mama samia

Maggie Gobran or Mama Maggie, a Coptic Orthodox, is the founder and CEO of the non-profit charity Stephen's Children in Cairo, Egypt. She was also professor of computer science at the American University in Cairo, is married and has a son and a daughter. She was nominated for the 2012 Nobel Peace Prize.

View More On Wikipedia.org
  1. Ponjoro wa Kinondoni

    Watanzania wote wanunue picha ya Mama Samia na kuitundika sebuleni na chumbani

    Natamani tumwone mama tukiamka, tumwone sebuleni, tumwone ofisini, tumwone kwenye vyombo vya habari, n.k Hakika mama yetu anatupenda, mimi Ponjoro wa Kinondoni nafarijika sana nikiona tabasamu lake. Wanaomchukia wanaishi kama digidigi si mnamwona gwaji boy, nasasa kuna digidigi nyingine inatua...
  2. Ponjoro wa Kinondoni

    Bonge la Ngoma: Nikki Mbishi Fit Mama. Sikiliza mwenyewe hapa

    https://youtu.be/WDTZHBAdsv4?si=NlySPzTCFWaIXiUd
  3. K

    Tunasubiri gawio la awamu ya pili ya Mama Samia bond

    Tuliwekeza kwenye Mama Samia Bond. Wakati wa gawio la awamu ya pili baada ya miezi mitatu mitatu imefika. Tunaisubiri kwa hamu kubwa.
  4. Benson Mramba

    Mama Samia Vs Lissu au Heche ni kama Kamala Harris na Trump kazi kwa CCM kuamua kuwa kama Democrats

    Kwa speed ya uongea, mass mobilization, maneno ya kejeli na Karaha, kujenga hoja n.k namfananisha Lissu na Trump. Mama Samia nae ongea yake, nafasi yake ya VP, gender,chama chake kuwa chama tawala n.k namfananisha na Kamala Harris Huko Marekani Democrats nao hawakuwa na mchakato wa nomination...
  5. LIKUD

    Mama Samia badili Sheria ya Makosa ya Jinai ( Penal Code), iendane na Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971. Utawin mioyo ya 99,% ya watanzania.

    Sheria mama ya Tanzania ( Katiba) inasema, umri wa utu Uzima ni kuanzia miaka 18. Sheria ya Makosa ya jinai ya Tanzania ( Penal Code), inatambua kama kosa la jinai, tendo la ngono Kati ya mwanaume mwenye umri wa mialka 18+ na msichana mwenye umri wa chini ya miaka 18,hata kama msichana huyo...
  6. peno hasegawa

    Mods Tuanaomba habari zote za , "Wanao mdai Mama Samia "ziwekwe kwenye uzi Mmoja hapa Jf.

    Mods Tuanaomba habari zote za , "Wanao mdai Mama Samia "ziwekwe kwenye uzi Mmoja hapa Jf.
  7. E

    Uongozi wa Rais Samia

    Najaribu kufuatilia kwa ukaribu sana uongozi wa Raisi mama Samia na Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi. Uchumi umekua wana Jamii forum, na alichokifanya ni uwekezaji tu kwenye: 1. Agriculture 2. Mining and Quarrying 3. Construction 4. Manufacturing Tokea ameingia madarakani nimekua nafuatilia...
  8. Nehemia Kilave

    Kama uchaguzi Oktoba 2025 ukipelekwa 2027 , kipi bora Reforms za uchaguzi au Rais Mama Samia atupe katiba Mpya ?

    Kwa Maslahi Mapana ya Taifa kwa sasa hakuna haja ya ku tick 2025 .kiuzalendo zaidi tunahitaji mabadiliko makubwa sana katika mfumo wa uchaguzi na katiba kwa ujumla. Binafsi naamini kama Mama akikubali kwamba kwa sasa tunahitaji mabadiliko kwanini katika hii miaka miwili tukatafuta katiba Mpya...
  9. kidonto

    Mchungaji wa Malawi Dr. Ian Ndlovu alitaka Waumini wake wamuombee Mama Samia miaka 3 ilopita

    Japo wengi wenu hamuamini juu ya Unabii, lakini Unabii ni really na Manabii wa kweli wapo. Sasa kama wewe ni Mchungaji, Padre ama Mwijilisti na huamini kwenye Unabii sio tatizo letu. Mungu huwafunulia Watumishi wake juu ya mambo mbalimbali yatayotokea, na Mungu anapomfunulia Mtumishi wake, sio...
  10. McLaren

    PreGE2025 Chawa wa CCM Kinondoni: Mama Samia ana moyo wa huruma sana, kuteka maji tu hawezi ndo anaweza kumteka mtu?

