyo ya juu. My Take Naelewa tatizo sio lugha ila ni kufikiria mambo katika mlengo wa njaa. Yaani inaanza njaa baadae ndio unafikiria. Dauda na Kitenge nyie ni wazee sasa. Lindeni heshima kidogo mliyokuwa nao. Hizi nafasi kubwa wanazipata...
  10. Komeo Lachuma

    Mh. Rais nipatie tu perdiem nipite kwa watanzania niwaeleze mambo haya

    Naomba nami usinisahau ktk ufalme wako. Nimeona mambo makubwa uliyoyafanya mpaka nawaza ulikuwa wapi toka awamu ya kwanza? Una mazuri yote....huna baya mama. Huna baya na mtu. Umeifungua nchi sana. Naomba tu niweze wezeshwa nauli na malazi nipite nchi nzima kuelezea mazuri yako na kule...
  11. MOONFISH

    Anaejua mambo ya leseni za salon ndogo

    Habari wajuba hope mko poa sana. Kuna thread nilileta huku japo wachangiaji walikuwa ni wachache ila nilifanikiwa kumfungulia dogo salon ni ndogo na ya kawaida sasa swali langu nilikuwa ni kujua kama kuna huitaji wa leseni maana saloon nimefungulia nje ya mji na gharama zake zilienda kama laki...
  12. S

    TAMISEMI mulikeni zaidi kutambua mafisadi miradi ya serikali

    MIRADI YA SERIKALI KATIKA TAASISI ZA SERIKALI Hapa Bado Kuna maumivu makubwa na usumbufu kwa viongozi wasimamizi wa miradi,wazabuni na wakandarasi Kama siyo TAMISEMI kunyanyua zaidi camera ili kuwaona adui zetu (mafisadi) ambao wamatawanyika zaidi, basi, TAKUKURU,TAMISEMI NA USALAMA ongezeni...
  13. britanicca

    Tuendelee na Mambo ya Msingi Elimu inachezewa sana

    Kuhusu Ya endeleaayo kwenye kuiba mitihani na kubadili namba za watahiniwa Baada ya shule husika kufungiwa kuwa kituo cha Mitihani ya Baraza, Nini Hatma ya Wanafunzi waliokuwa wanasoma shule hiyo? Je, kuifungia shule husika ndiyo suluhisho la udanganyifu wa mitihani ya elimu nchini?, Je, Bila...
  14. Nyankurungu2020

    Mambo ya ajabu yamelighubika taifa letu. Umeme unakatika ovyo huku Waziri mwenye dhamana anadai kuna Megawatts 14000 za ziada

    Kwanza alijinasibu kurekebisha miundo mbinu iliuochakaa ya kusafirisha umeme. Sasa hivi anadai kuwa tuna ziada ya Mw 1400 na huku mgawo wa umeme upo kila siku. Huyu Waziri ana wafanya Watanzania ni wapuuzi.
  15. Expensive life

    Mambo ya kichawi niliyoyaona kwenye Derby ya Kariakoo jana kabla ya mchezo

    Natamani siku hizi timu mbili ziache kurogana kipigwe kavu kavu tuone kiuhalisia ni nani bora zaidi uwanjani na siyo haya mazingaumbwe wanayotufanyia. Haya ni baadhi ya mambo nikiyoyaona jana uwanjani; ~ Yanga SC ndiyo walikuwa wa kwanza kuingia uwanjani majira ya saa 3:05, baada tu ya kuingia...
  16. sanalii

    Mambo ni mengi, hata vest hatuvai

  17. NetMaster

    Kero za nyumba za kupanga: Wamama wanaoshinda vibarazani/ makoridoni kwenye mikeka wanakosesha amani wapangaji wengine

    Jamani nyumba za kupanga zina shida sana. Shida ni hawa wamama ambao hawana shughuli ya kufanya, kutwa nzima kushinda majumbani kwenye mikeka, sehemu wazipendazo ni vibarazani na makoridoni Yaani usiwe na tumbo la kuhara, au kuingiza Totoz, Utakoma.
  18. Shujaa Nduna

    Huku mambo kero, Waziri wa Kilimo pitia hapa

    Mheshimiwa waziri wa kilimo salam, Mimi ni mkulima wa hali ya chini tu lakini kwakweli kumekuwa na kero kubwa ktk maeneo kadha kwenye vituo vya kupata mbolea kwa bei ya ruzuku. Mtu unaenda leo kutwa inaisha kwajili ya kuandikisha details halafu siku inayofuata unasimama foleni toka asubuhi...
  19. pCpCp RICH THINKER

    Mambo 10 magumu kwa wanafunzi wa 'short course' wanaosoma VETA Kama huyawezi usiende; tafuta njia nyingine ya kusoma

    Una mpango wa kusoma Short Course V.E.T.A ? Na ni mtu mwenye majukumu yako?! Basi, tambua: 1. Utalazimishwa kuvaa sare. Hauko tayari kuvaa sare mazingira yako ni magumu. Hakuna cha 'bring-bring' wala nini! 2. Utanyoa Kama mtoto, kama mwanafunzi haswaa. Kama unauchebe, uchebe wako utaambiwa...
  20. Analogia Malenga

    Rais Samia: Rushwa ndani ya chama ni tabia

    Rais Samia akipokea ripoti ya kikosi kazi ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi amesema rushwa katika vyama vya siasa ni tabia. Ametolea mfano baadhi ya vyama kuwalaza watu kwenye maeneo mazuri ili kupata kura za wajumbe. Amesema kazi ya kupambana na rushwa ni ya kila mmoja na rushwa ipo...
Back
Top Bottom