Tulitarajia kuona Serikali ikitoa ushahidi wa kina hasa picha za satelaiti 🛰️, vielelezo vya kitaalamu, na maelezo ya kiuchunguzi ili kuonesha kwamba madai ya mauaji yaliyotolewa na CNN, BBC, Al Jazeera hayahusiani na Tanzania bali na maeneo mengine kama Sudan. Lakini badala yake, tunachokiona...