malaria

Malaria is a mosquito-borne infectious disease that affects humans and other animals. Malaria causes symptoms that typically include fever, tiredness, vomiting, and headaches. In severe cases it can cause yellow skin, seizures, coma, or death. Symptoms usually begin ten to fifteen days after being bitten by an infected mosquito. If not properly treated, people may have recurrences of the disease months later. In those who have recently survived an infection, reinfection usually causes milder symptoms. This partial resistance disappears over months to years if the person has no continuing exposure to malaria.Malaria is caused by single-celled microorganisms of the Plasmodium group. The disease is most commonly spread by an infected female Anopheles mosquito. The mosquito bite introduces the parasites from the mosquito's saliva into a person's blood. The parasites travel to the liver where they mature and reproduce. Five species of Plasmodium can infect and be spread by humans. Most deaths are caused by P. falciparum because P. vivax, P. ovale, and P. malariae generally cause a milder form of malaria. The species P. knowlesi rarely causes disease in humans. Malaria is typically diagnosed by the microscopic examination of blood using blood films, or with antigen-based rapid diagnostic tests. Methods that use the polymerase chain reaction to detect the parasite's DNA have been developed, but are not widely used in areas where malaria is common due to their cost and complexity.The risk of disease can be reduced by preventing mosquito bites through the use of mosquito nets and insect repellents, or with mosquito control measures such as spraying insecticides and draining standing water. Several medications are available to prevent malaria in travellers to areas where the disease is common. Occasional doses of the combination medication sulfadoxine/pyrimethamine are recommended in infants and after the first trimester of pregnancy in areas with high rates of malaria. As of 2020, there is one vaccine which has been shown to reduce the risk of malaria by about 40% in children in Africa. Efforts to develop more effective vaccines are ongoing. The recommended treatment for malaria is a combination of antimalarial medications that includes an artemisinin. The second medication may be either mefloquine, lumefantrine, or sulfadoxine/pyrimethamine. Quinine along with doxycycline may be used if an artemisinin is not available. It is recommended that in areas where the disease is common, malaria is confirmed if possible before treatment is started due to concerns of increasing drug resistance. Resistance among the parasites has developed to several antimalarial medications; for example, chloroquine-resistant P. falciparum has spread to most malarial areas, and resistance to artemisinin has become a problem in some parts of Southeast Asia.The disease is widespread in the tropical and subtropical regions that exist in a broad band around the equator. This includes much of sub-Saharan Africa, Asia, and Latin America. In 2018 there were 228 million cases of malaria worldwide resulting in an estimated 405,000 deaths. Approximately 93% of the cases and 94% of deaths occurred in Africa. Rates of disease have decreased from 2010 to 2014, but increased from 2015 to 2017, during which there were 231 million cases. Malaria is commonly associated with poverty and has a major negative effect on economic development. In Africa, it is estimated to result in losses of US$12 billion a year due to increased healthcare costs, lost ability to work, and negative effects on tourism.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Tanzanian scientists achieve breakthrough in developing mosquitoes that block malaria transmission

    Bagamoyo. In a landmark study published in the journal Nature, scientists from the Ifakara Health Institute (IHI) and the National Institute for Medical Research (NIMR), in collaboration with Imperial College London through the Transmission Zero programme, have successfully developed genetically...
  2. Parabolic

    Wanasayansi wa Tanzania wafanikisha kuzalisha mbu wanaozuia maambukizi ya malaria

    Mbu aina ya Anopheles Bagamoyo. Katika utafiti wa kihistoria uliyochapishwa katika jarida la Nature, wanasayansi wa Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) na Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa (NIMR) kwa ushirikiano na Imperial College London kupitia mpango wa Transmission Zero, wamefanikiwa...
  3. ChekoFagia