    Wakuu, Yaani hawa watu wanasifia hadi wanaharibu. Na huyu anavoonekana hajatumwa. Yaani kaamua tu kusema ili aonekane na watawala apate chochote
  11. Genius Man

    Suala la barua kwa kanisa la Gwajima alafu mamlaka husika kuingia mitini bila kujibu ni kama mamlaka ya serikali Samia inapima upepo tusimame imara

    Suala la barua kwa kanisa la Gwajima kuhusu kufungiwa alafu mamlaka husika kuingia mitini bila kujibu ni kama mamlaka ya mama samia inapima upepo. Sasa sisi msimamo ni ule ule tunapinga vikali utekaji na mauwaji na hatukubali kanisa lifungiwe kwa kukemea mauwaji hayo, kitendo hiko cha kufungia...
  12. bizzle for shizzle

    KIWANJA KINAUZWA MBWENI JKT BLOCK NO 8 KWA MAMA SAMIA

    Kiwanja kizuri kipo 𝖩𝗂𝗋𝖺𝗇𝗂 na bahari Chenye UKUBWA wa sqm za mraba 1000 kina hati miliki kutoka wizara ya Ardhi KINAUZWA kwa shilingi 450 Milion MAONGEZI YAPO jamani huku ni Pazuri sana BARABARA zote ni lami mpaka baharini wamejenga vigogo wengi wa serikali na kuhakikishia ukifika hauchomoki ...
  13. Benson Mramba

    Diplomasia ya Mama Samia ni ngumu sana

    Mpaka sasa sijaelewa diplomasia ya serikali ya Mama Samia imejikita kwenye nini hasa! Uchumi, usalama au nini? Kwa majirani zetu wa Kenya na Uganda tumeshaharibu hivyo hivyo hatuko vizuri sana na Congo na Rwanda. Cha ajabu kwangu leo ni kwamba wakati Marekani na EU wakilalamikia hali ya mambo...
  14. Melki Wamatukio

    Mpango mkakati wa serikali dhidi ya vijana wanaobadili picha na video za Mama Samia kupitia ai kuwa za ovyo

    Watoto wa 2000 wamezidi utukutu, muda mwingine huwa najiuliza hawa vijana ni watanzania kweli ama wakenya? Yaani mwana IT unasogeza kompyuta mpakato mapajani, unaselect picha ama video ya Mama Samia na kuigeuza kuwa ya ovyo, mara mama anapigana na Rais wa Korea, mara mama anaogelea kwenye...
  15. Waufukweni

    PreGE2025 Askofu Gwajima: Ikatokea Abdul mtoto wa Mama Samia amechukuliwa kesho kaokotwa hana macho utajisikiaje?

    Anahoji Askofu Gwajima.! Je, Abdul anaweza kupotezwa na kuokotwa hana macho? Je mtoto wa Majaliwa au wa IGP Wambura, au wa Askofu Gwajima wanaweza kupotezwa na kuokotwa hawana macho na Taifa likakaa kimya? Kama haiwezekani kwa hao, kwanini watoto wa wengine wanapotezwa halafu tunakaa kimya kana...
  16. Cute Wife

    PreGE2025 Lissu achaguliwa kuwa sehemu ya jopo la Makamu Wenyeviti IDU akiwa gerezani

    Wakuu, Mama anapata usingizi vizuri kweli? Unatoka kutoa boko unapa taarifa ya kukuchapa kibao🥲😂😂 Yaani ni bandika bandua, kila ukijaribu kumkandamiza ndio kama unamuweka kwenye spotlight ili aonekane vizuri😂. ==== TAARIFA KWA UMMA KUCHAGULIWA KWA MHE. TUNDU LISSU KUWA MAKAMU MWENYEKITI WA...
  17. Waufukweni

    PreGE2025 Mchungaji Msigwa: Ningependa Tundu Lissu ashinde Uenyekiti CHADEMA kwa faida ya demokrasia ya Tanzania na hata kwa CCM yenyewe

    Mchungaji Msigwa ameeleza wazi kuwa anamuunga mkono Tundu Lissu katika kinyang’anyiro cha Uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Akizungumza kuhusu mwelekeo wa uchaguzi huo, amesema: "Mimi nam-support Tundu Lissu, ningependa ashinde, lakini ni matatizo yao hayo. Mimi, yeyote...
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wanenguaji waja na amka na mama Samia

    Uchawa wa viwango unaendelea! Mapema Leo Wanenguaji (dancer’s) Kutoka Bendi Mbalimbali Tanzania Wakiwakilishwa Na Amka Dance’s Wametambulisha Kampeni Yao Mpya Inayokwenda Kwa Jina La AMKA NA SAMIA Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special...
  19. Waufukweni

    Joseph Musukuma: Pesa za Mama Samia walizokopeshwa Wasanii, wameolea na kununulia Magari

    Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma "...Mheshimiwa mfuko wa wasanii pesa alizotoa Mama Samia leo tukiuliza kuna shilingi ngapi au mliowakopesha wamerudisha shilingi ngapi wapo hapa kuchukua hela leo wengine na kuoa kununua magari, starehe zingine zimewaua na kuwaua..."
  20. J

    PreGE2025 Shangwe la Wafugaji: Chanjo Milioni 77 na Hereni Milioni 37 kutolewa bure na Serikali, Wafugaji wadai hawana deni tena na Mama Samia

    == Bila kujali mfugaji unamifugo mingapi Mama Samia atakupa chanjo na hereni kwa mifugo yako yote bure kabisa. Serikali inatarajia kuzindua Kampeni ya Chanjo ya Mifugo Kitaifa kati ya mwezi Mei hadi Juni, 2025 ambapo jumla ya dozi 19,099,100 za chanjo ya Homa ya Mapafu ya Ngombe (CBPP)...
Back
Top Bottom