Kenneth Parks, mkazi wa Ontario, Kanada, alimuua mama mkwe wake akiwa amelala.
Kenneth alikuwa na historia ya kufanya vitendo akiwa amelala (sleepwalking).
Siku ya tukio, aliamka kitandani akiwa amelala, akawasha gari lake na kuendesha kilomita 22 hadi nyumbani kwa mama mkwe wake. Kisha...