malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    Serikali ya Tanzania imempiga Marufuku Dawa ya Kutibu Maradhi ya Uvimbe WaTezi Dume ya Dr Samsung Misango Asiuze.Kwani Anaharibu biashara ya vidonge

    Serikali imempiga Marufuku Dawa ya Kutibu Maradhi ya Uvimbe WaTezi Dume ya Dr Samsung Misango Asiuze.Kwani Anaharibu biashara ya vidonge Vinavyouzwa na serikali na kufanya Operesheni ya Tezi Dume wagonjwa hawaendi tena kutibiwa Hospitali.Kwani Dawa Za Hospitali haziwezi kuponyesha Maradhi ya...
  2. M

    PostGE2025 Abdallah Makame: Oktoba 29 watu waliokuwa na silaha waliua wenzao na kuvamia vituo vya polisi

    Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Dkt. Abdallah Makame(CCM) amesema kuwa waliofanya mauaji, kuvamia vituo vya polisi, maduka na kuchoma mali ni watu waliokuwa na silaha ambao mpaka sasa hawajajulikana ni kinanani hasa na walizipata wapi. Ameongeza kuwa hata Sheikh Sharrif Majini aliuawa kwa...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    John Heche amtumia Ujumbe wa wazi Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba

  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Usinywe TENA Dawa Hizi TANO ( 5 ) Ukiwa Na MALARIA

  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    VIDEO: Faida mojawapo inayopatikana kutokana na maandamano

  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Alhamdulillah Wananchi wametii amri ya Serikali, Hali ni nzuri sana mpaka muda huu

  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wosia wa Baba wa Taifa. RIP Baba wa Taifa Tanzania, Mwalimu Nyerere

  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Maisha ya Ulaya Ni Magumu sana...............

  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ninajipongeza leo siku kuu yangu ya kuzaliwa, HAPPY BIRTHDAY TO ME

    Today is My Happy Birthday nina jipongeza mwenyewe siku yangu ya kuzaliwa Ninawakaribisha Marafiki zangu wote karibuni tusherehekee sikukuu yangu ya kuzaliwa. Karibuni nyote. . ...
  10. Common Folk

    PostGE2025 Rais Samia: Hakuna dini ya ku-override serikali, toka niingie madarakani TEC wametoa nyaraka 8

    Rais Samia ameongeza kwa kusema "Kama haumpendi kiongozi aliyeko juu, basi vumilia wakati wake utaisha tu". Amesema tangu aingie madarakani, TEC wametoa matamko 8 Pia Soma: Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mwili wa Joshua Mollel umewasili nchini Tanzania

    Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel aliyeuawa na Hamas kuwasili leo kutoka Israel Maelezo ya picha,Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel ukiagwa nchini Israel kabla ya kurudishwa Tanzania, aliuawa na Hamas katika shambulizi la oktoba 7. Mwili wa Joshua Loitu Mollel, raia wa Tanzania mwenye umri wa...
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Zaidi ya watu 200 nchini Tanzania wameshtakiwa kwa kosa la uhaini siku chache baada ya maandamano ya uchaguzi ambapo upinzani unasema

    Zaidi ya watu 200 nchini Tanzania wameshtakiwa kwa kosa la uhaini siku chache baada ya maandamano ya uchaguzi ambapo upinzani unasema mamia ya watu waliuawa. Haya ni kwa mujibu wa wakili mmoja Peter Kibatala na vyanzo vya mahakama vilivyoliarifu shirika la habari la AFP. Hapo jana, Kibatala...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    THRDC NA TLS Walani Mauwaji Na Ukandamizaji huko Tanzania

    Muungano wa Shirika la Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania THRDC na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, wamelaani vitendo vya mauaji na ukandamizaji wa raia wasio na hatia vilivyoshuhudiwa wakati wa maandamano ya uchaguzi. Katika taarifa ya pamoja, mashirika hayo yamevitaka vyombo vya...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Moja ya hotuba ambayo iligusa moyo wangu nakubadili kila kitu kwenye moyo wangu kuhusu siasa Pumzika JPM

  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    Vurugu za uchaguzi Tanzania: Waandamanaji wakaidi amri ya Mkuu wa Majeshi

    Chanzo cha picha,Reuters Maelezo ya picha,Rais Samia Suluhu Hassan aliingia madarakani mwaka 2021 baada ya kifo cha mtangulizi wake na huu ni uchaguzi wake wa kwanza wa kugombea urais. 31 Oktoba 2025 Waandamanaji wameingia mitaani nchini Tanzania kwa siku ya tatu mfululizo, kukaidi amri...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    KHRC, Global Rights Group Confront Samia Suluhu as Post-Election Violence Rock Tanzania

    Tear gas fills the air as police confront protesters in Tanzania, October 29, 2025. Kenyan and international human rights organisations have issued a joint set of demands to President Samia Suluhu Hassan’s government, calling for an immediate end to what they described as escalating...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dunia imeisha! Stori ya mwanamke aliyetokea nchi ya Torenza ambayo haipo duniani

    Who is the Torenza Passport woman and why is the JFK Airport video going viral? Explained. A viral video showing a woman at JFK presenting a passport from the nonexistent country ‘Torenza’ has sparked theories of AI-generated misinformation. A bizarre video from John F Kennedy International...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dah Wanaume hii ni Dhambi Kabisa MunaMcheat Mpaka Bubu?

  19. Its Tesha

    GE2025 Samia: Kibati Kikipasuka, sisi tuko nao, ninayezungumza ni Amirijeshi mkuu, Tokeni mkapige Kura Oktoba 29, 2025

    "Tumedhamiria kufanya kazi. Tumefanya kazi mmeiona na tunajiamini kwamba tutaweza kufanya tena kazi kipindi cha pili cha awamu ya sita, kazi ya kuonekana kwamaana hiyo niombe mtuchague Chama Cha Mapinduzi “Na hapa niseme ndugu zangu ili niwatoe hofu, kuna watu wanatishatisha ili kuwafanya watu...
Back
Top Bottom