mama samia

Maggie Gobran or Mama Maggie, a Coptic Orthodox, is the founder and CEO of the non-profit charity Stephen's Children in Cairo, Egypt. She was also professor of computer science at the American University in Cairo, is married and has a son and a daughter. She was nominated for the 2012 Nobel Peace Prize.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Kosa na Mama Samia ni kupuuza wazee sasa nani atakuongelea! mwenye busara

    Kosa na Mama Samia ni kupuuza wazee sasa nani atakuongelea! mwenye busara. wazee kama Warioba na Kimiti wangeweza kuongea na kunyamazisha vijana lakini dharau na kejeli za viongozi wa CCM na ubinafsi wa Raisi Mstaafu Kikwete sasa nchi haina mtu mmoja wa kuongea na kusikilizwa mwenye busara...
  2. M

    Serikali iichukulie hatua Zambia Reports kwa kuchapisha uongo mtandaoni kuhusu mgombea urais wa CCM Mama Samia

    Zambia Reports ni wafitini, wanafiki na wenye nia ovu dhidi ya mgombea wa Chama Cha Mapinduzi Dr Samia Suluhu Hassan. Ni upotoshaji kusema wapinzani wa Mama Samia wamefungwa jela wakati sio kweli. Wagombea wa vyama vingine wapo kwenye kampeni siku hizi za mwisho mwisho kabla ya tarehe 29...
  3. L

    Hakuna Mtanzania Hata mmoja atakayeandamana hata kuzunguka Uwanja wake tu. Wote watakwenda kumpigia kura Mama Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwaambieni ya Kuwa hakuna Mtanzania hata mmoja ambaye ataandamana hata kuzunguka tu uwanja wake au sebuleni kwake au chumbani kwake au nyumbani kwake siku ya uchaguzi. Watanzania wote wamejiandaa kikamilifu kabisa kushiriki uchaguzi . Na kikubwa zaidi ni shauku...
  4. R

    Rais Samia jifunze kitu kutokana na kifo cha Raila Odinga

    Angalia upendo wa Raia wote (naweza kusema hivyo, wote) wanaouonesha kwa Raila! Nadhani una kitu cha kujifunza na pia kwa watanzania wote. TENDA HAKI, HAKI, HAKI utapendwa na kuombewa na wenye heri ya Mungu ndani yao na kila mmoja! Rais wangu historia yako umeiandikaje mpaka sasa?
  5. covid 19

    Namuonea huruma sana Samia ameamua kukaa upande wa walaghai na wanafiki, watamgeuka soon tu baada ya uchaguzi

    Habari za muda wakuu.. Sioni Mama Samia akiwa na amani tena katika majukumu yake baada ya uchaguzi. Watu alioamua kuwasikiliza ni walaghai na wanafki pro max. Soon baada ya pilika za uchaguzi kuisha na akishaapizwa na wabunge wakiapishwa ndio ataanza kuona rangi zao halisi watamruka hadharani...
  6. Kurunzi

    GE2025 Samia: Mkichagua Mbunge wa Upinzani hamtaona Maendeleo

    Samia Suluhu awauzia uoga Watanzania:"Mkichagua Mbunge wa upinzani, hamtaona maendeleo sababu mimi siwezi kuongea na wabunge wa upinzani. Chagua Wabunge wa Chama changu ndio mufanyiwe maendeleo"
  7. Beira Boy

    GE2025 Kauli ya mama Samia ya kuheshimu Vitabu vya Dini kuliko Katiba ni kauli ya kitapeli

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Kuna kauli moja nimeisikia kutoka kwa Rais wa Tanzania Samia kauli hii imenisikitisha sana maana ni ya kitapeli na haikufaa kabisa kutolewa na mtu kama yeye Samia anasema kama ni heshima basi tuheshimu vitabu ya dini lakini siyo kitabu...
  8. Beira Boy

    Mama Samia fanya haya kujiokoa

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Ukiwa unahutubia watu jiangushe chini puuu kama mzigo wa Kuni, Kisha muite mkuu wa majeshi mwambie siwezi tena kuendelea kuongoza maana hali yangu kiafya ni mbaya sana Kwanini ufanye hivyo? Ili uwakwepe hawa wana mtandao ambao wanataka...
  9. M

    GE2025 Mama Samia usishupaze Shingo, kuna dissatisfaction kubwa katika nchi juu ya mambo yanavyokwenda nchini

    Ndugu mama Samia. Umetufungia JF tusiiaccess ndani ya Tanzania, lakini tutakueleza ukweli na utakufikia. Iko hivi mama yangu, ndani ya nchi yetu kuna vilio kila kona, watu hawaridhiki na nchi inavyokwenda. Mimi nitakueleza ukweli tu, ukitaka chukua ukitaka achana nao. Kuna hali ngumu ya...
  10. Waufukweni

    Humphrey Polepole: Niliambiwa Rais Samia ameagiza nifukuzwe kazi nikiwa Cuba na mafao yangu yote nisipewe

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Balozi aliyejiuzulu, Humphrey Polepole, akizungumza kwa njia ya mtandao, Septemba 18, 2025, amesema amesikia kuhusu kuitwa na Jeshi la Polisi lakini bado kuna tatizo Serikalini kwa sababu walipaswa kuihoji Serikali kwanini haijanirejesha nchini baada ya mimi...
  11. Waufukweni

    GE2025 Rais Samia: Nimekuza Diplomasia, tunatembea kifua mbele. Ukitaja Tanzania wanakuuliza Mama Samia?