    Gavi, UNICEF watia saini mkataba wa kupunguza bei ya chanjo ya Malaria

    Muungano wa kimataifa wa chanjo Gavi na mshirika wake Unicef watalipa nafuu ya 25% kwa chanjo mpya ya malaria iliyotengenezwa na Taasisi ya Serum ya India ndani ya takribani muda wa mwaka mmoja, kuwaruhusu kufikia watoto zaidi licha ya kupunguzwa kwa misaada ya kimataifa. - Mpango huo...
  4. R

    Shirika la Kudhibiti Magonjwa Afrika limepongeza kuidhinishwa kwa dawa ya kwanza ya malaria kwa watoto wachanga

    Shirika la Kudhibiti Magonjwa Afrika (Africa CDC) limepongeza kuidhinishwa kwa dawa ya kwanza ya malaria iliyoundwa mahsusi kwa ajili ya watoto wachanga na wenye uzito chini ya kilo tano. Dawa hiyo mpya, Coartem Baby, imetengenezwa kwa ushirikiano kati ya kampuni ya dawa ya Uswisi, Novartis, na...
  5. Yoyo Zhou

    Mbu wamekuwa “Vikosi Maalum” katika Ushirikiano wa China na Afrika wa kupambana na Malaria

    Hivi karibuni, ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Chikungunya, mkoa wa Guangdong, China uliachilia mamilioni ya mbu maalumu, ambao wanaweza kula mbu wanaoambukiza virusi hivyo. Utafiti wa teknolojia ya kiubunifu kuhusu mbu nchini China umeanzisha njia mpya za kuzuia magonjwa...
  6. Nipe Maji

    GE2025 Serikali yatoa bilioni 298 kugharamia matibabu ya Kifua kikuu, UKIMWI na Malaria nchini

    Serikali ya Tanzania kwa kipindi cha mwaka 2024/25 na 2025/26 imetoa jumla ya Dola Milioni 114 sawa na Shilingi Bilioni 298 za kitanzania kuongeza manunuzi ya dawa na vifaa tiba ili kufidia fedha zilizokuwa zikitumika kupambana na magonjwa ya Kifua Kikuu, UKIMWI na malaria nchini. Hayo...
  7. R

    Tiba ya Malaria kwa Watoto wachanga yaidhinishwa rasmi

    Kwa mara ya kwanza, dunia imepiga hatua kubwa katika mapambano dhidi ya malaria baada ya kuidhinishwa kwa tiba maalum ya malaria kwa watoto wachanga na wadogo wenye uzito wa chini ya kilo 4.5, hatua inayotarajiwa kuokoa maelfu ya maisha kila mwaka barani Afrika. Tiba hiyo mpya, iliyotengenezwa...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Shikamoo Malaria, aiseeh! Sijawahi kuumwa hivi. Siku tatu kama mwaka.

    Mabibi na Mabwana hamjambo! Pasaka iliisha vizuri Kabisa. Siku hiyo tulikutana ndugu wote maeneo ya Msasani beach Club. Kama mnavyojua Taikon Hana gari, sasa ndugu zangu wale kidogo wengi wao walikuja na Magari Yao. Nami kujilizajiliza nipande Magari ya watu kidogo naonaga shida kidogo. Ni...
  9. M

    Ni kwanini Mungu aliumba vimelea vya magonjwa kama EBOLA, UKIMWI, KANSA, MALARIA ambavyo vinaua mamilioni ya watoto wadogo wasio na makosa yoyote?

    Habari wadau Kwa nini Mungu mwenye upendo, muumba wa kila kitu, ameumba vimelea vya magonjwa hayo yanayotesa na kuua sana watu, imagine mtoto mdogo anateseka na kansa ya ubongo ama ukimwi
  10. Top Gun

    Ipi ni namna sahihi ya kusema kwa kingereza hii kauli "NINAUMWA MALARIA"

    1: I am sick of malaria 2: I am suffering from malaria 3: I have malaria 4: I am sick malaria 5: I am sick with malaria 6: none of the above (iandike)
  11. SSH2025_2030