    Mgombea wa nafasi ya Rais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni unaofanyika tarehe 17 Septemba, 2025, Kusini Unguja, Zanzibar amesema, "Watanzania huko duniani tunatembea kifua mbele, ukitaja Tanzania mtu anakuuliza ‘Mama Samia..?'
  12. Idugunde

    Kuna siku Rais Samia aliisifia JamiiForums nikajua amekubali kuwa ni jukwaa linalompatia taarifa na kero za wananchi

    Nimeshangaa kusikia wasiojulikana wanamtishia maisha mmiliki wa jukwaa la JamiiForums. Huko nyuma Mama aliwahi kusikika hadharani kuwa huwa akisoma maoni ya watu JamiiForums anabaki kucheka tu. Akasifia kuwa sasa hivi habari nyingi zinapatikana kupitia JamiiForums kuliko hata magazeti na...
  13. Mlalamikaji daily

    GE2025 Naomba kuuliza: kwa hiyo Samia akipata urais mwaka huu ndio ataanza kujihesabia awamu yake kwa miaka 10 ijayo?

    Naomba kuuliza.. Maana nimeona hizi habari huku mtaani kwamba mama sasa ndio anaanza kama Raisi mpya.. Kwamba ile iliyopita hakuhusika.. Kwahiyo ataanza kuhesabu awamu yake mwaka huu na hivyo (kutokana na jinsi ilivyo) Atakuwa rais kwa miaka 10 ijayo!! Je ndio hivyo? Mbona wewooo!
  14. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kibonde apigilia msumari kwamba akiingia ikulu mtu wa kwanza kumpa ajira ni Mama Samia

    “Nikiingia ikulu mtu wa kwanza kumpa ajira ni Mama Samia na nimeshaishawishi Baraza langu kwamba nikishinda Urais Mama Samia atabaki ikulu” Coaster Jimmy Kibonde, Mgombea Urais Chama Makini.
  15. J

    GE2025 Rais Samia, hii ahadi ya kuondoa tatizo la umeme mpaka lini?

    Moja kati ya mambo yanayokera katika nchi hii ni changamoto ya kukatika kwa umeme. Nakumbuka nikiwa kule kusini mwaka jana, nikiwa kwenye hotel Moja, umeme ukikatika ghafla. Pembe yangu kulikuwa na wazungu wanne wakipata vinywaji. Mara umeme ulipokatika walisikika wakisema, " welcome to...
  16. The only

    Mama Samia ndio Rais asiye mashughuri Tanzania kuliko wote tangu kupata uhuru

    Habari wakuu! Tanzania inapita kipindi kigumu katika historia yake ya siasa za kiti cha urais. Niwaelezee wachache: 1. Nyerere Huyu alipofariki mwaka 1999 nilishuhudia msiba wake. Kipindi hicho nilikuwa Lindi vijijini. Nilishuhudia kwa macho yangu watu wakilia msiba kama amefariki ndugu wa...
  17. B

    Urgently: Rais Samia nakuomba fanya jambo hili haraka sana uwasaidie wazazi wanao somesha Kayumba

    Walimu wa shule za Kayumba wamegeuza watoto mitaji.. Mtoto bila kwenda shule na Mia tano ya chakula plus Mia tano ya mitihani anapigwa sana au haruhusiwi kuingia darasani. Shule zingine bila buku getini mtoto haruhusiwi kupita getini. Mbaya zaidi hadi wakati wa likizo kama huu walimu...
  18. The Palm Beach

    Ezekiel Kamwaga: Samia Suluhu anampenda sana Tundu Lissu

    Mwanahabari mwandamizi na mchambuzi wa siasa za bara la Afrika, Ezekiel Kamwaga, amesema Watanzania mara nyingi husahau matukio muhimu yanayojiri nchini mwao kiasi cha kushindwa kuthamini na kuheshimu matendo mema ya baadhi ya viongozi na wananchi wenzao. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mwenyekiti wa Wazee na mwasisi NLD: Tunamshukuru mama Samia kutoa magari kwa wapinzani

    MWENYEKITI wa Wazee na mwasisi wa Chama cha NLD, Tozz Mtwanga, amemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mwanadiplomasia wa kweli. Amesema katika historia ya Tanzania haijawahi kutokea Serikali kutoa usafiri kwa wagombea wa vyama vya upinzani, lakini chini ya uongozi wa Rais Samia jambo hilo...
  20. M

    Nina wasiwasi kikao hiki ndio kiliamua hizi drama za siasa za upinzani/CHADEMA ili Mama Samia apete October

    Ukiangalia hawa watu ndio wameivuruga kama sio kuiimarisha Chadema ila kwa upande mwingine wamemsaidia Mama Samia kwa kuwaaminisha wananchi kuwa watazuia uchaguzi na wengine wao kukimbilia CCM na kuanzisha Chauma. Nahisi hawa ndio making maker wa hali tuliyo nayo kwasasa na wanajua vizuri sana...
Back
Top Bottom