    Waziri Mambo ya Nje ya nchi Dr Balozi Kombo tolea ufafanuzi kukatwa Msaada ya TB, Malaria na UKIMWI kwa Tanzania

    Mheshimiwa huu ni wakati wa wewe kuitisha Mkutano na kufafanua mambo ya Kimataifa ikiwamo usitishwaji wa Msaada kwa Tanzania. Nataarifiwa EU nao wapo mbioni.
  12. Mpigania uhuru wa pili

    Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda

    Utawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID). Hatua hiyo ni sehemu ya...
  13. M

    Dua ya kumuombea Mbowe

    Ewe Mola Mwenye rehema, tunakuomba umuongoze Freeman Mbowe katika uchaguzi huu wa ndani wa CHADEMA. Mpe hekima, busara, na nguvu za kushinda kwa haki. Ikiwa ushindi wake ni kwa manufaa ya chama, taifa, na mustakabali wa demokrasia, basi tuombe mapenzi Yako yatimie. Mshushie baraka na...
  14. S

    Janga la Malaria, Typhoid na UTI

    Malaria, Typhoid na UTI ni magonjwa ambayo yanaongoza kwa kuwa ‘diagnosed’ kwa maana nyepesi ni magonjwa ambayo utaambiwa unayo mara nyingi kama si mara zote unapokwenda kupima katika hospitali au maabara hasa hizi ndogo ndogo za mtaani. Magonjwa haya kwa mujibu wa repoti za ‘ndomo’ na takwimu...
  15. Mr Heby

    Climate change, Malaria and Neglected Tropical Diseases Webinar

    Join RSTMH & who on #WorldNTDDay for a free webinar exploring climate change, malaria, & NTDs. 📅 30 Jan, 12:30–1:30 PM GMT Highlights: insights from a major scoping review + expert speakers Don't miss it - register now: #ClimateHealth #NTDs #BeatNTDs
  16. Mpigania uhuru wa pili

    Dawa ya mseto ya kutibu malaria ipigwe marufuku kama ilivyokuwa kwa chloroquine

    Miaka ya 2000's niliumwa malaria nikanywa amodiaquine ziko kama tatu hazizidi tano ila sitakaa nisahau ile experience ilikua unachungulia kaburi ile dawa iliongeza maumivu maradufu bora mchana usiku ndo maamuvi yaanapewa greenlight hulalali mwili ulichoka na nguvu zote ziliniishia Week hii...
  17. M

    Malaria 2 anavyofahamika na Akili Mnemba

    Malaria 2" ni mmoja wa wanachama wa JamiiForums (JF). Kama ilivyo kwa wanachama wengine maarufu wa jukwaa hilo, mara nyingi jina lake linatajwa kwenye mijadala ya mtandaoni inayohusisha masuala ya kisiasa, kijamii, au kiuchumi. Wanachama kama Malaria 2 hujulikana kwa michango yao yenye mtazamo...
  18. E

    Kuna muda ukiwafikiria hawa members wa JF kuna picha inakujia kuhusu changamoto wanazokutana nazo waisrael

    Kuna muda ukiwafikiria kina Faizafoxy, Adimisago au Malaria 2 kuna picha inakujia kuhusu changamoto wanazokutana nazo waisrael . Hawa watu wako rigid, ni wagumu kuwabadilisha hata kama msimamo wao utagharimu uhai
  19. M

    Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

    Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran? Au ni vigumu kuihifidhali? Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie. Hichi kitabu kinahifadhika?
  20. Dalton elijah

    WHO yazindua chanjo mpya dhidi ya Malaria, Ivory Coast

    Utafiti unaonyesha kuwa chanjo mpya ina ufanisi zaidi ya 75% katika kuzuia magonjwa na vifo vikali katika mwaka wa kwanza na kwamba kinga huongezwa kwa angalau mwaka mmoja zaidi kwa kupata chanjo ya ziada yaani booster. Zaidi ya 94% ya takribani visa milioni 249 vya malaria duniani na vifo...
Back
Top Bottom